Tetesi: Hali ya hatari kati ya Burundi vs Rwanda

Rejea majeshi ya tz yalipata taarifa nyingi za kijasusi kutoka kwa raia

uganda ni kubwa kuliko rwanda na burundi

Ant tank kwa vita za africa ni silaha muhimu saana

majuzi apa israel alivyogundua hamas wana ant tank akawa mpore
Kwenye vita ukiwa na wapinzani ndani ya nchi yako inakuwa shida.Hao hao watashirikiana na maadui wa nchi.Ndio maana nikatoa mfano wa Amin maana yeye alikuwa na maadui wengi ambao wapo ndani ya nchi.
 
sidhan kama watapigana kiukabila apa kila mtu lzm atetee taifa lake
Mkuu historia zao hao jamaa ndio zinaamua mambo. Mhutu wa Rwanda apigane sawasawa na Mtusi wa Rwanda kumpiga Mhutu mwenzie wa Burundi.Angalia madai ya Nkuruzinza kuelekea kwa viongozi wa zamani ambao ni Watusi.Ukabila kwa nchi hizo hautaisha mpaka wachangamane maana yake waoane tu.
 
kwa burundi kiasi fran wamechangamana

kama wakipigana kikabila nadhan wakiachwa ata kwa wiki mbili tu maafa yake yataishangaza dunia
 
Binadamu wote ni Sawa na Africa ni moja Diplomatic ichukue mkondo wake, japo mimi Mr slim simpendi alimtukana kiongozi wangu jk, kosa tuliolifanya ni kumwonea huruma, eb Leo ampe maneno ya shombo kichaa kama asbhi na mapema ajatubu, na pengine asipate hta mda wa kuomba pooo
 
walinunua alafu za kisasa zaidi

alafu wana ant tank aina zaid ya kumi

jina lake nimelisahau japo inasemekana zina akili sana na zinapiga long target kwa ufasaha zaid
Na bongo hapa hizo ant tank tunazo ngap na ubora wake ukoje
 
Siasa zinabadilika sana mkuu, chini ya utawala wa JPM, Tanzania ni rafiki mkubwa wa Rwanda kuliko Burundi
 
Samahan kwqnza hizo ant tank ni nini mkuu maana sizijui kabisa ndugu yangu
unazijua RPG?

zipo kama hivyo bt zenyewe zinaweza kuvunja mpaka vifaru

alafu pia mwaka kesho urusi wanazindua kifaru ambacho mpaka sasa hakuna ant tank ambayo inaweza kukivunja
 
unazijua RPG?

zipo kama hivyo bt zenyewe zinaweza kuvunja mpaka vifaru

alafu pia mwaka kesho urusi wanazindua kifaru ambacho mpaka sasa hakuna ant tank ambayo inaweza kukivunja
Yaan ni kombora au

Hauna hata picha yake mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…