ukawa dona
JF-Expert Member
- Feb 8, 2023
- 516
- 887
Wasomi hawana ajira, mazao bei ya chini, Albino wanauwawa, ACHA WASANII WAENDELEE KUFANYA USANII KWENYE MAISHA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, kwani Chid mfumo haukumpa chochote kitu.? Alikitumiaje kidogo alichokipata.? Ni yeye tu mkali ambae mfumo haukumpa stahiki yake.?Chidi ni rapa mkali sana ila mfumo wa nchi kwenye mziki wa hip hop haujampa mafanikio kulinganisha na alichotoa(uwezo wake) imepelekea kupata msongo wa mawazo na kutumbukia kwenye uraibu wa madawa ya kulevya.
Mtu mwingine anayekuja kwa sifa ni Young dee soon kitaumana.
Unakosea mkuu 😂Yule ndio kiranja wa matahira tanzania, mwacheni
You such a Genius Binti,,###UziUfungwe###Addiction yoyote haifai, sababu end product ya addiction ni Depression. Depression na addiction ni mtu na mwanae. Depression inaanza kuja pale unapotakiwa kuiface reality, wakati akili yako ina dunia yake na sio hii ambayo mwili upo., hence addiction inakuwa ni a spider web, kujitoa ni ngumu kuliko ngamia kupita katika tundu la sindano.
Kwa sisi wakristo Biblia inatuagiza kwa habari ya kiasi, kwenye maisha ukifanikiwa kuiaminisha akili yako juu ya kiasi utaepuka matatizo mengi sana.
Pancho kilichomchukua ni nini?!Chunga wanao na masela Mavi sio watu wazuri
Katika vifo vilivyoniuma zaidi ni KIFO cha Pancho Latino wale Jamaa eti anazama wanamuona wanamuacha tu wanaanza kulialia na clip Video wanachukua Ile iliniuma kishenzi
Weka wanao mbali sana na masela Mavi
Hashauriki mzee me nimewah kukaa boma yule jamaa mjuaji aisee mjuaji sana watu wamemshauri wamechokaUnakosea mkuu 😂
Ni hali yake sio kupenda kwake.Hashauriki mzee me nimewah kukaa boma yule jamaa mjuaji aisee mjuaji sana watu wamemshauri wamechoka
Kama unaikumbua series ya Narcos, kuna afisa wa CIA alitoa kauli hii:Sasa hisia ile ile ni kwenye alosto ya Unga na inakuwa ni mara 50 au zaidi.
Lame excuseChidi ni rapa mkali sana ila mfumo wa nchi kwenye mziki wa hip hop haujampa mafanikio kulinganisha na alichotoa(uwezo wake) imepelekea kupata msongo wa mawazo na kutumbukia kwenye uraibu wa madawa ya kulevya.
Mtu mwingine anayekuja kwa sifa ni Young dee soon kitaumana.
Walienda beach hapo Koko nahisi km sijakosea Kunduchi wakala mitungi sasa Jamaa 'Pancho Latino' akiwa amelewa akawaambia wenzie anataka akaogelee wakamzuia Ila akakomaa basi wakabidi waende kwenye maji Jamaa akaingia vizuri tu kaanza maji ya ugoko akaendelee mbele maji kiunoni akaendelee mbele maji ya SHINGOPancho kilichomchukua ni nini?!
TungiDah!.... maisha yana mengi...ila huyu jamaa kama vile aliacha kabisa madawa hapo awali au karudia tena?
Chanzo ni masela Mavi
RIP Zizi
RIP Ngwair
RIP Pancho Latino
Chanzo cha yote ni masela Mavi
R.I.P Father NellyR.I.P Geez Mabovu!!
Daah huyu Fr. Nelly unatutonesha kidonda kilichokaribia kupona Msela Mavi alimpiga visu Jamaa mpaka akafa masela Mavi sio watu kabisaR.I.P Father Nelly
R.I.P Langa
Unadhani amefika hapo alipo kwa bahati mbaya?Hali ya Msanii wa Hiphop Rashidi Makwilo (Chidibenz) inasikitisha sana sana, Siku za hivi karibuni amekua akiishi Msasani (Maandazi road) maskani moja na mateja, Kinachonisikitisha zaidi jamaa anaonekana hayuko sawa kiafya miguu imevimba, anaonekana aliumia na hajapona vizuri,miguu ameifunga bandage na anatembelea ndala, Nimemuona leo asubuhi nikiwa naelekea kazini atembea kwa msaada wa watu wanampa support (Nahisi alikuwa amelewa sana) Uso wake ni kama hauna matumaini
Nitoe wito kwa wasanii wenzake na Familia yake wamfuate pale msasani coz anaishi maskani na hana mtu wa kumuangalia, Sina uhakika ila kuna uwezekano labda amerudi tena kwenye wimbi la madawa ya kulevya
Kwa inavyoonekana ni kama wasanii wenzake wamemsusa, hawana time naye tena Lakini naona sio sahihi coz ni Msanii mwenzao inabidi wakubali kubeba hili jukumu la kumlinda na kumtunza Chidibenz, Juzi kwenye show ya Serengeti pale K/nyama viwanja vya posta, Chidibenz alipanda kwenye show ya Rosa ree lakini hakuchukua mda akashushwa, na alikua amevaa ndala, Wakiendelea Kumtenga hivi depression inaweza ikam-maliza kabisa, Kwa upande wa Familia yake sijui wao wamejipangaje coz inaumiza sana kumuona Ndugu au mtu wako wa karibu akiwa anapitia kipindi kigumu
Vijana tujitahidini sana kuishi kwa nidhamu, Ujana una mambo mengi bila yakua na nidhamu ni rahisi kuanguka