Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Unao weweUna ushahidi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unao weweUna ushahidi?
Tuhuma nzito sana hizi ..Unajua!?Acha tu kuna yule Mfanyabiashara Ali Mufuruki, nasikia nae walikosana na Jiwe akamfanyizia
Maneno yanayosemwa . Lisemwalo lipo Sheikh! Bila kusahau Rugemalila aliyeamua afie tu gerezani
🙂 sawa mkuu! Ila la gizani hudhihirika mwangani. Muda ni Rafiki wa Ukweli. Na yako mengi tusiyoyafahamu. Tusiwe wepesi kufanya hitima..Maneno yanayosemwa . Lisemwalo lipo Sheikh! Bila kusahau Rugemalila aliyeamua afie tu gerezani
Kweli kabisa! Ila kati ya watu ambao nina uhakika wa asilimia 100 kuwa wana jambo Lao dhidi ya Jiwe hapo 28/10/2020 basi Ni Wahaya!!🙂 sawa mkuu! Ila la gizani hudhihirika mwangani. Muda ni Rafiki wa Ukweli. Na yako mengi tusiyoyafahamu. Tusiwe wepesi kufanya hitima..
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ila Buhaya ni kubwa. It's safe to say wanakagera wana Majambo yao.. Ndugu Hawatupani.Kweli kabisa! Ila kati ya watu ambao nina uhakika wa asilimia 100 kuwa wana jambo Lao dhidi ya Jiwe hapo 28/10/2020 basi Ni Wahaya!!
Hivi wewe kwa jinsi magufuli alivyowatukana wahaya kwenye tetemeko na jinsi alivyowatesa kabendera na mama yake hadi mama yake akafariki kwa akili zako unategemea magufuli aungwe mkono na wahaya????
Magufuli akipata hata kura 100 za wahaya iyo October 28 a Shukuru sana Mungu!
Sioni wahaya wakimbeba Jiwe. Wale watu wakikuwekea jambo huwa hawapindishi. Hawana tofauti sana na wafipa na watu wa njombe na mbeyaIla Buhaya ni kubwa. It's safe to say wanakagera wana Majambo yao.. Ndugu Hawatupani.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Tulienda kumuona zuchuMbona mlijaa sana kwenye mkutano wake alipokuja huko
Kumbeba hapana! Ila wanaweza wakatembea naye sambamba to the finish line.Sioni wahaya wakimbeba Jiwe. Wale watu wakikuwekea jambo huwa hawapindishi. Hawana tofauti sana na wafipa na watu wa njombe na mbeya
Maccm wapeni semina wagombea wenu wanayoyaongea huku chini ni mambo ya aibu mnoo..Kumbeba hapana! Ila wanaweza wakatembea naye sambamba to the finish line.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hahaha! Serikali Ni Moja jamani... Wanaweza kuyasemea hayo kama wanalenga kumnadi Mgombea wetu wa Urais chief.Maccm wapeni semina wagombea wenu wanayoyaongea huku chini ni mambo ya aibu mnoo..
Unakuta Diwani naye anazungumzia mambo ya kununua ndege, sasa Diwani na ndege wapi na wapi.
Labda kama ni diwani wa Kipawa
Vita vya panziNaona huku kuna joto kali sana ndani ya CCM mwenyekiti wa ccm mkoa wa kagera anapokea maaigizo kutoka juu kuwa awaadhibu wasaliti walioko ndani ya chama pia bashiru anataka apewe orodha ya wasaliti mara moja.
Watauana wenyeweVita vya panzi
Wanachokitafuta watakipata ccm ..mapokezi ya mkulu yametiwa DOA kubwaNaona huku kuna joto kali sana ndani ya CCM mwenyekiti wa ccm mkoa wa kagera anapokea maaigizo kutoka juu kuwa awaadhibu wasaliti walioko ndani ya chama pia bashiru anataka apewe orodha ya wasaliti mara moja.
+Mbona mlijaa sana kwenye mkutano wake alipokuja huko
Ni kweli maana we can say yes while we mean no!kagera hawapelekeshwi kama mnavowapelekesha wagogo na wanyamwezi.
Yale mapokezi yalichafua taswira ya mgombea..ndio zikaanza kusikika tetesi za hujumaHahaha ccm inatafuta nini ?!
Ifukuze wanachama wake mkoa mzima ni wasaliti.
Hivi wewe kwa jinsi magufuli alivyowatukana wahaya kwenye tetemeko na jinsi alivyowatesa kabendera na mama yake hadi mama yake akafariki kwa akili zako unategemea magufuli aungwe mkono na wahaya????
Magufuli akipata hata kura 100 za wahaya iyo October 28 a Shukuru sana Mungu!