Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Chunga wanao na masela Mavi sio watu wazuri
Katika vifo vilivyoniuma zaidi ni KIFO cha Pancho Latino wale Jamaa eti anazama wanamuona wanamuacha tu wanaanza kulialia na clip Video wanachukua Ile iliniuma kishenzi
Weka wanao mbali sana na masela Mavi
Amepona vipi na unaambia anakaa maskani na mateja..Chid mboni alishapona au wewe unazungumzia nini Chid kinachomsumbua sasa hivi ni tungi anakunywa sana na alishashauriwa na Daktari aache mitungi Ila Mzee anarudi kule kule sababu ni masela wanaomzunguka wale masela wa Ilala wote anabidi awapige chini ndio wanaomrudisha SHIMONI
Rip langaR.I.P Geez Mabovu!!
Ndio usitoke kwenye mstari ukaungana na kampani za kishamba utarudishwa shamba ukiwa hujitambuiHaya maisha yamejaa mambo mengi sana usipokua makini utakufa kwa stress.... Mfano mm haya maisha ninayoishi ni tofauti kabisa na matarajio yangu, najiona kabisa nime underachieve.... Naamua tu ku-smile coz nikileta tu ujuaji nitajikuta nazungumzwa kwenye topic moja na wakina child benz
Ucjal mkuu mamb yatakaa sawa tu.Haya maisha yamejaa mambo mengi sana usipokua makini utakufa kwa stress.... Mfano mm haya maisha ninayoishi ni tofauti kabisa na matarajio yangu, najiona kabisa nime underachieve.... Naamua tu ku-smile coz nikileta tu ujuaji nitajikuta nazungumzwa kwenye topic moja na wakina child benz
Ngoja masela wamtoe Divi Kwa mara ya tatu ndo akili imkae sawaKupona uraibu wa madawa sio rahisi hivyo hasa km bado anarudi kwenye kampani ileile iliyomuingiza huko, mtu aliyeshakuwq mraibu wa madawa sasa hivi mraibu wa pombe kurudi kwwnye madawa ni kugusa
Wewe pia Msela MaviHili neno naona umejifunza leo basi ndo limekuwa chorus.
Ndo yamekujaa kichwani dogo. Mnavuta sana machicha....Wewe pia Msela Mavi
Huyu bwana ni example of poor life choices wakati wa mafanikioHali ya Msanii wa Hiphop Rashidi Makwilo (Chidibenz) inasikitisha sana sana, Siku za hivi karibuni amekua akiishi Msasani (Maandazi road) maskani moja na mateja, Kinachonisikitisha zaidi jamaa anaonekana hayuko sawa kiafya miguu imevimba, anaonekana aliumia na hajapona vizuri,miguu ameifunga bandage na anatembelea ndala, Nimemuona leo asubuhi nikiwa naelekea kazini atembea kwa msaada wa watu wanampa support (Nahisi alikuwa amelewa sana) Uso wake ni kama hauna matumaini
Nitoe wito kwa wasanii wenzake na Familia yake wamfuate pale msasani coz anaishi maskani na hana mtu wa kumuangalia, Sina uhakika ila kuna uwezekano labda amerudi tena kwenye wimbi la madawa ya kulevya
Kwa inavyoonekana ni kama wasanii wenzake wamemsusa, hawana time naye tena Lakini naona sio sahihi coz ni Msanii mwenzao inabidi wakubali kubeba hili jukumu la kumlinda na kumtunza Chidibenz, Juzi kwenye show ya Serengeti pale K/nyama viwanja vya posta, Chidibenz alipanda Wakimtenga hivi depression inaweza ikammaliza kabisa, Kwa upande wa Familia yake sijui wao wamejipangaje coz inaumiza sana kumuona Ndugu au mtu wako wa karibu akiwa anapitia kipindi kigumu
Vijana tujitahidini sana kuishi kwa nidhamu, Ujana una mambo mengi bila yakua na nidhamu ni rahisi kuanguka
Ukifanya tathimini utagundua madawa ya kulevya wayamewadhuru wasanii wengi sana.Mimi sikubaliani na wewe. Enzi akiwa kwenye peak alikuwa ni msanii ambaye alikuwa ana shows nyingi ana make ela ndefu shida ni pale alipotaka kuishi maisha aliyokuwa anayaona kwenye TV ya kutembea na msululu wa watu na kuwalisha na kuwanywesha na kuishi the same lifestyle kama la black American movies.
Haya ni matokeo ya kufanya uchaguzi mbovu maishani. Kwa kipindi chake na pesa aliyokuwa anapata kwa kipindi hicho ilikuwa nyingi angefanya kitu. Sidhani mtu kama Jay Mo alipata pesa nyingi kuliko Chid, but alifanya uamuzi sahihi.
Sasa hivi ni vigumu sana kumsaifia Chid kwanza kila anayetaka kumsaidia anageuka adui. Refer kisa chake na Diamond. Kaingiza vocal kwenye wimbo wake kumboost, kweli wimbo ukaenda hata mimi nilikuja kuusikiliza baada ya kuona ile performance yao, later anamkandia.
Chid kutumia madawa kaanza kuyatumia akiwa kwenye peak, akitumia madawa na pombe. So pesa imekata tayari ashakuwa addicted na madawa.
