Hili la kujuana usilipinge ,kwanza ukiwa kule baada ya salaamu kinachofuata ni AISEE WEWE NI MTU WA WAPI?
Hakuna mchaga anayenunua duka la chasaka ama asiye mchaga wewe usitake kudanganya watu.
Wale wa mama wa soko kuu mfano wa Kanda ya ziwa wanachangiwa na wateja wa Kanda ya ziwa , wa huko wananunua kwa wauzaji wa huko huko.
Arusha naipenda weather Ila sio mji kirafiki una ukabila Kama miji ya Kenya.
Mana Arusha wachaga ni wengi ndio wameshikilia nguvu kuu za kiuchumi.
Binafsi nilitaka kuweka empire huko nikawaza mji wangu wa Mwanza na wasukuma walivyo wakarimu hawabagui jamani nikaona Bora niishi Mwanza.
Hili la ubaguzi naweza nikatoa hela tukafanya research kwa wafanya biashara wa Kanda zingine walioko huko.
Kuna mmama mmoja mhaya nilimuuliza kitu ichi akaniambia nikinunua dukani.kwake deto.
Arusha ni wanajifanya wajuaji Kama wameru na waarusha.yaani Yale meno ya kashata za karanga wao wanaona Kama ni gold wamebeba mdomoni.
Ubaguzi upo hapa nitakupinga Kama vipi tutaingia field tufanye sample hata maduka mia moja tulete mean ,range, standard deviation, variance Mana number don't lie