Hali ya Chid Benz Inasikitisha sana

Hali ya Chid Benz Inasikitisha sana

Levo zangu hawazifikii nimewakamata nyoyko nyoko siwasikii,ona wameanza majungu tamu kwangu kwao chungu .ilala ilala ilalaaaa mikono mfululu yaani papapapaapapaa wamekaaaaaaaa!

Aiseee maisha mbupu za mbuzi leo mbele kesho nyuma ,chid ndiyo basi tena hawezi kurudi kuwa normal ,mguu kuendelea kuwa na vidonda means bado ni nyoka(mla unga).
Kama amerudi kwenye unga, bas this time Gari limewaka kweli kweli
 
mguu kuendelea kuwa na vidonda means bado ni nyoka(mla unga).
Mguu kua na kidonda sio lazima ule unga, hata wewe hauli unga Ila unaweza ukachezewa tu nywele zako ziote km Mchicha mafungu mafungu hapa zinaota pale hazioti alafu watu waanze kukusema au ghafla unaanza kuota kiualaza cha Ben M watu wanaanza kujiuliza lile Afro lako imekuaje umepatwa na nini au ghafla tu unaanza kuota majipu sehemu nyeti majipu hayaishi na ukitumia hata Dawa gani majipu km unayaongeza tu kasi yaan hayaishi na hayasikii Dawa cha kufanya ni nini mrudie Mola wako piga Goti chini mengine ni majaribu ya Dunia tu na yanapita, wapi Fanani wa Hard Blasters kuna mtu anaemuongelea tofauti? Na alikua mraibu Chid hamfikii Ila sasa hivi nini kimetokea

Chid aachane na wale masela Mavi vidonda vyote atapona atapona ndani atapona nje Ila akikomaa nao soon watamtanguliza walianza na Mguu wakamtoboa sasa hivi anahangaika nao sasa akiendelea kukomaa nao wale masela Mavi anaowaona km masela wake wa utotoni na anawajua kabisa hawa ni masela Mavi soon watamuingiza SHIMONI masela Mavi hawafai si unaona wametoboa Mguu anahangaika nao Mguu chanzo ni masela Mavi
 
IMG_20240622_093128.jpg
 
Chidi benzi ni sikio la kufa. Mnalaumu tu wasanii wenzake, Jamaa kwa hali aliyofikia hata apewe million 100 itaisha ndani ya mwezi kisha atarudia hali yake.
Now ni zaidi ya gunia la misumari hakuna anaeweza kulibeba
 
Hali ya Msanii wa Hiphop Rashidi Makwilo (Chidibenz) inasikitisha sana sana, Siku za hivi karibuni amekua akiishi Msasani (Maandazi road) maskani moja na mateja, Kinachonisikitisha zaidi jamaa anaonekana hayuko sawa kiafya miguu imevimba, anaonekana aliumia na hajapona vizuri,miguu ameifunga bandage na anatembelea ndala, Nimemuona leo asubuhi nikiwa naelekea kazini atembea kwa msaada wa watu wanampa support (Nahisi alikuwa amelewa sana) Uso wake ni kama hauna matumaini

Nitoe wito kwa wasanii wenzake na Familia yake wamfuate pale msasani coz anaishi maskani na hana mtu wa kumuangalia, Sina uhakika ila kuna uwezekano labda amerudi tena kwenye wimbi la madawa ya kulevya

Kwa inavyoonekana ni kama wasanii wenzake wamemsusa, hawana time naye tena Lakini naona sio sahihi coz ni Msanii mwenzao inabidi wakubali kubeba hili jukumu la kumlinda na kumtunza Chidibenz, Juzi kwenye show ya Serengeti pale K/nyama viwanja vya posta, Chidibenz alipanda kwenye show ya Rosa ree lakini hakuchukua mda akashushwa, na alikua amevaa ndala, Wakiendelea Kumtenga hivi depression inaweza ikam-maliza kabisa, Kwa upande wa Familia yake sijui wao wamejipangaje coz inaumiza sana kumuona Ndugu au mtu wako wa karibu akiwa anapitia kipindi kigumu

Vijana tujitahidini sana kuishi kwa nidhamu, Ujana una mambo mengi bila yakua na nidhamu ni rahisi kuanguka
Si mlikua mnamsifia kwamba ni giniazi,tulitegemea giniaz ajue jinsi ya kujihandle na kujicontrol mmemjaza ujinga na kumpoteza kwenye ramani tena.
 
Hali ya Msanii wa Hiphop Rashidi Makwilo (Chidibenz) inasikitisha sana sana, Siku za hivi karibuni amekua akiishi Msasani (Maandazi road) maskani moja na mateja, Kinachonisikitisha zaidi jamaa anaonekana hayuko sawa kiafya miguu imevimba, anaonekana aliumia na hajapona vizuri,miguu ameifunga bandage na anatembelea ndala, Nimemuona leo asubuhi nikiwa naelekea kazini atembea kwa msaada wa watu wanampa support (Nahisi alikuwa amelewa sana) Uso wake ni kama hauna matumaini

Nitoe wito kwa wasanii wenzake na Familia yake wamfuate pale msasani coz anaishi maskani na hana mtu wa kumuangalia, Sina uhakika ila kuna uwezekano labda amerudi tena kwenye wimbi la madawa ya kulevya

Kwa inavyoonekana ni kama wasanii wenzake wamemsusa, hawana time naye tena Lakini naona sio sahihi coz ni Msanii mwenzao inabidi wakubali kubeba hili jukumu la kumlinda na kumtunza Chidibenz, Juzi kwenye show ya Serengeti pale K/nyama viwanja vya posta, Chidibenz alipanda kwenye show ya Rosa ree lakini hakuchukua mda akashushwa, na alikua amevaa ndala, Wakiendelea Kumtenga hivi depression inaweza ikam-maliza kabisa, Kwa upande wa Familia yake sijui wao wamejipangaje coz inaumiza sana kumuona Ndugu au mtu wako wa karibu akiwa anapitia kipindi kigumu

Vijana tujitahidini sana kuishi kwa nidhamu, Ujana una mambo mengi bila yakua na nidhamu ni rahisi kuanguka
Dah!.... maisha yana mengi...ila huyu jamaa kama vile aliacha kabisa madawa hapo awali au karudia tena?
 
