Kumbe ww ni mchuga duuh. Siku nikija ntashukia kwako. Nilizani unaishi dsm kumbe sio.Kweli ni kali. Karibu.
kwanini usifikie kwangu unaenda kwa lishangaziKumbe ww ni mchuga duuh. Siku nikija ntashukia kwako. Nilizani unaishi dsm kumbe sio.
Uduguuuu kimepashwaa sio mchezooo, yaan acha kabisaaUduguu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na kitawaka moto
π π π , huyu demu napenda akili zake kwa kweli ukifuatilia post zake tu inatosha kukuaminisha sasa mi nataka kuona kama yaliyomo yamo. πππkwanini usifikie kwangu unaenda kwa lishangazi
unataka maleziππ π π , huyu demu napenda akili zake kwa kweli ukifuatilia post zake tu inatosha kukuaminisha sasa mi nataka kuona kama yaliyomo yamo. πππ
. Ww kujuana jf na kf huku kunatosha kabisa
π π π , wala hata kujuliana hali tu ndo muhimu. No moooreunataka maleziπ
arusha ndo wamejaa wake za watu wa EACπ na UN, mererani, NCAAπ π π , wala hata kujuliana hali tu ndo muhimu. No mooore
Malezi yapo huku mkuu unakutana na lishangazi. Mlimani city lina v8 ya 2022, mme wake kafa hela imo hajui aitumieje ππππ.
Hapo ndo utaona dunia yako hii mishangazi ya jf mingi ni njaa njaa tu sasa mpaka mtu anaishi nyumba ya kupanga humo huyo unamuitaje shangazi huyo ni mbibi tena kokoo π π π π .
Siku uje dar dogo uone wanawake wenye hela waliokosa dyudyu la kuwakuna vyedi π
Kuna juju, humo mke wa mtu sumu. Saivi na deal na wajane wenye hela. ππarusha ndo wamejaa wake za watu wa EACπ na UN, mererani, NCAA
njoo dogo ule bata
kote rizki mzeeπKuna juju, humo mke wa mtu sumu. Saivi na deal na wajane wenye hela. ππ
Hao wa EAC na UN si waume zao wanatembea na risasi sio?
Kuwa makini dogo. Wajane watamu bana π¬
Uduguuuu kimepashwaa sio mchezooo, yaan acha kabisaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii baridi haitaki chaiJamani asubuh kulikua jua. Ila huwezi amin ilipofika sa 8 wingu zito mara mvua hii hapa.
Hata TMA hawajatupa tahadhari kuna kiubaridi haswaa. Jamani vaeni masweta na miguun tupia tusoksi mana tiles zinatia ubarid.
Koroga kahawa au chai ya tangawizi kaa nayo pembeni kama una mzgo wa series huu ndo muda ss.
Usiwe kama Equation x angeshatafuta pisi ya kuzagamua au mzabzab anawaza kuita watoto wa watu.
Saa zingine kuspend time alone kuna karaha kake. Mimi nipo na series ya Citadel hapa karibuni[emoji8]
Uzi Murua kabisa,,, [emoji23][emoji23][emoji23]Jamani asubuh kulikua jua. Ila huwezi amin ilipofika sa 8 wingu zito mara mvua hii hapa.
Hata TMA hawajatupa tahadhari kuna kiubaridi haswaa. Jamani vaeni masweta na miguun tupia tusoksi mana tiles zinatia ubarid.
Koroga kahawa au chai ya tangawizi kaa nayo pembeni kama una mzgo wa series huu ndo muda ss.
Usiwe kama Equation x angeshatafuta pisi ya kuzagamua au mzabzab anawaza kuita watoto wa watu.
Saa zingine kuspend time alone kuna karaha kake. Mimi nipo na series ya Citadel hapa karibuni[emoji8]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee kuwezaaa, nimekanda na barafuuIpulize na feni [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee kuwezaaa, nimekanda na barafuu
Karibu sana chugaπKumbe ww ni mchuga duuh. Siku nikija ntashukia kwako. Nilizani unaishi dsm kumbe sio.
Karibu sanaitabidi nikutembelee aiseeπ
Unaishi sehemu gani rafiki. ππKaribu sana chugaπ
πππUpo Russia ππ
nikufanyie mpango kitoa baridi
Jana jioni sijaoga πππkama utani vile ππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenichekesha
Mama weee si ungechemshaJana jioni sijaoga πππkama utani vile ππ