We jamaa kwenye hayo masuala hunidanganyi kitu endelea kuwapiga kanyaboya wenzako.Ila ngoja nianze kukuchana kidogo:
*Unaongelea Burundi gani hio yenye jeshi imara?hii hii ambayo Nkuru alipinduliwa majuzi tu hapa mpk JW ikamrudisha?
*FDLR?wale wahuni wanaoishi huko Congo na kubaka wanawake huku biashara yao ni kuuza mkaa?
*Burundi hata ikiachiwa wale wahuni wa M23 kwa sasa wamesambaa (Sudan wakimsaidia Salva Kiiri,wako jamhuri ya kati,na Congo) wanampindua Nkuru ndani ya siku chache tu.
*Kuna mdau amesema Burundi ina RPG 10 nchi nzima,hahah nimecheka sana aisee sasa RPG launcher inacost $2200 na grenade yake $700,so Burundi nzima RPG zake total costs ni $29,000 only hahah,maajabu sana haya.
*Umesema niende youtube kuangalia hizo mambo za jeshi sio?Burundi Military expenditure kwa mwaka 2017 ni $56.30milwkt Rwanda Military expenditure kwa mwaka 2017 ni $114mil,Hahah mkuu leta point strong bana.
*Unaongelea Burundi yenye Fdi ya $300,00 only wkt mwenzake ana FDI ya $336mil, huo uwezo wa kuendesha jeshi kisasa wkt nchi hata fedha tu haina itatoa wapi?
*Nikikuleta kwenye hayo ma S-200 huko sijui hata kama utanielewa anyway ngoja tuendelee kupiga gahawa kidogo.