Hali ya kiuchumi Arusha inazidi kushuka kila uchwao

Hali ya kiuchumi Arusha inazidi kushuka kila uchwao

Hii thread mtoa mada angeifungua kipindi cha covid angekua sahihi kabisa
Ila kwa sasa hivi amebugi Big time😀
Bad News kwa wasioipenda kaskazini awamu hii inasapoti utalii vibaya mno
Sio makosa yetu kuwekewa mlima mrefu zaidi Africa pale Kilimanjaro sio makosa yetu kuwekewa mlima meru, ngorongoro etc
Ni wivu tu 😀

View: https://www.instagram.com/reel/C3R7E3_N1G4/?igsh=MXF2cjE1YzJ2bHZlaA==
 
Hii thread mtoa mada angeifungua kipindi cha covid angekua sahihi kabisa
Ila kwa sasa hivi amebugi Big time😀
Bad News kwa wasioipenda kaskazini awamu hii inasapoti utalii vibaya mno
Sio makosa yetu kuwekewa mlima mrefu zaidi Africa pale Kilimanjaro sio makosa yetu kuwekewa mlima meru, ngorongoro etc
Ni wivu tu 😀

View: https://www.instagram.com/reel/C3R7E3_N1G4/?igsh=MXF2cjE1YzJ2bHZlaA==

Kanda ya Kaskazini ipo mbali sana hata pato la mtu mmoja mmoja kwa mikoa yote ya kanda hiyo lipo juu. Pamoja na kanda ya Nyanda za juu kusini.
 
Kanda ya Kaskazini ipo mbali sana hata pato la mtu mmoja mmoja kwa mikoa yote ya kanda hiyo lipo juu. Pamoja na kanda ya Nyanda za juu kusini.
Wewe huonagi watu walioko bize kushindanisha miji huku mitandaoni ni wa kanda ya ziwa 😀 hao ndio hawanaga kazi ya kufanya kama mtoaa mada jinga mmoja anasema eti arusha wanauziana kwa ukabila hawana exposure hawa watu hawatembei kazi kuzaliana tu😅 na ndio maana wanawivu sana na watu wa kaskazini kwa vile wameenda kwenye miji yao na kudominate, huwezi kuona mtu wa kaskazini anamuundermine mtu wa kanda ya ziwa kwa vile kumshusha mwenzako ni sign ya inferiority bila kujua the more wanatuzalilisha ndio the more wanatupaisha ndio maana wanakwambia adui yako mpende.
NB: Hawa watu wa kanda ya ziwa ndio wanaongoza kuchinjana kama kuku, ndio watu waliojaa imani za kishirikina, kuua wazee wasio na hatia, kuabudu chatu, kuua albino lakini huwezi kuta tunawaongelea
Kanda nzima ile mkoa ukiostaarabika kagera peke yake
 
Wewe huonagi watu walioko bize kushindanisha miji huku mitandaoni ni wa kanda ya ziwa 😀 hao ndio hawanaga kazi ya kufanya kama mtoaa mada jinga mmoja anasema eti arusha wanauziana kwa ukabila hawana exposure hawa watu hawatembei kazi kuzaliana tu😅 na ndio maana wanawivu sana na watu wa kaskazini kwa vile wameenda kwenye miji yao na kudominate, huwezi kuona mtu wa kaskazini anamuundermine mtu wa kanda ya ziwa kwa vile kumshusha mwenzako ni sign ya inferiority bila kujua the more wanatuzalilisha ndio the more wanatupaisha ndio maana wanakwambia adui yako mpende.
NB: Hawa watu wa kanda ya ziwa ndio wanaongoza kuchinjana kama kuku, ndio watu waliojaa imani za kishirikina, kuua wazee wasio na hatia, kuabudu chatu, kuua albino lakini huwezi kuta tunawaongelea
Kanda nzima ile mkoa ukiostaarabika kagera peke yake
Wengi hawana exposure, wana inferiority complex, bado elimu haija wakomboa na wana post traumatic stress disorders ya kilicho tokea miaka 3 iliyopita, healing ipo Pole Pole itawachukua muda mrefu kupona.
 
