DOKEZO Hali ya Kawe ni mbaya, Serikali ichukue hatua dhidi ya Mwamposa na waumini wake

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Uko sahihi kwa asilimia 100
 
Hivi unaboreshaje sehemu ambayo sio kwako umepanga maana mwamposa pale amepanga suala la kupaboresha Ni la anayechukua Kodi yaani serikali
Mhhh basi uwanja ni sehemu ya ibada na sio sehemu ya kulala, sidhani kama kipindi alipokuwa anakodisha alisema waumini watakuwa wanalala. Still mwamposa kuna sehemu hayupo sawa!
 
Sema walioleta "hii" dini ya Ukristo na sio walioleta "hizi" dini, kwani hapo kwa Mwamposa (Mwam- PESA) kuna dini ngapi??.
Dhamira ilikuwa kufikisha fikra zangu ambazo nina yakini ni huru. Niliposema hizi dini nilimaanisha zote ambazo kwa mtazamo wangu bila kuzitaja naamini ni kajanja.

Kabla kusahihisha ilipaswa ujue chimbuko la maoni yangu.

Uwe na siku njema. Ramadhan Karim kama muislam na kwa resma njema kama ni mkristo✌️
 
Bubu wa roliyondo na kikombe cha uongo
 
Kwani hicho kiwanja anakimiliki yeye? Kiwanja cha ile hotel ya Mbeya anakimiliki
kwani hostel hazijengeki katika kiwanja kingine chochote tofauti na hapo wanapofanyia ibada? Kama aliweza kumiliki kiwanja cha mbeya nini kinamzuia kumiliki kiwanja Dar es salaam?
 
Dah, Mwamposa noma sana, ni mwendo wa kujipigia hela tu
Wakiristo wengi uwezo wa kutumia akili zao uwa ni mdogo sana hasa katika mambo ya imani mfano kwa babu roliyondo kwa zamaladi mwanza wapo baadhi wanao dhani anaenda mbinguni jushua alivunja rekodi Kakobe kibwetele wa uganda hacha waliwe si akili zao ndogo
 
Viongozi wa makanisa yote duniani hawako kiroho bali wako kibiashara zaidi
 
kwani hostel hazijengeki katika kiwanja kingine chochote tofauti na hapo wanapofanyia ibada? Kama aliweza kumiliki kiwanja cha mbeya nini kinamzuia kumiliki kiwanja Dar es salaam?
Unadhani kupata kiwanja cha kujenga hotel Kawe ni rahisi kama Mbalizi?
 
Acha limwamposa liendelee kujipigia pesa mpaka akili zitapowakaa sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…