Hali ya hewa ya Dodoma imenishinda

Hali ya hewa ya Dodoma imenishinda

Morogoro ni mkoa mzuri sana, fursa ni nyingi za pesa japo mzunguko ni mdogo sana wa pesa, na wakazi wa hapo wamezubazuba na wavivu sna.

Moro maji ni machafu, kama ni mtu unajali ngozi yako kuwa mweusi haipukiki.
Hebu tuzungumzie habari ya maji machafu kama ulivyosema, mara ya mwisho kuishi moro ilikuwa mwaka gani? Na uliishi maeneo gani

Sent from my Redmi Note 9S using JamiiForums mobile app
 
Ww nae si urudi tu. Wameshafuta intavyuu. Unafanya nini huko hadi saiv?
 
Dom ni balaa aise hasa maji yake yana chumvi sana na yanapausha ngozi balaa na kuifanya iwe kama umelabwa na fisi. Yani ngozi inakuwa inatoka kama nyoka vile afu inakuwa kavu balaa..
 
Hahahaha nimecheka sana mkuu unataka link nenda pale Malaika utakutana nao kibao ajabu ni wachafu lkn hizo bei zao sasa
 
Haya mapuuzi yanayoiongelea Dodoma vibaya yamekuwa mengi sasa JF uzalendo umenishinda wacha niwazabue..hiv mtu unakuja dodoma unakaa uswahilin ambako maji tu shida, ukichanganya na umasikin wako wa kushindwa kununua hata sabuni nzur na mafuta mazur unazan utanawil? hii iko Tz nzima na dunia nzma hata uende sehem gan nzur, kama mifuko yako inasoma 0" jihesabu wew n wakupauka tuu, mbona sis tupo hapo for almost 7yrs na tunapendeza ngozi nzurii zinang'aa,..maswahibu yako usitake kulaumu mkoa mzima, nanyie mapimbi wengine mnaosapoti huu ujinga tutakuja makwenu tupathaminishe na Dodoma pumbv zenu....
Waambie Boss mi nimeishi mikoa mikoa mingi naona hali ya hewa Dom ni afadhali maana ni 50 50 ninaishi Dom panazoeleka vizuri tuu...!! Pia kijiografia unafika popote nchini Kwa siku Moja.
 
Hivi mkiongelea vumbi mlishawahi kuishi Kibondo na Kasulu mkoani Kigoma??? Acheni aisee...
 
Haya mapuuzi yanayoiongelea Dodoma vibaya yamekuwa mengi sasa JF uzalendo umenishinda wacha niwazabue..hiv mtu unakuja dodoma unakaa uswahilin ambako maji tu shida, ukichanganya na umasikin wako wa kushindwa kununua hata sabuni nzur na mafuta mazur unazan utanawil? hii iko Tz nzima na dunia nzma hata uende sehem gan nzur, kama mifuko yako inasoma 0" jihesabu wew n wakupauka tuu, mbona sis tupo hapo for almost 7yrs na tunapendeza ngozi nzurii zinang'aa,..maswahibu yako usitake kulaumu mkoa mzima, nanyie mapimbi wengine mnaosapoti huu ujinga tutakuja makwenu tupathaminishe na Dodoma pumbv zenu....
Wew ni chizi, yaani Dodoma hiyo hiyo nayoifahamu unasema unanawiri! Mama nanii tu na weupe wake akikaa huko for one week anakuwa mweusi ti, sembuse wewe pangu pakavu
 
Wew ni chizi, yaani Dodoma hiyo hiyo nayoifahamu unasema unanawiri! Mama nanii tu na weupe wake akikaa huko for one week anakuwa mweusi ti, sembuse wewe pangu pakavu
Masikini hachagui hali ya hewa
 
Morogoro ni mkoa mzuri sana, fursa ni nyingi za pesa japo mzunguko ni mdogo sana wa pesa, na wakazi wa hapo wamezubazuba na wavivu sna.

Moro maji ni machafu, kama ni mtu unajali ngozi yako kuwa mweusi haipukiki.
Sio kweli,
 
Nilikutana na demu mmoja kipindi cha nyuma!tena bus terminal pale arusha nilimuona tuu nikamfeel na ule uarabu wake wa kuchovya!!

Niliongea nae nikaona kaniamini tuu!!
Labda kwa jinsi y uonekano wangu.

Nikachukua namba yake wakati namshusha olasiti huko kwa shangazi yake!!

Nilizoeana nae sana ikawa namfata pale kwa shangazi yake namtoa out kwa gia ya kumuonyesha mji..

Nikawa najilia sana yule mtoto!!
Akarudi huko dodoma...
Akanipa mwaliko nikaenda.

Ptuuuuu...
Yaani ule mji ulinikinai hatari kwa ile hali ya hewa!
Msela kila siku naaga niondoke ila mtoto analalamika niendelee kubaki baki..
Alichoniuzi ni kwamba alinishawishi sana kwamba hapo dodoma baadae serikali itahamishiwa hapo hvyo kuna viwanja ninunue!
Kweli nilinunua kiwanja bei rahisi sana!
Akawa anashughulikia yeye hicho kiwanja mambo ya kukatia hati na mengineyo!!
Mwisho nilimuachia kile kiwanja kiwe chake!
Yule demu angekubali kuja kuishi nilipo ningemuoa!!
Lakini hakutaka kuondoka dodoma kbs nikapiga chini
Dah wewe jamaa una moyo safi sana,umemuachia demu kiwanja kiurahisi urahisi tu.
Watu kama nyinyi mpo wachache sana
 
Dodoma sihamiii. Sabuni tumia ya unga,mafuta paka ya cocoa butter body cream au lotion
 
Dar kama ni mgeni utapata tabu sana! Juzi Kati nilienda nikitoka Iringa kwenye baridi + upepo Sasa nilipanda lakini Ile shida niliyopata nilitamani kushuka nitembee kwa miguu! Yaani kubanana, joto kukanyagana hatari.
Hahaahaa acha tu. Ukitoka kwenye AC ukaingia kwenye hewa ya kawaida unaweza kuhisi mtu kakukaba.
 
Back
Top Bottom