Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 1,885
- 3,227
Kuwa na hurumaInabidi mcarry tu aisee
Hapana mm Simo katika mkumbo huo sema nawaonea huruma tu wezangNyie si ndo mlienda chuo kula Bata?
VidumeTupe jinsia yako na yake tukupe jibu
Hao wanapatikanaga SUA 🤣🤣🤣🤣Ni hatari kweli kweli, watu wanamfata lecturer niongeze hata alama 1 tu lecturer nae anakuja kama wewe umezikosa mimi nitazitoa wapi?
Maombi yenu yanahitajika sana kwa hawa ndugu zetu.
Mtafutie vochaVidume
Akishatoa koz work hapatikana physically wala digitally anapotea kabsa utakuja kumuona siku ya mtihan wake tuMtafutie vocha
Binafsi nimeshangaa miaka iliyopo pale 😁Nimeona kuna Mwanafunzi wa 2004 alafu ame carry Over, huyo kwa umri lazima amefeli kwa msongo wa matatizo ya familia 🤪
Waache wale Bata...hizo ndio Bata zenyewe za chuo sasaHapana mm Simo katika mkumbo huo sema nawaonea huruma tu wezang
NakaziaWaache wale Bata...hizo ndio Bata zenyewe za chuo sasa
Sasa huyo Lecturer maksi za kuwapa anatoa wapi?Kuwa na huruma
Ukiamua kumsaka jeAkishatoa koz work hapatikana physically wala digitally anapotea kabsa utakuja kumuona siku ya mtihan wake tu