Tetesi: Hali tete Tanzania: Baraza la Maaskofu laandaa Waraka Mzito wa X-Mass

Jiwe lazima ataomba "poo" kama sio kupagwa.

Christmas inaweza kupigwa marufuku kama zile sherehe zilizokuwa zifanyike hivi karibuni.
Ni hapo Christmas itakapo ahirishwa na ela yake kupangiwa kazi nyingine, yetu macho,
Ah ah....
 
Wamruke kwenye mgawo Wa sakrament ,waende kwa anaefata labda itasaidia
 
JIWE PIGA MARUKUFU SKUKUU YA XMAS... FEDHA ZOOTE KAZITUMIE KULISHA ULIOWASWEKA LUPANGO
Fedha zipi? kwan xmas uandaliwa na setikali ? au unasema sadaka za waumini ? kama hawatoenda kanisani sasa sadaka zitoka wapi ??
 
Kama unatoka kwa. Maaskofu hauna maana...
 
Fedha zipi? kwan xmas uandaliwa na setikali ? au unasema sadaka za waumini ? kama hawatoenda kanisani sasa sadaka zitoka wapi ??
we tulixa makalio humjui jiwe mipango yake
 
Waraka umeshapigwa marufuku kushomwa so msitegemee kuupata
 
Rais wetu mtukufu anafanya kazi nzuri sana, tuendelee kumuombea #Tanzania ni nchi tajiri sana.
 
Wewe ni mzushi tu....... Labda angesema Matola!
 
Huo waraka hautakuwa na maana. Ni sawa na abiria kujamba akiwa kwenye boda boda
 
Ndiyo mwezi upi huo?
 
Na wewe ni Askofu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…