Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Kuna wazee wana dawa za kienyeji...mlevi yoyote akipewa lazima aache ulevi ..iwe bangi,pombe na hata sigara...labda wampeleke huko.KigambonI kwa Pili misana alishapelekwa kipind kile mwanzoni kabisa,then akaja kupelekwa Zanzibar, then Bagamoyo, Alivyotoka Bagamoyo kidogo ndo alibadilika kabisa,akapata hadi mwili , ila ndo hivyo amerudi tena kwenye njia yake
Mengine yanakuwa mapepo machafu yamemkalia mtu kichwani. Kila akijitahidi kujinasua, yanamrudisha upya...mama ake ampeleke akafanyiwe visomo na apewe dawa za mitishamba. Tatizo mtu mwenyewe ni mjuaji