Hebu tuzungumzie habari ya maji machafu kama ulivyosema, mara ya mwisho kuishi moro ilikuwa mwaka gani? Na uliishi maeneo ganiMorogoro ni mkoa mzuri sana, fursa ni nyingi za pesa japo mzunguko ni mdogo sana wa pesa, na wakazi wa hapo wamezubazuba na wavivu sna.
Moro maji ni machafu, kama ni mtu unajali ngozi yako kuwa mweusi haipukiki.
Nipe link mkuuDodoma Malaya anataka 80000 mpaka 70000 kulala nae mpaka asubuhi short time wanataka 30000 mpaka 40000
hahahaah sana mkuu, vumbi la dom sio mchezo...[emoji23][emoji23] ila mziki wa kukunja ndita bila shaka ulikumbana nao unwillingly
Sent from my Redmi Note 9S using JamiiForums mobile app
Tupeane mchongo kaka wa hilo dili la reli, nipo dodoma mkuuWakuu mbona paukweli tu mitaa yangu Ni ihumwa,kisasa napiga kazi kwenye mrad wa reli.kweli ukame upo ila sio wa kutisha kiasi kwamba hakunaga mboga za majani..zipo kibao
Waambie Boss mi nimeishi mikoa mikoa mingi naona hali ya hewa Dom ni afadhali maana ni 50 50 ninaishi Dom panazoeleka vizuri tuu...!! Pia kijiografia unafika popote nchini Kwa siku Moja.Haya mapuuzi yanayoiongelea Dodoma vibaya yamekuwa mengi sasa JF uzalendo umenishinda wacha niwazabue..hiv mtu unakuja dodoma unakaa uswahilin ambako maji tu shida, ukichanganya na umasikin wako wa kushindwa kununua hata sabuni nzur na mafuta mazur unazan utanawil? hii iko Tz nzima na dunia nzma hata uende sehem gan nzur, kama mifuko yako inasoma 0" jihesabu wew n wakupauka tuu, mbona sis tupo hapo for almost 7yrs na tunapendeza ngozi nzurii zinang'aa,..maswahibu yako usitake kulaumu mkoa mzima, nanyie mapimbi wengine mnaosapoti huu ujinga tutakuja makwenu tupathaminishe na Dodoma pumbv zenu....
Ardhi gani kame vile, vumbi na upepo ndio vitu pekee vinapatikana Dodoma
Safi Mkuu watu tupo hapa tunapambania ugali wa watoto na maisha yanaendaHataree ipo. DOM nimetokea kupapenda sana tena wadau wa DOM mkuye tutengeneze wing yetu
Ndiyo, chumvini lakini siyo kule unakofikiriaChumvini tena Mkuu?
Wew ni chizi, yaani Dodoma hiyo hiyo nayoifahamu unasema unanawiri! Mama nanii tu na weupe wake akikaa huko for one week anakuwa mweusi ti, sembuse wewe pangu pakavuHaya mapuuzi yanayoiongelea Dodoma vibaya yamekuwa mengi sasa JF uzalendo umenishinda wacha niwazabue..hiv mtu unakuja dodoma unakaa uswahilin ambako maji tu shida, ukichanganya na umasikin wako wa kushindwa kununua hata sabuni nzur na mafuta mazur unazan utanawil? hii iko Tz nzima na dunia nzma hata uende sehem gan nzur, kama mifuko yako inasoma 0" jihesabu wew n wakupauka tuu, mbona sis tupo hapo for almost 7yrs na tunapendeza ngozi nzurii zinang'aa,..maswahibu yako usitake kulaumu mkoa mzima, nanyie mapimbi wengine mnaosapoti huu ujinga tutakuja makwenu tupathaminishe na Dodoma pumbv zenu....
Masikini hachagui hali ya hewaWew ni chizi, yaani Dodoma hiyo hiyo nayoifahamu unasema unanawiri! Mama nanii tu na weupe wake akikaa huko for one week anakuwa mweusi ti, sembuse wewe pangu pakavu
Chako ni Chako wanachukua buku 5 tu mpaka asubuhi.Dodoma Malaya anataka 80000 mpaka 70000 kulala nae mpaka asubuhi short time wanataka 30000 mpaka 40000
Sio kweli,Morogoro ni mkoa mzuri sana, fursa ni nyingi za pesa japo mzunguko ni mdogo sana wa pesa, na wakazi wa hapo wamezubazuba na wavivu sna.
Moro maji ni machafu, kama ni mtu unajali ngozi yako kuwa mweusi haipukiki.
Dah wewe jamaa una moyo safi sana,umemuachia demu kiwanja kiurahisi urahisi tu.Nilikutana na demu mmoja kipindi cha nyuma!tena bus terminal pale arusha nilimuona tuu nikamfeel na ule uarabu wake wa kuchovya!!
Niliongea nae nikaona kaniamini tuu!!
Labda kwa jinsi y uonekano wangu.
Nikachukua namba yake wakati namshusha olasiti huko kwa shangazi yake!!
Nilizoeana nae sana ikawa namfata pale kwa shangazi yake namtoa out kwa gia ya kumuonyesha mji..
Nikawa najilia sana yule mtoto!!
Akarudi huko dodoma...
Akanipa mwaliko nikaenda.
Ptuuuuu...
Yaani ule mji ulinikinai hatari kwa ile hali ya hewa!
Msela kila siku naaga niondoke ila mtoto analalamika niendelee kubaki baki..
Alichoniuzi ni kwamba alinishawishi sana kwamba hapo dodoma baadae serikali itahamishiwa hapo hvyo kuna viwanja ninunue!
Kweli nilinunua kiwanja bei rahisi sana!
Akawa anashughulikia yeye hicho kiwanja mambo ya kukatia hati na mengineyo!!
Mwisho nilimuachia kile kiwanja kiwe chake!
Yule demu angekubali kuja kuishi nilipo ningemuoa!!
Lakini hakutaka kuondoka dodoma kbs nikapiga chini
Kwann unasema ivyoDodoma ni ardhi iliyolaaniwa
Hahaahaa acha tu. Ukitoka kwenye AC ukaingia kwenye hewa ya kawaida unaweza kuhisi mtu kakukaba.Dar kama ni mgeni utapata tabu sana! Juzi Kati nilienda nikitoka Iringa kwenye baridi + upepo Sasa nilipanda lakini Ile shida niliyopata nilitamani kushuka nitembee kwa miguu! Yaani kubanana, joto kukanyagana hatari.