Tetesi: Hali ya hatari kati ya Burundi vs Rwanda

Tetesi: Hali ya hatari kati ya Burundi vs Rwanda

namuonea huruma saana slim maana bongo hamumtaki

south wanamlia taiming

kongo hawana la kumfanya

uganda hasomeki

kenya ni pesa mbele
Nadhani ungewaonea huruma na Burundi pia FNL,RED-TABARA na FOREBU wakipewa support kidogo tu,Nkurunziza yuko chalii ndani ya muda kidogo tu.
 
Nadhani ungewaonea huruma na Burundi pia FNL,RED-TABARA na FOREBU wakipewa support kidogo tu,Nkurunziza yuko chalii ndani ya muda kidogo tu.
Nkurunzinza yupo salama kabisa anguko lake ni mpaka baba yake aamue kumuacha

anayetibua mipango ni jiwe na SGR zake
 
dah kdg kayumba ndio nilijua anaweza kumtoa slim lkn na yeye zoba tu

bora akaungane na wale waasi wenye miwani mikubwa

natama sana hili game JK angekuwepo alafu master plan membe
Hahah wale wasanii na mamiwani yao ni chenga tu.

Muda mzuri wa kuchapana na PK ilikua kipindi kile cha M23,JW wangesogea mpk Rwanda though najua ingeleta Proxy war moja matata maana hata na yeye PK hakua fala,tayari mahandaki yalikua yameanza kuchimbwa tayari kwa shughuli.
 
Nkurunzinza yupo salama kabisa anguko lake ni mpaka baba yake aamue kumuacha

anayetibua mipango ni jiwe na SGR zake
Kama unamuona yuko salama wkt hana jeshi thabiti basi Rwanda itakua salama mara elfu aisee.

Jiwe hazingui yuko sawa kabisaa,Tz imewabeba Burundi miaka yote then inapata nini?Influence au kubaki tunasema tu Burundi ni mtoto wetu?

Kwanini yeye Burundi hataki kusimama kwa miguu yake awe fit kiuchumi na hata kijeshi ili akiongea na yeye awe ana sauti ya kiaina kwa wenzake?
 
Hahah wale wasanii na mamiwani yao ni chenga tu.

Muda mzuri wa kuchapana na PK ilikua kipindi kile cha M23,JW wangesogea mpk Rwanda though najua ingeleta Proxy war moja matata maana hata na yeye PK hakua fala,tayari mahandaki yalikua yameanza kuchimbwa tayari kwa shughuli.
sasa hizo handaki zilikuwa za nini kutwangana na jw au kuwapotezea mda jw wa kuikamata kigali
 
Kama unamuona yuko salama wkt hana jeshi thabiti basi Rwanda itakua salama mara elfu aisee.

Jiwe hazingui yuko sawa kabisaa,Tz imewabeba Burundi miaka yote then inapata nini?Influence au kubaki tunasema tu Burundi ni mtoto wetu?

Kwanini yeye Burundi hataki kusimama kwa miguu yake awe fit kiuchumi na hata kijeshi ili akiongea na yeye awe ana sauti ya kiaina kwa wenzake?
ila bora burundi ni mtiifu unakumbuka alivyochomoa COW na time hz hataki EPA mpaka baba yake akubali

pia anasaidia kilimo pande za kigoma kwa kiasi fran

pia hanaga shida na wavuvi wa tz wakiingia kwenye maji yake
 
ila bora burundi ni mtiifu unakumbuka alivyochomoa COW na time hz hataki EPA mpaka baba yake akubali

pia anasaidia kilimo pande za kigoma kwa kiasi fran

pia hanaga shida na wavuvi wa tz wakiingia kwenye maji yake
Sasa utiifu si lazima uwepo kutokana na umaskini wake mkuu?

Mkuu unamaanisha vibarua wa kirundi wanaolima mashamba huko Kigoma kwa ujira mdogo ndio jambo la kujivunia?

Ajitahidi asimame kwa miguu yake,kuendelea kubebwa bebwa anakua mzigo kwa wenzake ndio maana hata mzee baba sometimes anachoka aiseee.
 
