Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Chek ile series ya Royal mkuu utaona yule mzungu anapelekwa hukoMh..[emoji856]sidhani kama kweli ...chifu mavi njoo utufafanulie maana najua hupo humu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chek ile series ya Royal mkuu utaona yule mzungu anapelekwa hukoMh..[emoji856]sidhani kama kweli ...chifu mavi njoo utufafanulie maana najua hupo humu
Hela ya kuendesha serikali watolee wapi..labda wakaombe kwa wajomba zao umani..ili waje watawaliwe tena na sultani..mana hakuna cha bure.Tatizo wanzanzibar mnajikaanga wenyewe kwa wenyewe. Bara kazi yao ni kuwaletea kuni na kuwaacha nyie mkoke moto, muinjike sufuria, muweke mafuta na kujikaanga wenyewe. Sasa hivi rais ni kutoka Zanzibar, kwa nini asikubali mabadiliko ya katiba yatakayozingatia maslahi ya wazanzibar wanayodai? Bungeni Dodoma mnaenda kufanya nini kama mnaona muungano haufai? Nachelea kusema malalamiko yenu ni visingizio baada ya uongozi wenu kushindwa kuwaletea wananchi wake maendeleo. Punguzeni kula urojo na viongozi wenu waache kutumikia serikali ya muungano na mjiongoze wenyewe kama mnadhani mambo ni rahisi sana.
Alivamia wapi mbona karume alishiriki kikamilifu hadi kuwa makamu wa kwanza wa zenji.Hakuna muungano, kuna uvamizi. Nyerere alivamia Zanzibar kama Putin alivyovamia Ukraine. Kupinga uvamizi siyo uhaini. Ni haki ya kila mtu.
Huu ni ukweliMimi siwaoni wote wawili!!
Zamani kulikua na tishio la vita baridi sasahivi kuna tishio la ugaidi..nadhani unaelewa zenji kulitokea nini hadi mashehe wale wakawekwa ndani.Maisha ya watanganyika yataathirika vipi kama Muungano utavunjika? Kabla ya Aprili 1964 waliishi vipi?
Amandla....
Kuvunja muungano haipaswi ila tunauweka sawa kwa kuondoa shida zote na kuwa na serikali moja tu.Hizi kero kila siku watu full kulalamika si uvunjwe tu tubaki na Tanganyika yetu,tuwaachie nchi yao!
Itafika tu muungano udumu..omo ni mpotoshaji anataka kututenganisha kwa maslahi yake.Hii ndoa yao haifiki 2025
Muungano fake uvunjwe harakaItafika tu muungano udumu..omo ni mpotoshaji anataka kututenganisha kwa maslahi yake.
#MaendeleoHayanaChama
Kwa hiyo mtu anayepewa ulaji na kutulia kumbe ndio mzuri kuliko asiyenyamazishwa na ulaji?Hapana, huyu ni 'hardliner' maradufu zaidi ya Maalim.
Seif alipokuwa akipewa ulaji alinyamaza kidogo, huyu ni kama unamchochea zaidi unapomteua kwenye nafasi yoyote!
Pamoja na hayo, sidhani kuwa huyu anayo haiba na hadhi aliyokuwa nayo Maalim Seif kwa wafuasi wake. Sijui kama Masoud alishawahi kugombea nafasi yoyote ya uchaguzi na wananchi wakampa kura kama alizokuwa akipata Maalim.
Mbona unamlisha maneno hajasema hivyo, au umeshindwa kuelewa hiyo analogy aliyotumiaHuyu akili Hana ana ajenda ya Siri, ana dai Tanzania haiendelei kwa sababu ni kubwa na Zanzibar ni ndogo ikiachwa iende peke yake, itaendelea haraka! Maendeleo ya nchi hayafati ukubwa!! Rawnda na Burundi ni nchi ndogo na hazijaendelea, China na USA ni ma nchi makubwa na yameendelea
Alivamia wapi mbona karume alishiriki kikamilifu hadi kuwa makamu wa kwanza wa zenji.
Nyie ndio wanasiasa njaa mnapigania maslahi yenu wala sio ya zenji.
Muungano mapungufu yapo ila hauvunjwi tunayalekebisha kuelekea kuwa na serikali moja tu..
Hizi mbili ndio zinatuletea shida.
#MaendeleoHayanaChama
Walikubaliana ndio mana kuna mambo ya muungano na yasiyo ya muungano.Aliyofanya Karume hayatuhusu maana hakuna aliyempigia kura. Karume ni Mnyasa aliyewekwa madarakani na Okello Mganda. Kwanza umeshawahi kusikia muungano upande mmoja unapeleka majeshi kukalia upande mwingine? Huo ni uvamizi siyo muungano.
Mbona mentality za kipuuzi sana hizi, Tanzania ina ardhi, maziwa, madini, bandari, mito na misitu kibao imeshindwa kuendeleza hizi potential ipate maendeleo ikafanye uharamia nchi za watu,?Tungeungana na Burundi tungetajirika maana tungewadhibiti Rwanda kijeshi na kufaidi biashara na Congo DR. Tena labda hata Rais wa Rwanda tungemsimika kibaraka wetu. Hilo litakuja one day
Mmmm..Othman Masoud anamuona Hussein Mwinyi kama mateka asiyeweza kuitetea Zanzibar, hadhi, maslahi, na haki zake.
..Hussein Mwinyi anamuona Othman Masoud kama mchochezi asiyetaka Wazanzibar wawe kitu kimoja.
Msikilize Othman Masoud hapa chini.
Hussein Mwinyi amejibu hapa.
Nchi ya wachaga ipi hiyo?Acha kupotosha nchi ya wachaga tumeungana nayo tuko poa tu
Walikubaliana ndio mana kuna mambo ya muungano na yasiyo ya muungano.
Moja ya mambo ya muungano ni ulinzi na usalama.
Wewe hizbu acha kuwapotosha wa zenji kwa maslahi yenu.. inyi mlifukuzwa mtoke zenji..mnaingangania ya nini tena..si mrudi umani kwenu.
#MaendeleoHayanaChama
Hapana, huyu ni 'hardliner' maradufu zaidi ya Maalim.
Seif alipokuwa akipewa ulaji alinyamaza kidogo, huyu ni kama unamchochea zaidi unapomteua kwenye nafasi yoyote!
Pamoja na hayo, sidhani kuwa huyu anayo haiba na hadhi aliyokuwa nayo Maalim Seif kwa wafuasi wake. Sijui kama Masoud alishawahi kugombea nafasi yoyote ya uchaguzi na wananchi wakampa kura kama alizokuwa akipata Maalim.
Unaamini kuwa Zanzibar nje ya Muungano itakaribisha magaidi?Zamani kulikua na tishio la vita baridi sasahivi kuna tishio la ugaidi..nadhani unaelewa zenji kulitokea nini hadi mashehe wale wakawekwa ndani.
#MaendeleoHayanaChama