Hali ya Chid Benz Inasikitisha sana

Hali ya Chid Benz Inasikitisha sana

Mkuu uraibu ni mbaya ila uraibu mbaya zaidi ni ule unaoathiri afya yako ya mwili mkuu kama mdawa na ulevi na ngono zembe.

Kuna watu wana uraibu na soka yani hakosi kuangalia ligi za mipira kila wakati hadi anakera kwa kuchelewa kurudi home. Hio inaathiri socially ila sio health ya mrahibu.

Kuna wacheza kamari, hio athari zake ni kiuchumi ila afya ya mkamaria inabakia stable.
Weweeeee nani kasema mcheza kamari afya inabaki stable, kuna heart attack mkuu, ulcers, strokes, mental illiness n.k

Ukisha athirika kiuchumi kama physical mind hauko sawa na afya itadeteorerate the same..

Watch movies na kuwa mpenzi wa soka tusiviweke kwenye uraibu tuviite hobby......uraibu huwa na nguvu kubwa na starehe isiyo kifani (starehe inayolipiwa gharama)....
 
Hali ya Msanii wa Hiphop Rashidi Makwilo (Chidibenz) inasikitisha sana sana, Siku za hivi karibuni amekua akiishi Msasani (Maandazi road) maskani moja na mateja, Kinachonisikitisha zaidi jamaa anaonekana hayuko sawa kiafya miguu imevimba, anaonekana aliumia na hajapona vizuri,miguu ameifunga bandage na anatembelea ndala, Nimemuona leo asubuhi nikiwa naelekea kazini atembea kwa msaada wa watu wanampa support (Nahisi alikuwa amelewa sana) Uso wake ni kama hauna matumaini

Nitoe wito kwa wasanii wenzake na Familia yake wamfuate pale msasani coz anaishi maskani na hana mtu wa kumuangalia, Sina uhakika ila kuna uwezekano labda amerudi tena kwenye wimbi la madawa ya kulevya

Kwa inavyoonekana ni kama wasanii wenzake wamemsusa, hawana time naye tena Lakini naona sio sahihi coz ni Msanii mwenzao inabidi wakubali kubeba hili jukumu la kumlinda na kumtunza Chidibenz, Juzi kwenye show ya Serengeti pale K/nyama viwanja vya posta, Chidibenz alipanda Wakimtenga hivi depression inaweza ikammaliza kabisa, Kwa upande wa Familia yake sijui wao wamejipangaje coz inaumiza sana kumuona Ndugu au mtu wako wa karibu akiwa anapitia kipindi kigumu

Vijana tujitahidini sana kuishi kwa nidhamu, Ujana una mambo mengi bila yakua na nidhamu ni rahisi kuanguka
Jeuri na kiburi ndio imemfanya watu wamuache waliokaa nae wanajua hio tabia yake ya ukorofiii ndio maana saiv kama wamemsusa
 
Hali ya Msanii wa Hiphop Rashidi Makwilo (Chidibenz) inasikitisha sana sana, Siku za hivi karibuni amekua akiishi Msasani (Maandazi road) maskani moja na mateja, Kinachonisikitisha zaidi jamaa anaonekana hayuko sawa kiafya miguu imevimba, anaonekana aliumia na hajapona vizuri,miguu ameifunga bandage na anatembelea ndala, Nimemuona leo asubuhi nikiwa naelekea kazini atembea kwa msaada wa watu wanampa support (Nahisi alikuwa amelewa sana) Uso wake ni kama hauna matumaini

Nitoe wito kwa wasanii wenzake na Familia yake wamfuate pale msasani coz anaishi maskani na hana mtu wa kumuangalia, Sina uhakika ila kuna uwezekano labda amerudi tena kwenye wimbi la madawa ya kulevya

Kwa inavyoonekana ni kama wasanii wenzake wamemsusa, hawana time naye tena Lakini naona sio sahihi coz ni Msanii mwenzao inabidi wakubali kubeba hili jukumu la kumlinda na kumtunza Chidibenz, Juzi kwenye show ya Serengeti pale K/nyama viwanja vya posta, Chidibenz alipanda Wakimtenga hivi depression inaweza ikammaliza kabisa, Kwa upande wa Familia yake sijui wao wamejipangaje coz inaumiza sana kumuona Ndugu au mtu wako wa karibu akiwa anapitia kipindi kigumu

Vijana tujitahidini sana kuishi kwa nidhamu, Ujana una mambo mengi bila yakua na nidhamu ni rahisi kuanguka
Msasani mitaa hiyo ni mitaa ya mateja wala unga ..
 
