Hali tete Lecturer hataki kutoa mark up

Hali tete Lecturer hataki kutoa mark up

Nimeshafundiisha vyuo vikuu mbalimbali kwa zaidi ya miaka 35 sasa; hakuna mwanafunzi wangu aliyewahi kushindwa kwa point 1.5. Yaani Kama syllabus yangu inasema kuwa A inaanzia 90 hadi 100 basi wote waliopata kuanzia 88.5 watapata A. Boundary scores zinahitaji busara sana kuzihandle kwani inawezekana kuna homework moja ambayo haikusahihishwa vizuri ikamsoshesha mtoto huyo point moja!
 
Wengi hufanya makusudi, Sisi kuna Dr wa Structural Analysis I alikuwa anafunga mlango kama umechelewa kisha anatoa Quiz na kuiingiza kwenye CA
Iyo ilikuwa tabia ya DR minani yule muha ataki uzembe alikuwa na hiyo tabia asipo toa. Quiz anagawa marks za bure na usipofikisha marks wewe jiandae tu mwakani
 
Nimeshafundiisha vyuo vikuu mbalimbali kwa zaidi ya miaka 35 sasa; hakuna mwanafunzi wangu aliyewahi kushindwa kwa point 1.5. Yaani Kama syllabus yangu inasema kuwa A inaanzia 90 hadi 100 basi wote waliopata kuanzia 88.5 watapata A. Boundary scores zinahitaji busara sana kuzihandle kwani inawezekana kuna homework moja ambayo haikusahihishwa vizuri ikamsoshesha mtoto huyo point moja!
Una akili mno
 
Halafu sio 'Mark up' inaitwa "Make up test"
 
Iyo ilikuwa tabia ya DR minani yule muha ataki uzembe alikuwa na hiyo tabia asipo toa. Quiz anagawa marks za bure na usipofikisha marks wewe jiandae tu mwakani
Hahaha.........huyo inaonekana anaongeleka, ukifeli hapo inakuwa uzembe wako tu
 
Kuna Dr na sisi alikuaanavizia 😀😀watu walikariri kipindi cha cha saa moja asubuhi haji siku hiyo kaja class tupo 11 out of 267 akaandika majina akasepa akasema marks 10 free katupa, siku ingine kaja mchana watu tupo wachache akaita groups mnaenda mbele mnakusanya kazi anatiki waliopo anaondoka na kazi zake 😀😀
Huyo wenu balaa, yaani hata akidi haijatimia yeye anapiga pindi 🙌

Kuna wakati nilikuwa Class Representative, nikiona Dr analeta hizi habari nilikuwa namkatalia, kama darasa la watu 40 nilikuwa namwambia asubirie wafike walau 20+

Wakaniona sio, next semester wakauchukua uCR wao 🙌
 
Sasa vijana mnashindana kupost Uzi wa Rick boy .....mtafaulu saangapi[emoji23][emoji23]
 
Situation kama hiyo ilinikuta nikiwa chuo ili uingie UE lzm uwe na 16 CW sasa CW zimetoka nimekosa alama 2 komaa na ticha kagoma nikakata tamaa jamaa zangu wakaniambia twende uingie tu ufanye itajulikana hukohuko kweli nikajipa moyo nikasoma siku ya pepe nikazama venue kuingia kumbe watu wengi walizama pia ambao hawakufikisha CW venue zote zikajaa ticha haelewi akaanza biti kama umeingia hujafikisha CW toka mwenyewe watu kimya na muda unaenda piga biti hakuna aliyetoka mwisho zikatafutwa venue nyingine tukafanya pepa nimepiga ile pepa majibu yametoka nimefaulu vizuri kabisa
Hii mbona ni discontinue ya wazi kabisaaa...
 
Huyo wenu balaa, yaani hata akidi haijatimia yeye anapiga pindi 🙌

Kuna wakati nilikuwa Class Representative, nikiona Dr analeta hizi habari nilikuwa namkatalia, kama darasa la watu 40 nilikuwa namwambia asubirie wafike walau 20+

Wakaniona sio, next semester wakauchukua uCR wao 🙌
Kipondi kinaanza saa moja kamili kaja na dakika 40 hakuna watu alafu unataka afanyeje 😀😀😀😀tulikariri vibaya kipindi cha asubuhi haamki anapenda raha 😀😀😀😀
 
Kipondi kinaanza saa moja kamili kaja na dakika 40 hakuna watu alafu unataka afanyeje 😀😀😀😀tulikariri vibaya kipindi cha asubuhi haamki anapenda raha 😀😀😀😀
Poleni aisee, hao Waalimu wa hivyo huwa watata sana.

Hongereni pia kama mlihitimu salama
 
Back
Top Bottom