Hali ya hewa ya Dodoma imenishinda

Hali ya hewa ya Dodoma imenishinda

Baridi kaliiiii...hewa kavuu...
Wadau mnaoishi Dodoma mnawezaje ishi.. mnatumia sabuni na mafuta gani.. maana mimi ndani ya wiki tu ngozi imekua kama ya kenge, bila citrizine mafua hayaishi..

Utadhani nina-uviko.. Maji chumvi..sabuni hazitoi povu..wadau mnaishije... Msaada tafadhali
Nilikuwa huko last month nilipata taabu sana, ila sehemu za kula bata zipo kila kona
 
Hata kwa Dar msimu wao wa baridi umechukua kipindi kirefu na imezidi kwa ukali......nafikiri ni athari za mabadiliko ya tabia nch

Kwa kigezo cha hali ya hewa Moro pako njema asee. Tena safi tu sema hawawezi kuhamia.
Moro pako vizuri sana, ile hali ya kuzungukwa na milima yenye misitu mikubwa inachangia
 
Baridi kaliiiii...hewa kavuu...
Wadau mnaoishi Dodoma mnawezaje ishi.. mnatumia sabuni na mafuta gani.. maana mimi ndani ya wiki tu ngozi imekua kama ya kenge, bila citrizine mafua hayaishi..

Utadhani nina-uviko.. Maji chumvi..sabuni hazitoi povu..wadau mnaishije... Msaada tafadhali
Makao makuu huko karibu na Milembe hospitali. Wanasiasa wote akili ya bata, huoni Samia Hakai huko, 80% of her time is in DSM or Zanzibar
 
Wanaume wa Dar kilakitu kina washinda, mwanaume rijali huwez sema hadharani upuuzi kama huo...
Wanaume sikuhiz mnalalamika kishoga shoga tu, wanawake wanawashinda, mnapenda maisha mepesi ndio maana mnashikishwa ukuta
 
Nilikutana na demu mmoja kipindi cha nyuma!tena bus terminal pale arusha nilimuona tuu nikamfeel na ule uarabu wake wa kuchovya!!

Niliongea nae nikaona kaniamini tuu!!
Labda kwa jinsi y uonekano wangu.

Nikachukua namba yake wakati namshusha olasiti huko kwa shangazi yake!!

Nilizoeana nae sana ikawa namfata pale kwa shangazi yake namtoa out kwa gia ya kumuonyesha mji..

Nikawa najilia sana yule mtoto!!
Akarudi huko dodoma...
Akanipa mwaliko nikaenda.

Ptuuuuu...
Yaani ule mji ulinikinai hatari kwa ile hali ya hewa!
Msela kila siku naaga niondoke ila mtoto analalamika niendelee kubaki baki..
Alichoniuzi ni kwamba alinishawishi sana kwamba hapo dodoma baadae serikali itahamishiwa hapo hvyo kuna viwanja ninunue!
Kweli nilinunua kiwanja bei rahisi sana!
Akawa anashughulikia yeye hicho kiwanja mambo ya kukatia hati na mengineyo!!
Mwisho nilimuachia kile kiwanja kiwe chake!
Yule demu angekubali kuja kuishi nilipo ningemuoa!!
Lakini hakutaka kuondoka dodoma kbs nikapiga chini
Mhhhhh! Umeweka na ndimu aisee[emoji119][emoji119][emoji23][emoji23]
 
Wakuu hebu punguzeni hasira dodoma ipo hivyo tangu enzi za mababu sasa kilichowapeleka huko ni nini alafu mnaanza kulalamikia nature😁😁

Mama afanyie waja wake wepesi kurudisha hela mifukoni stress ni nyingi sana kwa machalii wake nchini.

Alafu niwaambie nini, shukuruni mmerudi makwenu salama hamjafa kwa njaa, wala upotevu wa maji mwilini. Paka nyie.
 
Sio dodoma tu..inshort sis watoto wa daslam tuliozoea unyevu wa indian ocean huko mikoan tunapata tabu sana..ngoz inakua kama kenge
 
Back
Top Bottom