Ni kweli usemayo. Ujio wa kundi la wadudu Arusha ni uthibitisho tosha kwamba Arusha inaelekea kuwa kijiji kikubwa kama ilivyo miji yetu ya kitanzania. Inashangaza sana ni vigezo vipi vinaifanya Arusha kuwa makao makuu ya EAC.

Wiki mbili zilizopita nilitembelea tena Arusha baada ya miaka mitano kupita bila kukanyaga mji ule. Arusha badala ya kung'ara, inafifia. Arusha inarudi nyuma na wenyeji wanakiri kuwa kuna upigaji wa kufa mtu. Majengo ni yale yale chakavu, barabara nyingi zimejengwa chini ya kiwango. Arusha inasikitisha.😢
 
Ni kweli usemayo. Ujio wa kundi la wadudu Arusha ni uthibitisho tosha kwamba Arusha inaelekea kuwa kijiji kikubwa kama ilivyo miji yetu ya kitanzania. Inashangaza sana ni vigezo vipi vinaifanya Arusha kuwa makao makuu ya EAC.

Wiki mbili zilizopita nilitembelea tena Arusha baada ya miaka mitano kupita bila kukanyaga mji ule. Arusha badala ya kung'ara, inafifia. Arusha inarudi nyuma na wenyeji wanakiri kuwa kuna upigaji wa kufa mtu. Majengo ni yale yale chakavu, barabara nyingi zimejengwa chini ya kiwango. Arusha inasikitisha.😢
Ukiwaambia ukweli wanasema tuna chuki ilihali hali ya wafanyabiashara kwa mkoa wa arusha ni ngumu sana. Asilimia kubwa ya mapato ya arusha yanategemea utalii. Hiyo pesa ya utalii wala haiingii kwenye mzunguko wa huko town wa kila siku. Unaeza fanya biashara arusha miaka 2 na mtaji wa 100ml na usitoboe ila kwa huo mtaji nenda mbeya, kahama au dar au mbeya na hata morogoro uone utakavyotoboa.
 
Hili jiji la arusha ambalo linasifika kwa utalii na ambalo lina historia nzuri ya kutoa wasanii, waigizaji na watangazaji maarufu, sifa zake kwa nje ni nyingi na nzuri sana. Ila kwa uhalisia ukifika ndani ya jiji hilo ni shida tupu.

Biashara ndani ya jiji hilo ni ngumu sana, watu wanafanya biashara kwa kujuana sana. Kiufupi mzunguko ni mdogo sana si soko la kilombero wala soko kuu.
Ukipita mitaa ya makao mapya utakuta nyumba self contained ya vyumba 3 shs 150,000/= na wanataka kodi ya hata mwezi. Ukienda huko ngarenaro mitaa ya shauri moyo unakuta wali wa kuku 1000.
Mbaya zaidi hili jiji mitaa mingi ni michafu sana kama sekei, sombetini, mbauda na huko mianzini. Biashara kubwa katika hili jiji ni biashara ya shule, biashara ya nyama aina zote na biashara ya bia.
Japo wanachuga hupenda kulitetea hili jiji, ila kiuhalia arusha ilipaswa kuwa mji kama miji mingine. Yaani saivi hata kahama kuna mzunguko wa hela kuliko arusha.
Hili ndio jiji ambalo matajiri wake wote hawapo top 100 ya matajiri Tanzania.
Hili pia ndio jiji linaloongoza kwa kuvaa mitumba wazee wa krokon na memorio.
Hili ndio jiji ambalo wakazi wake wengi ni lialia wakija kwenye biashara yako watataka uwapunguzie hata kitu cha mia.
Hili ndilo jiji ambalo ukikaa mwaka mmoja unaweza wafahamu wakazi wote wa hapo. Hapo utapata picha udogo wa jiji.
Imagine jiji uwanja wa ndege hauna taa za kuongozea ndege usiku. View attachment 3004742
Mh uzr unazugumza kuiponda Arusha mkuu
Hili jiji la arusha ambalo linasifika kwa utalii na ambalo lina historia nzuri ya kutoa wasanii, waigizaji na watangazaji maarufu, sifa zake kwa nje ni nyingi na nzuri sana. Ila kwa uhalisia ukifika ndani ya jiji hilo ni shida tupu.