Umeongea point. Wanyonyaji katika hiyo sekta ya music ndo wamewafikisha wengi hapo mahala oabaya walipofika, miongoni kwao Tod na q.chief. Vijana walikuwa na vipaji lakini wanyonyaji wakawadhibiyi na kuwakamdamiza na kiwataka wafate SHERIA zao kandamizi na wakiuliza tu wanapotezwa kwenye industry, muziki Yao haipigwi... management za kinyonyaji miongoni kwao marehemu Ruge na Joseph kusaga na kina chief kumbe... Diamond mjanja sana alkwasanukia mapema akatupa huko, ingawa mpaka Sasa sio kwamba yupo salama sana sababu bado wamemganda na wanampa percentage kidogo hapo wasafi...let's wait and see kama atafanikiwa kwenye hiyo seven media
Mkuu kwa dunia ya sasa ilivyo hakuna wa kumlaumu juu ya maisha yako, hata wazazi wako pia.
Kama ulinyanyaswa enzi ukiwa mdogo,kama ulifanywa vibaya au namna gani vipi, dunia ya sasa haina hiyo loophole ya kuruhusu lawama zisaidie.

Oanisha unyonyaji na ubwiaji wa unga!! Unakuja kuona kua kubwia unga ni maamuzi binafsi ya mtu, angeweza kua mlevi kama Dulayo ila yeye kachangua unga.
Whu ulaumu wengine kwa makosa yako binafsi??

Dunia haina huruma, usiige maisha, makosa yako ni fursa kwa wengine
 
Ukifanya tathimini utagundua madawa ya kulevya wayamewadhuru wasanii wengi sana.

Ngwair, langa, chiddy Benz, Ray C, O-ten,Mr.blue,Banza stone, majina mengine sijayakumbuka hapa ila ni wengi mno.
Ongezea na Pauline Zongo, Q Chief na kuna baadhi waliingia wakafanikiwa kuchomoka kupitia rehab
 
Unajua hakuna watu wabishi kama mateja na maraibu wake ukitaka kujua kua mraibu then utakuja kutuambia ie. Maraibu wa nyeto, papuchi/mbususu, mihadarati, pombe e.t.c

Huwa Ni very starborn hasa watu wa madawa ya kulevya kikubwa labda mtu akiweza kupunguza ujuaji na ubishi anaweza kubebeka mfano chidi Benz msikilize kwenye interview anajiona GODFATHER in every move in life..

Kwa kweli mungu amsaidie sanaaa
 
Hali ya Msanii wa Hiphop Rashidi Makwilo (Chidibenz) inasikitisha sana sana, Siku za hivi karibuni amekua akiishi Msasani (Maandazi road) maskani moja na mateja, Kinachonisikitisha zaidi jamaa anaonekana hayuko sawa kiafya miguu imevimba, anaonekana aliumia na hajapona vizuri,miguu ameifunga bandage na anatembelea ndala, Nimemuona leo asubuhi nikiwa naelekea kazini atembea kwa msaada wa watu wanampa support (Nahisi alikuwa amelewa sana) Uso wake ni kama hauna matumaini

Nitoe wito kwa wasanii wenzake na Familia yake wamfuate pale msasani coz anaishi maskani na hana mtu wa kumuangalia, Sina uhakika ila kuna uwezekano labda amerudi tena kwenye wimbi la madawa ya kulevya

Kwa inavyoonekana ni kama wasanii wenzake wamemsusa, hawana time naye tena Lakini naona sio sahihi coz ni Msanii mwenzao inabidi wakubali kubeba hili jukumu la kumlinda na kumtunza Chidibenz, Juzi kwenye show ya Serengeti pale K/nyama viwanja vya posta, Chidibenz alipanda Wakimtenga hivi depression inaweza ikammaliza kabisa, Kwa upande wa Familia yake sijui wao wamejipangaje coz inaumiza sana kumuona Ndugu au mtu wako wa karibu akiwa anapitia kipindi kigumu

Vijana tujitahidini sana kuishi kwa nidhamu, Ujana una mambo mengi bila yakua na nidhamu ni rahisi kuanguka
Anavuna alichopanda!
Alikula watoto wa watu, wanafunzi wa sekondari mpaka chuo!
ukipanda mchicha tegema mchia ndio utavuna na si mnafu!

Hawa akina Diamond wanachezea watoto wa watu watalipa tu, what goes around comes around!
 
Back
Top Bottom