Hali ya kiuchumi Arusha inazidi kushuka kila uchwao

Hali ya kiuchumi Arusha inazidi kushuka kila uchwao


Tatizo la Arusha na Miji mingine inayotegemea sekta za Utalii na Madini ni kwamba pesa hizo huenda Kwa watu wachache , makampuni na Serikali ila mtu wa chini hazimfikii sana.

Ikiingia hapo Mjini unaona magorofa yanapanda sana Kwa Ajili ya Mahoteli ila Sasa huku kwenye grassroots ndio Changamoto.

Ni tofauti sana na Dar ,Mwanza au Mbeya ambako Kuna shughuli za aina nyingi hasa zile za watu wa chini wanapata uhakika wa hela.
 
Kipindi pekee ambacho Arusha ilipitia hali mbaya zaidi kiuchumi ni kipindi cha Covid, na hapo kabla kile kipindi cha Magufuli.
Lakini tangu huyu mama Samia aingie, flow ya pesa imeongezeka zaidi kupitia Utalii.
Na huu ndio ukweli.Angalia tuu hapo Mjini Magorofa yanavyopanda, mikutano haikauki hapo AICC na Watalii Wanazidi kufurika.

Shida ni hizo sekta ni za wachache na Serikali ndio maana unaona watu wa chini wanalalamika
 
Na huu ndio ukweli.Angalia tuu hapo Mjini Magorofa yanavyopanda, mikutano haikauki hapo AICC na Watalii Wanazidi kufurika.

Shida ni hizo sekta ni za wachache na Serikali ndio maana unaona watu wa chini wanalalamika
Kwani hujui huyo aliyeanzisha hii thread ni mtu wa ziwani kwa lengo la kuipondea arusha hawa watu kutwa kuishambulia arusha sijui imewafanyaga nini🤣 wapi uliskia mtu wa arusha amelalamika hakuna kipindi kuna mzunguko arusha kama sasa hivi, hakuna kipindi kuna magari, biashara na ujenzi kama sasa hivi mji uko busy kwelikwel
 
Swala la msingi ni kwamba competition ya Arusha ni kubwa ,huko kwingine unakosema ni kwamba Bado watu ni mbumbumbu.

Moja ya Mji watu wanajua biashara na customer care ni Arusha
Kuhusu customer care ni swala binafsi haliangalii kabila mji wala jinsia. Issue ya ubaguzi hiyo ipo wazi sana, Arusha ukabila bado upo, Dar inaizidi Arusha kwa kila kitu mpaka competition lakin hakuna ubaguzi wa kikabila ndiosababu mpaka wakinga licha ya uchache wao lakini wanafanya vizuri kibiashara
 
Kuhusu customer care ni swala binafsi haliangalii kabila mji wala jinsia. Issue ya ubaguzi hiyo ipo wazi sana, Arusha ukabila bado upo, Dar inaizidi Arusha kwa kila kitu mpaka competition lakin hakuna ubaguzi wa kikabila ndiosababu mpaka wakinga licha ya uchache wao lakini wanafanya vizuri kibiashara
Sio swala binafsi ni swala linloletwa na level of competition
 
Leo umeangukiwa na kitu kizito kichwani.

Eti mnaitwa Jiji la Wadudu 😁😁😁😁

Ukweli ni kwamba competition ya Arusha ni kubwa ndicho kimemshinda mtoa mada.

Anatakiwa kwenda Kwa washamba huko Mikoani
Mkoani ndio wapi? Je Arusha sio mkoani? Kitanzania tanzania mjini ni dar tu,kulikobaki hakujapishana kiivyo.
 
Hivi Poker kumbe Arusha Kuna nyumba ya vyumba 3 unalipia Kodi ya 150k?
Ni rahisi kuliko Dodoma ama Dar es salaam

Wacha nitafute ya Chumba na sebule huenda itakuwa na Kodi ya 70k, ili nikiwa nakuja huko niwe nafikia badala ya kulala
Hili la kujuana usilipinge ,kwanza ukiwa kule baada ya salaamu kinachofuata ni AISEE WEWE NI MTU WA WAPI?
Hakuna mchaga anayenunua duka la chasaka ama asiye mchaga wewe usitake kudanganya watu.
Wale wa mama wa soko kuu mfano wa Kanda ya ziwa wanachangiwa na wateja wa Kanda ya ziwa , wa huko wananunua kwa wauzaji wa huko huko.
Arusha naipenda weather Ila sio mji kirafiki una ukabila Kama miji ya Kenya.
Mana Arusha wachaga ni wengi ndio wameshikilia nguvu kuu za kiuchumi.


Binafsi nilitaka kuweka empire huko nikawaza mji wangu wa Mwanza na wasukuma walivyo wakarimu hawabagui jamani nikaona Bora niishi Mwanza.


Hili la ubaguzi naweza nikatoa hela tukafanya research kwa wafanya biashara wa Kanda zingine walioko huko.

Kuna mmama mmoja mhaya nilimuuliza kitu ichi akaniambia nikinunua dukani.kwake deto.

Arusha ni wanajifanya wajuaji Kama wameru na waarusha.yaani Yale meno ya kashata za karanga wao wanaona Kama ni gold wamebeba mdomoni.

Ubaguzi upo hapa nitakupinga Kama vipi tutaingia field tufanye sample hata maduka mia moja tulete mean ,range, standard deviation, variance Mana number don't lie

Hili la kujuana usilipinge ,kwanza ukiwa kule baada ya salaamu kinachofuata ni AISEE WEWE NI MTU WA WAPI?
Hakuna mchaga anayenunua duka la chasaka ama asiye mchaga wewe usitake kudanganya watu.
Wale wa mama wa soko kuu mfano wa Kanda ya ziwa wanachangiwa na wateja wa Kanda ya ziwa , wa huko wananunua kwa wauzaji wa huko huko.
Arusha naipenda weather Ila sio mji kirafiki una ukabila Kama miji ya Kenya.
Mana Arusha wachaga ni wengi ndio wameshikilia nguvu kuu za kiuchumi.


Binafsi nilitaka kuweka empire huko nikawaza mji wangu wa Mwanza na wasukuma walivyo wakarimu hawabagui jamani nikaona Bora niishi Mwanza.


Hili la ubaguzi naweza nikatoa hela tukafanya research kwa wafanya biashara wa Kanda zingine walioko huko.

Kuna mmama mmoja mhaya nilimuuliza kitu ichi akaniambia nikinunua dukani.kwake deto.

Arusha ni wanajifanya wajuaji Kama wameru na waarusha.yaani Yale meno ya kashata za karanga wao wanaona Kama ni gold wamebeba mdomoni.

Ubaguzi upo hapa nitakupinga Kama vipi tutaingia field tufanye sample hata maduka mia moja tulete mean ,range, standard deviation, variance Mana number don't lie
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
Makonda ataliinua ki uchumi hilo jiji , Shida Watu wa Arusha wamejaa Dar es salaam wametelekeza mji wao , Mchaga wa Arusha utamkuta kajenga bonge la nyumba Goba ila Arusha anakiwanja kina Msingi kwa miaka kumi mfululizo akiambiwa auze anakuuliza kabila lako kwanza.
Kwahiyo na huko dar watu waarusha wameshaleta ukabila kwenye biashara? Maana wamejaa huko!

Mbona Kuna watu kibao wameingia Arusha hawana kitu na wamekuwa mamilionea, au mnazungumzia biashara za kioski?

Nyumba ya vyumba vitatu Arusha kwa 150,000 hata nduruma huipati mkuu
 
Back
Top Bottom