Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Nilikuwaga REP. Kuna kikao nilihusishwa, kuna mwamba alipata fununu kuwa ka-disco. Sasa si nilitoka kwenda kujisadia, mwamba alifuata huko huko na kunitolea macho huku akinisema, NIAMBIE, NIMEDISKO AU SIJADISCO?Usinikumbushee, nilitoka nduki toka ubungo terminal had class, ila lecturers wanachofanya sio poaa kabisaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
BAED wamekukosea nini mkuu?Course zenye wanafunzi wengi zinajulikana[emoji16][emoji16][emoji16]poleni
Kiuhalali, kama lecturer kafundisha ipasavyo, na amewa assess wanafunzi wake vizuri. Hapaswi kutoa maksi za bure. Wapo wanaofanya standardisation wakitaka lakini hawalazimiki kufanya hivyo.Ndo kasema yeye hana maksi wasome mwakani
Mkuu hata hiyo make-up ni uamuzi wa lecturer mwenyewe, akiwa mpole anawapa na haina shida yoyote. Sasa unakuta mwanafunzi haji kwenye kipindi, alafu unaenda kuomba make-up, unatarajia nini?Chuoni kwetu hakukuaga na hiyo kitu sijui mark up, ilikua ukifeli imeenda hiyo.
Mtafute lecturer kwa muda wako mjue mfanyaje.
Sasa unafeli vipi kama kuna mark up!!?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wanavurugwaa mlongo, chuo yaan bas tyuh.Nilikuwaga REP. Kuna kikao nilihusishwa, kuna mwamba alipata fununu kuwa ka-disco. Sasa si nilitoka kwenda kujisadia, mwamba alifuata huko huko na kunitolea macho huku akinisema, NIAMBIE, NIMEDISKO AU SIJADISCO?
Nikikumbuka ππππule wimbo wa kanyaga kanyaga my wangu ndo pepa la mwisho tumetoka saa tatu usiku mziki unatungoja sipati kukwambia nilivyokanyaga zile notes ππIla chuo jamani, hadi mtu anavaa Joho, acha warushe kofia juu, mie nikirusha itafikaa mawinguniiii juu, malaika wajue coca kahitimu leo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wengi hufanya makusudi, Sisi kuna Dr wa Structural Analysis I alikuwa anafunga mlango kama umechelewa kisha anatoa Quiz na kuiingiza kwenye CAUsinikumbushee, nilitoka nduki toka ubungo terminal had class, ila lecturers wanachofanya sio poaa kabisaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Imeishaaa iyooAkishatoa koz work hapatikana physically wala digitally anapotea kabsa utakuja kumuona siku ya mtihan wake tu
ππππKimya kimya kaka mpwayungu is around the cornerBAED wamekukosea nini mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ilikuaa hatariiiii,Nikikumbuka [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ule wimbo wa kanyaga kanyaga my wangu ndo pepa la mwisho tumetoka saa tatu usiku mziki unatungoja sipati kukwambia nilivyokanyaga zile notes [emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bas hapo ni tafraniii tupuuu.Wengi hufanya makusudi, Sisi kuna Dr wa Structural Analysis I alikuwa anafunga mlango kama umechelewa kisha anatoa Quiz na kuiingiza kwenye CA
Hatari, wale wazee nuksi kweli yaani π[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bas hapo ni tafraniii tupuuu.
Kuna Dr na sisi alikuaanavizia ππwatu walikariri kipindi cha cha saa moja asubuhi haji siku hiyo kaja class tupo 11 out of 267 akaandika majina akasepa akasema marks 10 free katupa, siku ingine kaja mchana watu tupo wachache akaita groups mnaenda mbele mnakusanya kazi anatiki waliopo anaondoka na kazi zake ππWengi hufanya makusudi, Sisi kuna Dr wa Structural Analysis I alikuwa anafunga mlango kama umechelewa kisha anatoa Quiz na kuiingiza kwenye CA