Walimuua?Rip langa
Langa alikuwa mtu sana ila masela mavi wakafanya yao
Kama kweli ni mteja, mtu pekee anayeweza kumsaidia Chidi Benz ni Chidi Benz.Hali ya Msanii wa Hiphop Rashidi Makwilo (Chidibenz) inasikitisha sana sana, Siku za hivi karibuni amekua akiishi Msasani (Maandazi road) maskani moja na mateja, Kinachonisikitisha zaidi jamaa anaonekana hayuko sawa kiafya miguu imevimba, anaonekana aliumia na hajapona vizuri,miguu ameifunga bandage na anatembelea ndala, Nimemuona leo asubuhi nikiwa naelekea kazini atembea kwa msaada wa watu wanampa support (Nahisi alikuwa amelewa sana) Uso wake ni kama hauna matumaini
Nitoe wito kwa wasanii wenzake na Familia yake wamfuate pale msasani coz anaishi maskani na hana mtu wa kumuangalia, Sina uhakika ila kuna uwezekano labda amerudi tena kwenye wimbi la madawa ya kulevya
Kwa inavyoonekana ni kama wasanii wenzake wamemsusa, hawana time naye tena Lakini naona sio sahihi coz ni Msanii mwenzao inabidi wakubali kubeba hili jukumu la kumlinda na kumtunza Chidibenz, Juzi kwenye show ya Serengeti pale K/nyama viwanja vya posta, Chidibenz alipanda Wakimtenga hivi depression inaweza ikammaliza kabisa, Kwa upande wa Familia yake sijui wao wamejipangaje coz inaumiza sana kumuona Ndugu au mtu wako wa karibu akiwa anapitia kipindi kigumu
Vijana tujitahidini sana kuishi kwa nidhamu, Ujana una mambo mengi bila yakua na nidhamu ni rahisi kuanguka
ChibuUkifanya tathimini utagundua madawa ya kulevya wayamewadhuru wasanii wengi sana.
Ngwair, langa, chiddy Benz, Ray C, O-ten,Mr.blue,Banza stone, majina mengine sijayakumbuka hapa ila ni wengi mno.
Kabisa kuingia kwenye madawa ni chap.Kupona uraibu wa madawa sio rahisi hivyo hasa km bado anarudi kwenye kampani ileile iliyomuingiza huko, mtu aliyeshakuwq mraibu wa madawa sasa hivi mraibu wa pombe kurudi kwwnye madawa ni kugusa
Sana mkuu wengi sana. Sijui huwa wanaingia kwa kujua au kuna watu huwa wanawategeshea then wanajikuta tayari washaingia maana wana mifano mingi ya wenzao waliopotezwa na hiki kitu.Ukifanya tathimini utagundua madawa ya kulevya wayamewadhuru wasanii wengi sana.
Ngwair, langa, chiddy Benz, Ray C, O-ten,Mr.blue,Banza stone, majina mengine sijayakumbuka hapa ila ni wengi mno.
Linachomsumbua chiddy kwasasa ni depression sio uteja kama awali. Vita ya uteja ameshaishinda kwa kiwango kikubwa, kwa sasa anachohangaika nacho ni kukubaliana na hali kuwa yeye sie tena yule chiddy Benz aliyekuwa kwenye Peak level za kimataifa, kwasasa amechafua image yake jamii inamtazama kama teja au muathirika wa madawa.Tumchangie pesa ya matibabu aende India. Mazombi rusheni pesa ya matibabu kwenye namba Ile Ile.
Wasanii wanaishi kisanii,wanasubiri wasikie kazima utaona watakavyomiminika msibani,wengine wakilia kwa uchungu utafikiri walikua hawajui aliyokua anapitia...Hali ya Msanii wa Hiphop Rashidi Makwilo (Chidibenz) inasikitisha sana sana, Siku za hivi karibuni amekua akiishi Msasani (Maandazi road) maskani moja na mateja, Kinachonisikitisha zaidi jamaa anaonekana hayuko sawa kiafya miguu imevimba, anaonekana aliumia na hajapona vizuri,miguu ameifunga bandage na anatembelea ndala, Nimemuona leo asubuhi nikiwa naelekea kazini atembea kwa msaada wa watu wanampa support (Nahisi alikuwa amelewa sana) Uso wake ni kama hauna matumaini
Nitoe wito kwa wasanii wenzake na Familia yake wamfuate pale msasani coz anaishi maskani na hana mtu wa kumuangalia, Sina uhakika ila kuna uwezekano labda amerudi tena kwenye wimbi la madawa ya kulevya
Kwa inavyoonekana ni kama wasanii wenzake wamemsusa, hawana time naye tena Lakini naona sio sahihi coz ni Msanii mwenzao inabidi wakubali kubeba hili jukumu la kumlinda na kumtunza Chidibenz, Juzi kwenye show ya Serengeti pale K/nyama viwanja vya posta, Chidibenz alipanda Wakimtenga hivi depression inaweza ikammaliza kabisa, Kwa upande wa Familia yake sijui wao wamejipangaje coz inaumiza sana kumuona Ndugu au mtu wako wa karibu akiwa anapitia kipindi kigumu
Vijana tujitahidini sana kuishi kwa nidhamu, Ujana una mambo mengi bila yakua na nidhamu ni rahisi kuanguka