Kuvulishwa nguo kwny ma bus huku abiria wakiimbishwa mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyeweeee.Alafu baada ya kupata vyote unavyosema tutaanza tena kuvamiwa kwenye mabasi ya abiria saa 10 jioni tunavuliwa nguo mbele za watoto, na wakwe zetu tukiimbishwa mtaji wa maskini nguvu zake mwenyewe?
Tuanze kuangaika na kukusanya silaha haramu na magonjwa ya milipuko huko kanda ya ziwa?
Ngoja tu niheshimu maoni yako japo yameniweka njia panda kifikra.
wabongo wanajiona wenyewe ni zaid ya spetsnaz awajui kuwa hofu kubwa ya m23 ilikuwa ni kwa south tuPossibly sababu ya Ugomvi kipindi kile kati ya PK na JK ndio maana ilionekana ni ka-vita flani ka kiaina kati ya M23(Rwanda) vs JW(Tz) lkn ile mambo ingeendelea ingezusha proxy war.,sijui ni kwanin SA/Malawi hua hawaongelei hio operation ya kuwafyekelea mbali M23.
Jiulize swali rahisi kama kweli PK na M7 wana ugomvi iweje wale jamaa wa M23 majority walikimbilia hapo Uganda na hata yule Bosi wa M23 Makange alienda zake Uganda tena akisindikizwa na nasafara wa Kijeshi?
RIP commando Mlima.
Sasa huko Sudan mnafanya nini?wabongo wanajiona wenyewe ni zaid ya spetsnaz awajui kuwa hofu kubwa ya m23 ilikuwa ni kwa south tu
alafu wanajiona walishinda ule mtanange aliyakuwa m23 wapo sudan wanaendeleza harakati
kibaya zaid wanamuona mseven kama ni mtu kumbe ni nyoka (muyoka)
Yes mi wa kwanzaNilichogundua PK hapendwi,achilia mbali huko nje hata humu jf......michango ya watu humu ni ushahidi
jw wapo drc wanapata faida gan?Sasa huko Sudan mnafanya nini?
Naona kama hiyo nchi ni barren land.
Ila Congo mmeiba sana utajiri wao.
Mliopo Rusumo na Buhigwe vipi nyepenyepe za mercenary jamani huko...
JW hawapo DRC kumlinda Kabila bali kujaribu kulinda wananchi wasiuwawe ovyo na vikundi vinavyopigana(serikali na waasi).jw wapo drc wanapata faida gan?
acheni slim acheze ligi moja na ubeligiji
jw wanaangaika kumlinda kabila pandikiz la slim
Boss jiunge na FDLR/FNL/FOREBU/RED-TABARA huwezi kosa number kikosini.Mliopo Rusumo na Buhigwe vipi nyepenyepe za mercenary jamani huko...
FNL ns RED-TABARA adui yao ni nan?Boss jiunge na FDLR/FNL/FOREBU/RED-TABARA huwezi kosa number kikosini.
FNL ns RED-TABARA adui yao ni nan?
Kwa kujiunga na FDLR asijisumbue now hawana makali
Sure kabisaa mkuu...tumekuwa tukitumia vibaya hizi vita zinazotuzunguka kwa hawa majirani zetu. We have been very kind to these people bila maslahi yoyote ya kiuchumi. Wanajeshi wetu hawaibi mali ktk kulinda amani so the state halafu yule anaye loot anaonekana ana akili. Sasa tunataka tuwaoneshe ktk vita hii sisi tunaingia ki maslahi zaidi. Ukisikia wana recruit nistue uzoefu usikupe shaka tunasongesha tu kibishiUnataka ulegeze vyuma kwa gris za mercenary soldier?
Boss jiunge na FDLR/FNL/FOREBU/RED-TABARA huwezi kosa number kikosini.
Mkuu vipi wale wanaompinga slim shade hao ndo nawataka sana...FNL,RED-TABARA na FOREBU hawa ni waasi wanapingana na Nkurunziza wamejificha huko Congo.
Hao waasi wa Burundi wakipewa support na Rwanda kidogo tu wanakamata madaraka huko Burundi.
FDLR hao hamna kitu hapo,discpline hakuna + financially wako choka+Morali haipo,ni kama wamejikatia tamaa vile.
Sure kabisaa mkuu...tumekuwa tukitumia vibaya hizi vita zinazotuzunguka kwa hawa majirani zetu. We have been very kind to these people bila maslahi yoyote ya kiuchumi. Wanajeshi wetu hawaibi mali ktk kulinda amani so the state halafu yule anaye loot anaonekana ana akili. Sasa tunataka tuwaoneshe ktk vita hii sisi tunaingia ki maslahi zaidi. Ukisikia wana recruit nistue uzoefu usikupe shaka tunasongesha tu kibishi
Hahah mkuu kuwa mercenary ni wewe na moyo wako na nguvu zako tu,wale jamaa wa M23 wamekodiwa na Rais Salva Kiir wakamsaidie kupigana na Machar kule Sudan Kusini,M23 wengine wamekodishwa hapo jamhuri ya Afrika ya kati wanapiga mechi za ugenini tu.Mkuu haya ndo mambo sasa endelea kutoa ramani naamini tuko wengi humu wengine wanakusoma kimya kimya najua nitakutana nao border mambo yakikaa sawa
Naunga mkono hoja hata Magu anasemaga Tz imejitolea kusaidia nchi nyingi kwa kumwaga damu za vijana wa KiTanzania,kwa kutumia resources zetu lkn mwishowe watu hao wanaosaidiwa wakitoboa wanatuona sisi wakuda,nadhani ni muda sahihi wa kupigana vita za kimaslahi tu.Sure kabisaa mkuu...tumekuwa tukitumia vibaya hizi vita zinazotuzunguka kwa hawa majirani zetu. We have been very kind to these people bila maslahi yoyote ya kiuchumi. Wanajeshi wetu hawaibi mali ktk kulinda amani so the state halafu yule anaye loot anaonekana ana akili. Sasa tunataka tuwaoneshe ktk vita hii sisi tunaingia ki maslahi zaidi. Ukisikia wana recruit nistue uzoefu usikupe shaka tunasongesha tu kibishi
Hahah mkuu kuwa mercenary ni wewe na moyo wako na nguvu zako tu,wale jamaa wa M23 wamekodiwa na Rais Salva Kiir wakamsaidie kupigana na Machar kule Sudan Kusini,M23 wengine wamekodishwa hapo jamhuri ya Afrika ya kati wanapiga mechi za ugenini tu.
Hapa ndo unanza vita ukiwa na 20% ya ushindo but gafla unakua na 75% ya ushindiHadi pale wahutu wa Rwanda watakapoanza kumsaidia mhutu mwenzao wa Burundi ndiyo utagundua vita siyo a,b,c,d.
Yaani acha tuu sisi tunatenda wema lakini these people hakumbuki wema after few years...halafu wanamsifia anayefanya looting huko Kongo sasa dawa yao ndo hii...# mercenary ndo mpango mzima.Naunga mkono hoja hata Magu anasemaga Tz imejitolea kusaidia nchi nyingi kwa kumwaga damu za vijana wa KiTanzania,kwa kutumia resources zetu lkn mwishowe watu hao wanaosaidiwa wakitoboa wanatuona sisi wakuda,nadhani ni muda sahihi wa kupigana vita za kimaslahi tu.