Kosa lilifanywa na UNO baada ya vita ya kwanza. Rwanda na Burundi zilikuwa Germany East Africa. Walipo wapa Burundi na Rwanda uangalizi wa wa Bergig ndo shida ilipoanza.
Hahah Burundi huyu huyu aliyepinduliwa kizembe akiwa Tz mpk JW ikamrudisha ndiye unaona anaweza vita?hivi Burundi chini ya Nkurunziza ilishawahi kupigana vita wapi na ikashinda?
Ndiyo maana ninatamani Rwanda iivamie kijeshi Burundi ili huo uzoefu wa kivita walionao tuuone. Hakika Rwanda walipovaa magwanda wakajiita M23 tuliiona shughuli yao. Kweli Rwanda ni hatari kijeshi, kiuchumi na kiintelijensia kuliko nchi yoyote Afrika ya mashariki!
 
Ndiyo maana ninatamani Rwanda iivamie kijeshi Burundi ili huo uzoefu wa kivita walionao tuuone. Hakika Rwanda walipovaa magwanda wakajiita M23 tuliiona shughuli yao. Kweli Rwanda ni hatari kijeshi, kiuchumi na kiintelijensia kuliko nchi yoyote Afrika ya mashariki!
Hahah aisee hata Burundi ni hatari sana sana ndie mbabe wa E/Africa, tangu nkuru alipopinduliwa akiwa Tz naona amekua kama kuku aliyenyeshewa hataki kutoka ndani ya banda lake(Burundi) wasije wakamnyonyoa,hahah.

Burundi ni noma sana nasikia wanasafisha silaha kila dakika tayari kabisa kwa vita vitakavyokua WW3,hahah aisee.
 
Sasa utiifu si lazima uwepo kutokana na umaskini wake mkuu?

Mkuu unamaanisha vibarua wa kirundi wanaolima mashamba huko Kigoma kwa ujira mdogo ndio jambo la kujivunia?

Ajitahidi asimame kwa miguu yake,kuendelea kubebwa bebwa anakua mzigo kwa wenzake ndio maana hata mzee baba sometimes anachoka aiseee.
kila mtu ana baba yake tz ana wazazi wengi kama china na mataifa mengine ya kijamaa sasa na burundi wamuache adeke

lkn kweli aanze kujitegemea kama mwenzake rwanda
 
Hahah aisee hata Burundi ni hatari sana sana ndie mbabe wa E/Africa, tangu nkuru alipopinduliwa akiwa Tz naona amekua kama kuku aliyenyeshewa hataki kutoka ndani ya banda lake(Burundi) wasije wakamnyonyoa,hahah.

Burundi ni noma sana nasikia wanasafisha silaha kila dakika tayari kabisa kwa vita vitakavyokua WW3,hahah aisee.

Yaya gwee!

Angola, Namibia & Zimbabwe walikiona cha mtema kuni kutoka kwa Rwanda & Uganda walipopigana DRC mwaka 2000. Tehe teheee!
 
Itakuwa hivyo maana sidhan kama zingemsaidia kitu maana wafaransa walikuwa wanamtafuta pia
Kinachogombaniwa pale ni Influence,USA+UK hazitaki France awe na influence kwny hizo nchi za maziwa makuu na wako tayari kulisimamia hilo.,hata kujitoa kwa Rwanda huko kwny Francophone to Commonwealth unadhani hakuna influence ya hao wakubwa?
 
Yaya gwee!

Angola, Namibia & Zimbabwe walikiona cha mtema kuni kutoka kwa Rwanda & Uganda walipopigana DRC mwaka 2000. Tehe teheee!
Hahah aisee ni kama Burundi alivyo mtemi kwa nchi zote za E/Africa,by the way nasikia Burundi ndiye mwenye Budget military expenditure kubwa huku kusini mwa Bara la Africa.

Hiiii "Itukuo".......
 
Kinachogombaniwa pale ni Influence,USA+UK hazitaki France awe na influence kwny hizo nchi za maziwa makuu na wako tayari kulisimamia hilo.,hata kujitoa kwa Rwanda huko kwny Francophone to Commonwealth unadhani hakuna influence ya hao wakubwa?
kwaiyo kikwazo cha ufaransa kupata ushawishi ukanda huu ni rwanda?
 
Back
Top Bottom