The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
PoleVizuri, binafsi kwa uzoefu wangu huu wa kuuza na kununua mikoa tofauti tofauti, Arusha ipo kawaida tu kwenye customer care kama mikoa mingine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PoleVizuri, binafsi kwa uzoefu wangu huu wa kuuza na kununua mikoa tofauti tofauti, Arusha ipo kawaida tu kwenye customer care kama mikoa mingine.
Hawa si ndo tunaambiwa ndo wazee wa jiji unategemea nini sasa hapo?Wadudu wanakuja wazee wa mitumba.
Mwenyewe nimepata wasiwasi juu ya hiyo beiNyumba ya vyumba vitatu Arusha kwa 150,000 hata nduruma huipati mkuu
Nmeenda dodoma na mwanza customer care very poor hata hotel nyingi za hiyo mikoa inabidi waajiri watu wa arusha mosh ili atleast wasaidie haliHaihitaji kufanya biashara Bali inahitaji kutembea na ku shop Mikoa tofauti
Hapa muda mwingine ni kama kuingia chama kiiiileeeeee akili unaiacha mlangoni kwa mudaHivi mkuu unaamini hizi story za huyu mtoa mada Abunuasi ?
Hivi mkuu uko serious ?Nilifika Arusha siku za karibuni nilitembea toka Stand ya bus hadi Kijenge sikuona furushi la taka njiani Wala mifuko ya plastic na sabuni wala chupa za Mo na Azam energy suala la uchafu ni uongo mtupu.
Kiwanja Cha ndege Arusha kina miruko mingi ya ndege ikizidiwa na JNIA, KIA na Dodoma tuu hivyo hapo ni uongo wako tuu na kuweka taa Magu alichukua zilizotakiwa Arusha na kumpeleka Chatto.
Kahama Kuna dhahabu na mzunguko wa fedha zaidi ya Arusha ila quality of life and sophistication na elimu ni mbigu na ardhi.
Ndugu yangu Dar inabebwa na vitu viwili tu.Tatizo la Arusha na Miji mingine inayotegemea sekta za Utalii na Madini ni kwamba pesa hizo huenda Kwa watu wachache , makampuni na Serikali ila mtu wa chini hazimfikii sana.
Ikiingia hapo Mjini unaona magorofa yanapanda sana Kwa Ajili ya Mahoteli ila Sasa huku kwenye grassroots ndio Changamoto.
Ni tofauti sana na Dar ,Mwanza au Mbeya ambako Kuna shughuli za aina nyingi hasa zile za watu wa chini wanapata uhakika wa hela.
Hahahaha sasa Dodoma Kuna miruko ulinganishe na KIA? Kumbe Kuna watu hawajielewi humuHivi mkuu uko serious ?
Yaani kiwanja cha ndege Arusha kizidiwe miruko na Dodoma ?
Embu google uangalie vizuri
KIA haiko Arusha,analinganisha Arusha airport vs Dodoma airportHahahaha sasa Dodoma Kuna miruko ulinganishe na KIA? Kumbe Kuna watu hawajielewi humu
Okay, hata Arusha airport pia huwezi linganisha na Dodoma, let us be realistic, pale Kuna connection nyingi sana za Serengeti, ZanzibarKIA haiko Arusha,analinganisha Arusha airport vs Dodoma airport
Wajinga sana halafu wanajifanya wajanja na meno yao machafu na rafudhi zao mbovu.wabaguzi hao wakina Zanzibar-ASP mpaka wamekimbia , mji wa kishamba wanaangalia meno kama una meno meupe hupat wateja.
Hapa tunazungumzia uwanja mdogo wa Kisongo ArushaHahahaha sasa Dodoma Kuna miruko ulinganishe na KIA? Kumbe Kuna watu hawajielewi humu
Ngozi nyeusi ni ni mikosi, kule Zanzibar Mtanganyika ana baguliwa kwa kuitwa kafiri na Ukiwa mkristo wanakuchukia, lakini wazungu wanapendwa na wana hudumiwa kwa kunyenyekewa na Wazungu ni Wakristo kama ilivyo wa Tanganyika.Mji ambao anaweza akauziwa kitu mchina, mzungu, mhindi, mjapani, mkenya, mnyarwanda, msomali au mjamaika bila shida yoyote, sasa wewe mndengereko kwanini usiuziwe kama una pesa?
Arusha ni mji wa pesa, ukiwa na pesa utauziwa au kununua chochote, ukiwa huna hela utakuwa na maneno mengi tu ukitaka upunguziwe na uonewe huruma, na hapo ndipo unatafuta kutaka kujuana, mwisho utaishia kulalamika kuwa umebaguliwa.
Tafuta hela ili asilalamike.
Mitaa unayoitaja yote ni mikongwe... Nyie ndio mnasemaga Arusha ndogo (yani Arusha kati, levolosi, kaloleni na sekei)..Nimetoka chuga juzi kati, aisee kumbe siku hizi ni kubwa.. inafaa kuwa na manispaa mbili basi tu meru wamegoma kuungwa na jijiHili jiji la arusha ambalo linasifika kwa utalii na ambalo lina historia nzuri ya kutoa wasanii, waigizaji na watangazaji maarufu, sifa zake kwa nje ni nyingi na nzuri sana. Ila kwa uhalisia ukifika ndani ya jiji hilo ni shida tupu.
Biashara ndani ya jiji hilo ni ngumu sana, watu wanafanya biashara kwa kujuana sana. Kiufupi mzunguko ni mdogo sana si soko la kilombero wala soko kuu.
Ukipita mitaa ya makao mapya utakuta nyumba self contained ya vyumba 3 shs 150,000/= na wanataka kodi ya hata mwezi. Ukienda huko ngarenaro mitaa ya shauri moyo unakuta wali wa kuku 1000.
Mbaya zaidi hili jiji mitaa mingi ni michafu sana kama sekei, sombetini, mbauda na huko mianzini. Biashara kubwa katika hili jiji ni biashara ya shule, biashara ya nyama aina zote na biashara ya bia.
Japo wanachuga hupenda kulitetea hili jiji, ila kiuhalia arusha ilipaswa kuwa mji kama miji mingine. Yaani saivi hata kahama kuna mzunguko wa hela kuliko arusha.
Hili ndio jiji ambalo matajiri wake wote hawapo top 100 ya matajiri Tanzania.
Hili pia ndio jiji linaloongoza kwa kuvaa mitumba wazee wa krokon na memorio.
Hili ndio jiji ambalo wakazi wake wengi ni lialia wakija kwenye biashara yako watataka uwapunguzie hata kitu cha mia.
Hili ndilo jiji ambalo ukikaa mwaka mmoja unaweza wafahamu wakazi wote wa hapo. Hapo utapata picha udogo wa jiji.
Imagine jiji uwanja wa ndege hauna taa za kuongozea ndege usiku. View attachment 3004742
Wazungu Wana hela ,wewe Kafir unazo? 😬😬Ngozi nyeusi ni ni mikosi, kule Zanzibar Mtanganyika ana baguliwa kwa kuitwa kafiri na Ukiwa mkristo wanakuchukia, lakini wazungu wanapendwa na wana hudumiwa kwa kunyenyekewa na Wazungu ni Wakristo kama ilivyo wa Tanganyika.