Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutoa tuu taarifa inaweza ikawa msaada coz JF ni platform kubwa sana, angalia hii thread sahv ina views zaidi 5k, utajuaje mmoja kati yao akafanya maamuzi ya kwenda kumsaidia?Wewe ulipomuona Chid yupo kwenye hali ile,ulimpa msaada wowote ule?
Au ulikimbilia tu JF kufungua Uzi na kuwataka wengine ndio wamsaidie?
Nafkir angepelekwa hospital akae chini ya uangalizi mpaka apone huo mguu bila hivyo .......Chid Benz ndiye aliyewatenga wasanii wenzake. Huo mguu aliungua moto, una kidonda kikubwa hadi hawezi tena kuvaa kiatu cha kutumbukiza, inabidi avae hizo kandambili.
Mtu pekee anayeweza kumsaidia Chid Benz na akatoka kwenye hiyo hali ni Rashid Makwiro aliye ndani yake. Ajikumbuke kabla hajawa Dogo Benzino na sasa Chid Benz.
Ova
Kwa hali aliyonayo kwa sasa haitaji hela anahitaji uangalizi wa karibu sanaChidi benzi ni sikio la kufa. Mnalaumu tu wasanii wenzake, Jamaa kwa hali aliyofikia hata apewe million 100 itaisha ndani ya mwezi kisha atarudia hali yake.
Now ni zaidi ya gunia la misumari hakuna anaeweza kulibeba
Ego ndo imemfikisha hapo..afu inaonekana iko kwenye genes kabisaTatizo la huyo kijana hana shukrani.
Watu kadhaa walishajitokeza kumsaidia ila mwisho wa siku anaishia kuwananga.
Diamond ,Babutale , walishajitokeza kumsaidia walichoambulia kusemwa vibaya
Haji Manara alishajitokeza kumsaidia alichoambulia kushushuliwa
Muacheni apambane na hali yake .
Uko sahihi ila kwa hali aliyonayo anahitaji msaada wa matibabu na cancelling ili arudi kwenye ufahamu wake coz hajitambuiHakuna wa kumsaidia zaidi yake mwenyewe, hakuna kitu kigumu kutoka kama drugs na haijalishi tajiri au maskini, akichomoka madawa atakuwa na bahati sana, madawa yanakumaliza live huku ukijiona sawa tuu na huna tatizo lolote
Pale toka kitambo hiyo ni mitaa ya mateja ,washakufa wengi tu maeneo hayo kwa ungaSure mkuu wako wengi mnoo pale
Iwe ThreadNataka kukumbusha tu kua wabongo wengi wanapitia hali ngumu hatujui kwasababu wao sio maarufu kama huyo Chid Benz. Street life ni gumu halafu kila mtu yuko busy na maisha yake na familia yake nobody cares about anybody else. Sasa hivi hata ukipoteza channel ya maisha familia, ndugu zako na watu wako wa karibu wanakuangalia tu hadi uugue ufe ili wakulilie na kukuzika fasta uwape gap la kusonga na maisha yao. Everybody is frustrated aseeh. Zamani familia hasa wazazi walikua karibu sana na watoto wao kiasi ambacho ni rahisi kupata msaada wa hali na mali, ushauri na counseling lakini sasa hivi watoto/ vijana wanalelewa na marafiki, wazazi wako busy kutafuta pesa ama unakuta hata hiyo familia haipo kabsa maana mtoto/ kijana analelewa na mzazi mmoja tu familia ishasambaratika (talaka). Inamana dogo akikutana na marafiki wazuri huko mtaani ni bora yake ila akikutana na marafiki wabaya anapotea mazima maana kumbuka hao ndo anashinda nao muda wote huko magetoni kwao so hata akipata changamoto yoyote itategemea watamshauri nini, wakimshauri upuuzi ndo hayo tunayoyaona kutopea kwenye uraibu wa madawa ya kulevya, ulevi na umalaya. Kwakifupi vijana siku hizi wanajilea wenyewe tu, nafasi ya wazazi na familia imekua ndogo sana na tunakoelekea ndo hatari zaidi maana ile bond kati ya mzazi na mtoto inazidi kupungua sana, I mean wazazi wanawakatia tamaa watoto wao mapema sana kwenye issue ya malezi. Nini kifanyike?! Kila mmoja akiwa mzazi ama mzazi mtarajiwa atafakari kwa kina nafasi yake kwa familia yake. Tuwemo!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maandishi: wanasema unakula unga
Chid: nimeacha kula unga sasa nakula mchele
Ungefanyaje kama yeye kaamua kuishi hivyo? Unamfunga kamba?Mkuu Chidibenz angekua kaka ako ,sidhani kama ungemuacha aendelee kuishi maisha anayoishi sasa
Angekuwa smart upstair asingejiingiza kwenye madawa ya kulevya. Usikosee maana ya mtu kuwa smartLanga alikua smart sana upstairs ,bhas tuu ujana una mambo mengi
Mama chidi YUPO chanika ana maisha yake safi pengine wamemchoka na mauteja yake wakamaacha Aishi kama mbuzi wa sinza Kwa RemyHali ya Msanii wa Hiphop Rashidi Makwilo (Chidibenz) inasikitisha sana sana, Siku za hivi karibuni amekua akiishi Msasani (Maandazi road) maskani moja na mateja, Kinachonisikitisha zaidi jamaa anaonekana hayuko sawa kiafya miguu imevimba, anaonekana aliumia na hajapona vizuri,miguu ameifunga bandage na anatembelea ndala, Nimemuona leo asubuhi nikiwa naelekea kazini atembea kwa msaada wa watu wanampa support (Nahisi alikuwa amelewa sana) Uso wake ni kama hauna matumaini
Nitoe wito kwa wasanii wenzake na Familia yake wamfuate pale msasani coz anaishi maskani na hana mtu wa kumuangalia, Sina uhakika ila kuna uwezekano labda amerudi tena kwenye wimbi la madawa ya kulevya
Kwa inavyoonekana ni kama wasanii wenzake wamemsusa, hawana time naye tena Lakini naona sio sahihi coz ni Msanii mwenzao inabidi wakubali kubeba hili jukumu la kumlinda na kumtunza Chidibenz, Juzi kwenye show ya Serengeti pale K/nyama viwanja vya posta, Chidibenz alipanda kwenye show ya Rosa ree lakini hakuchukua mda akashushwa, na alikua amevaa ndala, Wakiendelea Kumtenga hivi depression inaweza ikam-maliza kabisa, Kwa upande wa Familia yake sijui wao wamejipangaje coz inaumiza sana kumuona Ndugu au mtu wako wa karibu akiwa anapitia kipindi kigumu
Vijana tujitahidini sana kuishi kwa nidhamu, Ujana una mambo mengi bila yakua na nidhamu ni rahisi kuanguka
Kama wewe ni komeo la chuma, yeye ndio chuma mwenyewe. Bahati mbaya tu maisha yamembadilikia kabisaNi nani huyo mtu? Anahusika na nini?
Chief hili neno sana aisee.Hakuna atakaekusaidia kuishi maisha yako zaidi yako.