Mkuu uraibu ni mbaya ila uraibu mbaya zaidi ni ule unaoathiri afya yako ya mwili mkuu kama mdawa na ulevi na ngono zembe.

Kuna watu wana uraibu na soka yani hakosi kuangalia ligi za mipira kila wakati hadi anakera kwa kuchelewa kurudi home. Hio inaathiri socially ila sio health ya mrahibu.

Kuna wacheza kamari, hio athari zake ni kiuchumi ila afya ya mkamaria inabakia stable.

Addiction yoyote haifai, sababu end product ya addiction ni Depression. Depression na addiction ni mtu na mwanae. Depression inaanza kuja pale unapotakiwa kuiface reality, wakati akili yako ina dunia yake na sio hii ambayo mwili upo., hence addiction inakuwa ni a spider web, kujitoa ni ngumu kuliko ngamia kupita katika tundu la sindano.


Kwa sisi wakristo Biblia inatuagiza kwa habari ya kiasi, kwenye maisha ukifanikiwa kuiaminisha akili yako juu ya kiasi utaepuka matatizo mengi sana.
 
Hali ya Msanii wa Hiphop Rashidi Makwilo (Chidibenz) inasikitisha sana sana, Siku za hivi karibuni amekua akiishi Msasani (Maandazi road) maskani moja na mateja, Kinachonisikitisha zaidi jamaa anaonekana hayuko sawa kiafya miguu imevimba, anaonekana aliumia na hajapona vizuri,miguu ameifunga bandage na anatembelea ndala, Nimemuona leo asubuhi nikiwa naelekea kazini atembea kwa msaada wa watu wanampa support (Nahisi alikuwa amelewa sana) Uso wake ni kama hauna matumaini

Nitoe wito kwa wasanii wenzake na Familia yake wamfuate pale msasani coz anaishi maskani na hana mtu wa kumuangalia, Sina uhakika ila kuna uwezekano labda amerudi tena kwenye wimbi la madawa ya kulevya

Kwa inavyoonekana ni kama wasanii wenzake wamemsusa, hawana time naye tena Lakini naona sio sahihi coz ni Msanii mwenzao inabidi wakubali kubeba hili jukumu la kumlinda na kumtunza Chidibenz, Juzi kwenye show ya Serengeti pale K/nyama viwanja vya posta, Chidibenz alipanda kwenye show ya Rosa ree lakini hakuchukua mda akashushwa, na alikua amevaa ndala, Wakiendelea Kumtenga hivi depression inaweza ikam-maliza kabisa, Kwa upande wa Familia yake sijui wao wamejipangaje coz inaumiza sana kumuona Ndugu au mtu wako wa karibu akiwa anapitia kipindi kigumu

Vijana tujitahidini sana kuishi kwa nidhamu, Ujana una mambo mengi bila yakua na nidhamu ni rahisi kuanguka
Tatizo la huyo kijana hana shukrani.

Watu kadhaa walishajitokeza kumsaidia ila mwisho wa siku anaishia kuwananga.

Diamond ,Babutale , walishajitokeza kumsaidia walichoambulia kusemwa vibaya

Haji Manara alishajitokeza kumsaidia alichoambulia kushushuliwa

Muacheni apambane na hali yake .
 
Shida ya Chidi habebeki. Mtu kama blue anambeba sana na hujawahi kumtupa ila dk sifuri anaharibu. Kingine u-born town nao unamcost much know, mjanja yeye.
Hana nguvu ila ule ubabe wa Chidi yule Benzino wa miaka Ile ya 1990s mitaa ya Kkoo, ilala bado anauleta kumbe anaharibu
Hana shukrani huyo.

Manara ,Diamond hawana hamu naye.
 
Umenikumbusha enzi za marehemu Ng'wea..,kuna siku nilimkuta Msasani mwisho kule asubuh hana hata nguo nadhani nae alilewa sana usiku huo,....siku nyingine tena nilikutananae maeneo flani yaani yupo rafu kichizi/kachoka nadhani pia ni madawa yale.

Chaajabu baadhi ya wasanii wenzake na wadau wa muziki walikuwa wanajua hilo..,ila baada ya kufa ndio kila mtu anampa sifa na kutoa msaada na wakati kipindi yupo hai wala hakuwa anapata hizo sifa!! kwa jinsi nilivyokuwa namuona kwa hadhi ya Ng'wea hakustaili ile hali alihitaji msaada zaidi.

Na kwa Chid nadhani ni mpaka afe ndio watu waanze kushtuka japo najua kuna baadhi ya wadau walishataka kumsaidia..,lakini wasanii nadhani ndio wanapaswa kuwa mstari wa mbele kwny hilo swala la kumsaidia msanii mwenzao.
Hasaidiki huyo na hana shukrani.
 
Aina ya maisha aliyochagua imempa hayo matokeo, na si hip-hop. Umaarufu umekuwa mzigo kwake, angalia life ya wasanii kama Nash Mc, Nikki Mbishi, wako simple na albums watoa kila mwaka.
Hao wamekubaliana na matokeo na hawategemei mziki kama chanzo chao kikuu cha kupata mkate.

Vingenevyo tungeongea stori nyingine.
 
Back
Top Bottom