Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu awatetee tuNawa 18 hadi 19.5 unawazungumziaje
Hahahaha...............first degree ukisoma ukiwa na familia ili kufauru inahitaji uishi Bweni, pia ujue ku interact na Vijana lakini familia uwe umeiachia Kadi ya benki au uwe unawatumia fedha ya mahitaji ya kutosha,madogo wa 2004 wengine tuna familia mzee wangu😂
bahati yangu chuo nilichopo CA ukipata hata zero hamna shidaHahahaha...............first degree ukisoma ukiwa na familia ili kufauru inahitaji uishi Bweni, pia ujue ku interact na Vijana lakini familia uwe umeiachia Kadi ya benki au uwe unawatumia fedha ya mahitaji ya kutosha,
Bila kusahau Mama watoto naye kichwa kiwe kinachaji, ukiwa na Mwanamke kimeo anaweza kuchangia ushindwe shule.
Una bahati, wengine hizo zilikuwa zina hesabika.bahati yangu chuo nilichopo CA ukipata hata zero hamna shida
Marks are not awarded are scored.Sasa huyo Lecturer maksi za kuwapa anatoa wapi?
Una hoja, usikilizwe. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vyuo vya wenzetu wameondoa uzembe kwa wanafunzi
Ukifeli somo unasapua kwa $500
Carry Over unalipa $1000
Wakileta hii kwenye vyuo vyeti watu watasoma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inachekeshaa kwa kweliii.Sasa mtu ana 9 anabebwaje [emoji3][emoji3]mtu ana 2, sjui 6 sijui 7 wooi
Wapambane na hali zao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inachekeshaa kwa kweliii.
Nilipataga sap ya QMS first year nililia kama nimefiwa 😀😀😀badae nikagundua kumbe ni kawaida tuVyuo vya wenzetu wameondoa uzembe kwa wanafunzi
Ukifeli somo unasapua kwa $500
Carry Over unalipa $1000
Wakileta hii kwenye vyuo vyeti watu watasoma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnanichekesha sanaaa.Mkiambiwa mkasome mnakuwa wabishi. Wewe semester nzima hukupata hizo 2 au 6 za kuwepo kwenye marks. Yeye unataka ndani ya dk kadhaa azitoe wapi?
Ila chuo jamani, hadi mtu anavaa Joho, acha warushe kofia juu, mie nikirusha itafikaa mawinguniiii juu, malaika wajue coca kahitimu leo.Wapambane na hali zao
Usinikumbushee, nilitoka nduki toka ubungo terminal had class, ila lecturers wanachofanya sio poaa kabisaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Una bahati, wengine hizo zilikuwa zina hesabika.
Ukikutana na Mkufunzi mwingine anavizia weekend ya Jumapili/Jumamosi anaitisha Test ili mradi mfeli wengi kwa kukosa hizo CA
Hapana mm Simo katika mkumbo huo sema nawaonea huruma tu wezang