Hali tete Lecturer hataki kutoa mark up

Hali tete Lecturer hataki kutoa mark up

Usinikumbushee, nilitoka nduki toka ubungo terminal had class, ila lecturers wanachofanya sio poaa kabisaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilikuwaga REP. Kuna kikao nilihusishwa, kuna mwamba alipata fununu kuwa ka-disco. Sasa si nilitoka kwenda kujisadia, mwamba alifuata huko huko na kunitolea macho huku akinisema, NIAMBIE, NIMEDISKO AU SIJADISCO?
 
Chuoni kwetu hakukuaga na hiyo kitu sijui mark up, ilikua ukifeli imeenda hiyo.
Mtafute lecturer kwa muda wako mjue mfanyaje.

Sasa unafeli vipi kama kuna mark up!!?
Mkuu hata hiyo make-up ni uamuzi wa lecturer mwenyewe, akiwa mpole anawapa na haina shida yoyote. Sasa unakuta mwanafunzi haji kwenye kipindi, alafu unaenda kuomba make-up, unatarajia nini?
 
Nilikuwaga REP. Kuna kikao nilihusishwa, kuna mwamba alipata fununu kuwa ka-disco. Sasa si nilitoka kwenda kujisadia, mwamba alifuata huko huko na kunitolea macho huku akinisema, NIAMBIE, NIMEDISKO AU SIJADISCO?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wanavurugwaa mlongo, chuo yaan bas tyuh.
 
Ila chuo jamani, hadi mtu anavaa Joho, acha warushe kofia juu, mie nikirusha itafikaa mawinguniiii juu, malaika wajue coca kahitimu leo.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikikumbuka 😀😀😀😀ule wimbo wa kanyaga kanyaga my wangu ndo pepa la mwisho tumetoka saa tatu usiku mziki unatungoja sipati kukwambia nilivyokanyaga zile notes 😀😀
 
2013 nilikuwa na carry ya Engineering Mathematics. Nilipoenda kufanya hiyo carry nikakuta IMEKAZA BALAA. Nikakusanya nikafanya maswali mawili(2) nikakusanya hata dakika 30 hazikuisha. Nikatoka hapo nikanyooka kwa lecturer nikamwambia haya ni maisha yangu mzee muajiri anasubiri cheti nipeleke. Kabla sijamaliza kuongea naye kumbe wezangu nao waliona moto kama niliouna, ghafla watu kama 30 wako nje ya ofisi ya lecturer hapo. Wote woga hakuna anayetaka kuingia kukazia hoja lecturer akaanza kuniambia njie hamsomi paper yenyewe rahisi hivo. Nikamwambia mzee naona sahizi una mambo mengi ngoja baadae jioni ntakuja nyumbani kwako nikuelezee vizuri, angalia matokeo yangu ya semester zingine nina A za Mathematics mfululizo.
Hapo hapo akasema kwa sauti kubwa ila siyo kali, "NINI UJE KWANGU, UNIARIBIA WANANGU". Akanyanyuka akaangalia huku na huku, akatoa karatasi ya A4 kwenye inkjet printer yake akanipa akaniambia andika jina lako na namba yako ya usajili na uwapatie wenzako. Nikamshukuru akabaki akicheka.
Nilipotoka hapo nikawa nawaza tuu, asipofanya mambo yule mzee hapo nikurudia mwaka mzima.
Yule mzee alikuwa ni msabato safi. Matokeo yalipotoka wote tulioandika majina yetu tulikuwa tumepita kwa neema.

Ndo maisha jamani, PAMBANENI.
 
Nikikumbuka [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ule wimbo wa kanyaga kanyaga my wangu ndo pepa la mwisho tumetoka saa tatu usiku mziki unatungoja sipati kukwambia nilivyokanyaga zile notes [emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ilikuaa hatariiiii,
 
Wengi hufanya makusudi, Sisi kuna Dr wa Structural Analysis I alikuwa anafunga mlango kama umechelewa kisha anatoa Quiz na kuiingiza kwenye CA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bas hapo ni tafraniii tupuuu.
 
Wengi hufanya makusudi, Sisi kuna Dr wa Structural Analysis I alikuwa anafunga mlango kama umechelewa kisha anatoa Quiz na kuiingiza kwenye CA
Kuna Dr na sisi alikuaanavizia 😀😀watu walikariri kipindi cha cha saa moja asubuhi haji siku hiyo kaja class tupo 11 out of 267 akaandika majina akasepa akasema marks 10 free katupa, siku ingine kaja mchana watu tupo wachache akaita groups mnaenda mbele mnakusanya kazi anatiki waliopo anaondoka na kazi zake 😀😀
 
Back
Top Bottom