Biashara ndani ya jiji hilo ni ngumu sana, watu wanafanya biashara kwa kujuana sana. Kiufupi mzunguko ni mdogo sana si soko la kilombero wala soko kuu.
Ukipita mitaa ya makao mapya utakuta nyumba self contained ya vyumba 3 shs 150,000/= na wanataka kodi ya hata mwezi. Ukienda huko ngarenaro mitaa ya shauri moyo unakuta wali wa kuku 1000.
Mbaya zaidi hili jiji mitaa mingi ni michafu sana kama sekei, sombetini, mbauda na huko mianzini. Biashara kubwa katika hili jiji ni biashara ya shule, biashara ya nyama aina zote na biashara ya bia.
Japo wanachuga hupenda kulitetea hili jiji, ila kiuhalia arusha ilipaswa kuwa mji kama miji mingine. Yaani saivi hata kahama kuna mzunguko wa hela kuliko arusha.
Hili ndio jiji ambalo matajiri wake wote hawapo top 100 ya matajiri Tanzania.
Hili pia ndio jiji linaloongoza kwa kuvaa mitumba wazee wa krokon na memorio.
Hili ndio jiji ambalo wakazi wake wengi ni lialia wakija kwenye biashara yako watataka uwapunguzie hata kitu cha mia.
Hili ndilo jiji ambalo ukikaa mwaka mmoja unaweza wafahamu wakazi wote wa hapo. Hapo utapata picha udogo wa jiji.
Imagine jiji uwanja wa ndege hauna taa za kuongozea ndege usiku. View attachment 3004742
uzr unazungumzia hyo mji Arusha mm nilikaa kama miez 6 mkuu syo hyo Arusha hyo unasema tukikuwa tukitoka sait msos 1500 kwa mam ntilie n ugali mboga na vdagaa na punje tatu ya maharagwe hapo n kwa mamntilie ambayo anacho kbanda kuku mbich tu wa broila n 8000 na msos w unasema chakula ya kuku 1000 ujawai fka Arusha msos n garama sana mitaa yao n mikubwa sana Picha inapgwa sehem chache lakn ikipgwa vzr ndyo utaiyona Arusha ili Ivo kubwa alaf aina mchanganyiko ya wilaya zngne n Arusha city kuna mitaa inaitwa bonste ukiambiwa utembee kwa miguu uwez maliza baiskel enyew umali we tembelea alaf uone usiambiwe
 
Ni kweli usemayo. Ujio wa kundi la wadudu Arusha ni uthibitisho tosha kwamba Arusha inaelekea kuwa kijiji kikubwa kama ilivyo miji yetu ya kitanzania. Inashangaza sana ni vigezo vipi vinaifanya Arusha kuwa makao makuu ya EAC.

Wiki mbili zilizopita nilitembelea tena Arusha baada ya miaka mitano kupita bila kukanyaga mji ule. Arusha badala ya kung'ara, inafifia. Arusha inarudi nyuma na wenyeji wanakiri kuwa kuna upigaji wa kufa mtu. Majengo ni yale yale chakavu, barabara nyingi zimejengwa chini ya kiwango. Arusha inasikitisha.😢
Unatumia kigezo gani kupima maendeleo yake. Au unaongea tu.
 
