Sio wabinafsi wala wabaguzi hawa ni watu walioleta biashara na maendeleo kila kona ya nchi wangekuwa wabinafsi na wabaguzi wangefanya maendeleo yote kule Moshi na mji huu ungekuwa mkubwa kuliko Dar! Unapaswa kutambua kuwa mahali walipokimbia watu hawa hakuna mwingine anaweza kustawi pale!Moshi naku-support ndio maana ule mji umedoda una wakazi 221,000 mpk leo ukiziwa na miji ya juzi tu km Geita n.k. Wachaga ni wabinafsi mno na wabaguzi. Arusha hawana ubavu ndio maana uongozi wa kisiasa kuupata ni vigumu.
