Mbezi - posta/kariakoo hakuna usafiri zaidi ya mwendokasi, daladala ziliondolewa.Mvua ipo.. Tabata inanyesha sahivi.
Alafu kwani ni lazima mpande mwendokasi? Zamani mlikuwa mnaendaje huko ktk mizunguko yenu?
Nyie mnavyosema mjini mnamaanisha Kkoo ndio mnaita mjini ? Makumbusho je..? Mwenge? Sio mjini ryt?Ulivyoanza mradi wa mwendokasi, bus zote za kwenda mjini zikazuiliwa
Waunge magariZilikuwepo daladala za Mbezi mwisho Kariakoo/Posta/Kivukoni ambazo zimeondolewa zote baada ya Mwendo Kasi kuanza
Usafiri sio lazima Bus, kuna Bajaji za bei nafuu hapo.Mbezi - posta/kariakoo hakuna usafiri zaidi ya mwendokasi, daladala ziliondolewa.
We haupo town?Unataka kusema hakuna mabasi ya kawaida?
Request Uber
Kituo cha Mabasi ya Mwendokasi Mbezi Mwisho hali ni mbaya, abiria tupo wengi lakini mabasi hakuna, kuna watu wako hapa tangu Saa 12:10 Asubuhi (leo Novemba 15, 2023) lakini hakuna msaada wowote.
Hivi viongozi wetu wanaishi wapi mpaka hawaoni hii kero? Kila siku ni kilio cha Mwendokasi tu.
Hapa watu wameshakata tiketi, wengine wana hela za ngama, basi linakuja moja kisha lingine linakuja baada ya dakika 40 au zaidi.
Hakuna mvua kama ilivyosemwa na watabiri, labda ingetumika kama kisingizio, mamlaka zinatakiwa kuwajibika na ikiwezekana viongozi wanaosimamia usafiri huu wawajibishwe au wawajibike wao wenyewe, hii ni zaidi ya kero na shughuli nyingi za uchumi zimesimama.
Za bei nafuu ukizungumzia sh ngapi?Usafiri sio lazima Bus, kuna Bajaji za bei nafuu hapo.
Kumbe Mwenge na Makumbusho ni mjini? Basi sawaNyie mnavyosema mjini mnamaanisha Kkoo ndio mnaita mjini ? Makumbusho je..? Mwenge? Sio mjini ryt?
Ni hivi. Kama unaenda katikati ya mji kuna means zingine za usafiri ikiwemo Bajaji. Kama huwez ku afford 2k basi unganisha gari mpk Mwenge pale zipo za kwenda katikati ya mji. Au uende mpk Makumbusho zipo gari kule.
Sasa fikiria kuna mtu kaaa hapo kuanzia saa 12 et anasubiri Basi la Mwendokasi na mwingine na akili zake timamu anaona hiyo foleni bado anaenda kukata ticket.
Sasa hao watu hapo karibu 300 hawana sh 500 ya ziada?.Mjini sio kila mtu ana hela ya ziada mkuu. Kuna watu wanaishi ukitoa 500 kwenye mzunguko tiyari umeharibu. Na ujue ile imani kwamba gari litakuja, utasubiri utaona uongeze dakika 10, utaongeza 10 nyingine, 10 nyingine na ukitoka na daladala tu gari la mwendokasi ndio linafika. Na hapo utaunganisha kwenye foleni.
Niko Mkoani Manyara hukuWe haupo town?
We mjini unadefine vip ndg yangu... au ndio nyie ktk vijiji vyenu kwenye duka mnaita SENTA.Kumbe Mwenge na Makumbusho ni mjini? Basi sawa
abiria tupo wengi lakini mabasi hakuna, kuna watu wako hapa tangu Saa 12:10 Asubuhi (leo Novemba 15, 2023) lakini hakuna msaada wowote.
Kwa akili hizi, kamwe tusahau maendeleo.Kuna mtu amewazuia kuunganisha gari? Ni lazima upande gari la moja kwa moja? Unashindwa kuunganisha gari?.
Hujashirikisha akiliMvua ipo.. Tabata inanyesha sahivi.
Alafu kwani ni lazima mpande mwendokasi? Zamani mlikuwa mnaendaje huko ktk mizunguko yenu?
Sijazaliwa kijijini mzee ila maisha ya kijijini nayafahamu kidogo.We mjini unadefine vip ndg yangu... au ndio nyie ktk vijiji vyenu kwenye duka mnaita SENTA.
Ilikuwaje mkakubali hilo zuio?Ulivyoanza mradi wa mwendokasi, bus zote za kwenda mjini zikazuiliwa
Sasa Mwenge au Makumbusho ni Kijijini? Sio mjini?Sijazaliwa kijijini mzee ila maisha ya kijijini nayafahamu kidogo.
2kZa bei nafuu ukizungumzia sh ngapi?