njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Struggle is real my friend, hali ikienda hivi inabidi wafanye kale ka mchezo cha last year kuingiza watu bure siku husika yaani kesho kwa sababu hakuna namna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na jumatatu asilimia70 ya mashabiki wao watakuja wamevaa chapa sportspesa patam hapoMpaka sasa mnaendelea kubandua nembo ya mdhamini aliepita sportpesa aisee msimu huu mtavaa vizibao kama jezi
Na ndo maana mod huwa wanafuta..Hizi nguvu ungewekeza kupambana na umasikini unge waachia watoto wako ahueni
utopoloni huko inaelekea kila mtu tajiri sana???? kila mkishikwa makende mnakimbilia punchline ya kujifanya mnazo pesa sana, Imbecile.Mkuu usipojiangalia utakufa na ufukara hivyohivyo.. Make your money.. Achana na mambo yasiyokusaidia maishani
Tulia dozi iiingie wewe Topo bin topolo...hakisheni kesho mnaingiza watu bure la sivyo kutakuwa na mapengoNa ndo maana mod huwa wanafuta..
Naunga mkono hoja.
Simba haigharamii jezi, anayegharamia ni Vunjabei maana alishailipa Simba 2B. Kwa hiyo hapo hela za udhamini hazihusiki, zimetulia zinasubiri matumizi mengineVip jezi zishatoka, udhamini wa 26.1 bil ila mpaka sasa hazi heleweki kaa zinatoka China au India.
tunawapa mileage ya burebure mwishoni hiyo kampuni maskini hata jezi za kilimanjaro na vodacom zitakuwepo pia sembuse za tarimbaNa jumatatu asilimia70 ya mashabiki wao watakuja wamevaa chapa sportspesa patam hapo
kweli hiyo na katika hizo 27,000 kuna tawi lao maarufu limegawa tiketi nyingi sana leo za burekama ni kweli ni jambo la kufikirisha ila crdb si wameweka mpunga naamini mambo yataaenda vyema tu
topo bin topolo na hapo ume comment kupitia freebasics huna hata bando halafu unavimbaHizi nguvu ungewekeza kupambana na umasikini unge waachia watoto wako ahueni
Anzisha uzi uandike kuhusu gwiji la kusambaza porn tanzania kama hawatafutaNa ndo maana mod huwa wanafuta..
Naunga mkono hoja.
We jamaa propoganda na Majungu kwako vimevuka mipaka. Naungana aliyekushauri kutumia muda wako kutengeneza mambo ya msingi kwako na familia yako pia. Huu mwendo unaoenda nao hutoboi.Struggle is real my friend, hali ikienda hivi inabidi wafanye kale ka mchezo cha last year kuingiza watu bure siku husika yaani kesho kwa sababu hakuna namna
View attachment 2315399
Kwa hiyo hata akitoa mwakani sawa,mkataba haumbani. Ila nyie Simba mikataba yenu ni ya kipekee........Simba haigharamii jezi, anayegharamia ni Vunjabei maana alishailipa Simba 2B. Kwa hiyo hapo hela za udhamini hazihusiki, zimetulia zinasubiri matumizi mengine
Ila vilaza kama wewe hamkosekaniNa jumatatu asilimia70 ya mashabiki wao watakuja wamevaa chapa sportspesa patam hapo
Mti wenye matunda ndio unaopigwa .Struggle is real my friend, hali ikienda hivi inabidi wafanye kale ka mchezo cha last year kuingiza watu bure siku husika yaani kesho kwa sababu hakuna namna
View attachment 2315399
Nakwambia Kila siku wewe ni mshangiliaji siyo shabiki. Kama kweli Yanga mpaka Sasa wameuza tiketi 27k katika nchi ambayo zaidi ya 75% ya wanaoingia kwenye viwanja kuangalia soka wanakata tiketi siku ya Mechi, basi kesho watu wengi watabaki nje.Struggle is real my friend, hali ikienda hivi inabidi wafanye kale ka mchezo cha last year kuingiza watu bure siku husika yaani kesho kwa sababu hakuna namna
View attachment 2315399