Hali ya kiuchumi Arusha inazidi kushuka kila uchwao

Mtaa wenyewe unaitwa shauri moyo, ukiwa osterbay ngarenaro unaingia ndani ndani hukoo.
Kuna bar inauza pombe za kienyeji na za kawaida ipo mitaa hiyo. Huko utakuta madadapoa wa bei chini sana.. mwaka 2012 nakumbuka bei elekezi ilikuwa Tsh 2000 kwa bao. Ila kutokana na Covid19 na hivi vita vya Ukraine huenda bei imeongezeka zaidi.
 
Acha uongo wako ,hakuna kipindi Arusha inakimbia kimaendeleo na kiuchumi kama Sasa hivi.

Ukishuoa wewe usidhani ni wote
 
Hakunaga mchaga wa Arusha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…