Ukiwaambia ukweli wanasema tuna chuki ilihali hali ya wafanyabiashara kwa mkoa wa arusha ni ngumu sana. Asilimia kubwa ya mapato ya arusha yanategemea utalii. Hiyo pesa ya utalii wala haiingii kwenye mzunguko wa huko town wa kila siku. Unaeza fanya biashara arusha miaka 2 na mtaji wa 100ml na usitoboe ila kwa huo mtaji nenda mbeya, kahama au dar au mbeya na hata morogoro uone utakavyotoboa.
Wewe uwezo wako wa kutazama mambo upo finyu sana. Unatazama mambo kwa angle moja tuu. Baada ya Dar es Salaam inafuata Arusha kwa biashara na mnyororo wa thamani.
 
Mh uzr unazugumza kuiponda Arusha mkuu

uzr unazungumzia hyo mji Arusha mm nilikaa kama miez 6 mkuu syo hyo Arusha hyo unasema tukikuwa tukitoka sait msos 1500 kwa mam ntilie n ugali mboga na vdagaa na punje tatu ya maharagwe hapo n kwa mamntilie ambayo anacho kbanda kuku mbich tu wa broila n 8000 na msos w unasema chakula ya kuku 1000 ujawai fka Arusha msos n garama sana mitaa yao n mikubwa sana Picha inapgwa sehem chache lakn ikipgwa vzr ndyo utaiyona Arusha ili Ivo kubwa alaf aina mchanganyiko ya wilaya zngne n Arusha city kuna mitaa inaitwa bonste ukiambiwa utembee kwa miguu uwez maliza baiskel enyew umali we tembelea alaf uone usiambiwe
Hiyo ni inflated price mkuu. Maeneo mengi arusha hata mama ntilie wanalalama kumaliza kilo 3 ya mchele ni shida.
Kwa hiyo bei yako ya sahani moja 8000, ni zile restaurant kubwa kubwa ambako waendaji wake ni wachache. Hata maeneo kama cafe laziz, ngiwaranecha hawauzi hiyo bei.
 
Mh uzr unazugumza kuiponda Arusha mkuu

uzr unazungumzia hyo mji Arusha mm nilikaa kama miez 6 mkuu syo hyo Arusha hyo unasema tukikuwa tukitoka sait msos 1500 kwa mam ntilie n ugali mboga na vdagaa na punje tatu ya maharagwe hapo n kwa mamntilie ambayo anacho kbanda kuku mbich tu wa broila n 8000 na msos w unasema chakula ya kuku 1000 ujawai fka Arusha msos n garama sana mitaa yao n mikubwa sana Picha inapgwa sehem chache lakn ikipgwa vzr ndyo utaiyona Arusha ili Ivo kubwa alaf aina mchanganyiko ya wilaya zngne n Arusha city kuna mitaa inaitwa bonste ukiambiwa utembee kwa miguu uwez maliza baiskel enyew umali we tembelea alaf uone usiambiwe
Ni kweli mkuuArusha sio rahisi kupata msosi wa 1000 ni rahisi kuishi Dar kuliko Arusha. Arusha ni jiji la kitalii linapokea wageni wengi.
 
Wewe uwezo wako wa kutazama mambo upo finyu sana. Unatazama mambo kwa angle moja tuu. Baada ya Dar es Salaam inafuata Arusha kwa biashara na mnyororo wa thamani.
Bila shaka wewe utakuwa muajiriwa na sio mfanyabiashara. Jaribu kuzunguka makao mapya, uende mpaka kilombero na kupita soko kuu mwisho malizia mjini kati uone hali za wafanyabiashara wanatia huruma sana.
 
Hiyo ni inflated price mkuu. Maeneo mengi arusha hata mama ntilie wanalalama kumaliza kilo 3 ya mchele ni shida.
Kwa hiyo bei yako ya sahani moja 8000, ni zile restaurant kubwa kubwa ambako waendaji wake ni wachache. Hata maeneo kama cafe laziz, ngiwaranecha hawauzi hiyo bei.
Sasa wewe ulikula maeneo ya uswahili mbona hata Manzese na Buguruni Dar unapata wali wa 1000. Wewe si unapenda vitu vya cheap.
 
Back
Top Bottom