Hali ya Chid Benz Inasikitisha sana

Weweeeee nani kasema mcheza kamari afya inabaki stable, kuna heart attack mkuu, ulcers, strokes, mental illiness n.k

Ukisha athirika kiuchumi kama physical mind hauko sawa na afya itadeteorerate the same..

Watch movies na kuwa mpenzi wa soka tusiviweke kwenye uraibu tuviite hobby......uraibu huwa na nguvu kubwa na starehe isiyo kifani (starehe inayolipiwa gharama)....
 
Jeuri na kiburi ndio imemfanya watu wamuache waliokaa nae wanajua hio tabia yake ya ukorofiii ndio maana saiv kama wamemsusa
 
Msasani mitaa hiyo ni mitaa ya mateja wala unga ..
 
Mkuu kwa dunia ya sasa ilivyo hakuna wa kumlaumu juu ya maisha yako, hata wazazi wako pia.
Kama ulinyanyaswa enzi ukiwa mdogo,kama ulifanywa vibaya au namna gani vipi, dunia ya sasa haina hiyo loophole ya kuruhusu lawama zisaidie.

Oanisha unyonyaji na ubwiaji wa unga!! Unakuja kuona kua kubwia unga ni maamuzi binafsi ya mtu, angeweza kua mlevi kama Dulayo ila yeye kachangua unga.
Whu ulaumu wengine kwa makosa yako binafsi??

Dunia haina huruma, usiige maisha, makosa yako ni fursa kwa wengine
 
Ukifanya tathimini utagundua madawa ya kulevya wayamewadhuru wasanii wengi sana.

Ngwair, langa, chiddy Benz, Ray C, O-ten,Mr.blue,Banza stone, majina mengine sijayakumbuka hapa ila ni wengi mno.
Ongezea na Pauline Zongo, Q Chief na kuna baadhi waliingia wakafanikiwa kuchomoka kupitia rehab
 
Unajua hakuna watu wabishi kama mateja na maraibu wake ukitaka kujua kua mraibu then utakuja kutuambia ie. Maraibu wa nyeto, papuchi/mbususu, mihadarati, pombe e.t.c

Huwa Ni very starborn hasa watu wa madawa ya kulevya kikubwa labda mtu akiweza kupunguza ujuaji na ubishi anaweza kubebeka mfano chidi Benz msikilize kwenye interview anajiona GODFATHER in every move in life..

Kwa kweli mungu amsaidie sanaaa
 
Anavuna alichopanda!
Alikula watoto wa watu, wanafunzi wa sekondari mpaka chuo!
ukipanda mchicha tegema mchia ndio utavuna na si mnafu!

Hawa akina Diamond wanachezea watoto wa watu watalipa tu, what goes around comes around!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…