Hali ya hewa ya Dodoma imenishinda

Naona Dodoma inabadilika kwa kasi sana baada ya serikali kuhamia hapo, kigezo cha hali ya hewa kuwa mbaya sijui unaisemaje hali ya hewa ya Dar! Mimi joto la Dar sijawahi kulizoea licha ya kuishi huko miaka kadhaa. Nafikiri uamuzi wa kuhamia Dodoma ilikuwa ni kurahisisha nchi nzima kuzifikia huduma za serikali kwa ukaribu zaidi kwa maana ya kwamba Dodoma ni karibu karibia kwa kila mkoa uliopo Tz.
Kama uliliweza joto la Dar basi vumbi la Dom utalizoea tu pia.
 
Unavuta hewa kama unavuta misumari au viwembe puani
 
Hakika mkuu na hata ikibaki hapo hapo ni sawa tu seikali iwekezepo tu mambo yatakaa sawa .mbona israel na uarabuni ni majangwa lakini wameweza kupatengeneza pakapendeza

Na mimi siungi mkono makao makuu kurudi dar.
 
Watu Wanatoka Tongotongo Kwenye Macho Mpaka Huruma YaaniHapa Bado!!πŸ™„πŸ™„πŸ˜ΆπŸ˜ΆπŸ˜‘πŸ˜πŸ˜πŸ˜£
Samahani mkuu, hivi nini hasa husababisha tongotongo? chukulia macho ya Muhusika hayana shida yoyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…