Hakuna jinsi aisee.Inabidi tuanze kujifunza kupiga mbizi
MV si mia 2 au imepanda. Aisee, ila Kigamboni mngempata Makonda angeamsha amsha sana huko.Hivi vidude ni elf moja
Tunaanza kubeba na nguo za kuogeleaHakuna jinsi aisee.
Pia Ukikaa Kigamboni jinunulie lifejacket kaa nalo.
Okay pole mkuu. Ila bado sijajua, kwann mnapanda izi ngalawa wakati MV Magogoni iyo hapo pembeni.?Hii bei ya Mia 2 haipo tena, ishu sio ela ishu ni usalama ni mdogo Sana hapo anytime kitanuka
Ooh kumbe vinahitirafu. Dah. Poleni sanaTemesa wajitafakari ila pia wapo karibu na navy hapo hamna shida itakayotokea hapo town ukiwa kwenye panton unaona bandarini pale ,temesa waharakishe vyombo virudi haraka majini
Mimi sipo kigamboni ila nishawahi kupanda vivuko ivyo na hawatoi hata elimu yakutumia life jacket vinaendeshwa kienyeji enjyeji hata watu wengi hawajui kutumia maboya hayo na inabidi wawe wanatoa annoucement ya safety ukiwa kabla haujapanda with video. ActionOoh kumbe vinahitirafu. Dah. Poleni sana
Bora niingie gharama tuu huto tudude Mimi kupanda hapanaYaani mmewakabidhi roho zenu hao wazee wawili, ?