😁😁😁😁 Mbunge huyu bhana maji yamefika shingoni ameona aseme tu tatizo ni media zetu kuto kufatilia habari Kama hizi na pili siasa inavyo endeshwa kaubaguzi hatuta fika mbaliMsikilize Mbunge Mohamed Mchengerwa wa Rufiji kwenye hiyo video. Haya yanawakuta Watanzania wenzetu huko Rufiji. Huyu ni mbunge wa CCM anasema hivyo. Ina maana yamemfika shingoni na ni HATARI KUBWA. Wana JF tupieni macho huko tuweze kuona jinsi ya kusaidia Watanzania wenzetu. na watu wanateseka, chakula, malazi lakini inaonekana ni kawaida tu.
View attachment 1403256
Sawa kabisa...Mradi wa Nyerere Gorge Hydropower Plant umeanza kwa kukurupuka bila EMP na hata Feasibility Studies was not comprehensively done and these are the low lying fruits za ukaidi wa Rais Magufuli alisema studies zinachalewesha!
Kwahiyo umeme wa Stiglaz Joji utakwama? Hizo ni laana za kudharau ushauri wa watanzania wazalendo. Mradi mkubwa wa umeme bila barabara utawezekana kweli?Msikilize Mbunge Mohamed Mchengerwa wa Rufiji kwenye hiyo video. Haya yanawakuta Watanzania wenzetu huko Rufiji. Huyu ni mbunge wa CCM anasema hivyo. Ina maana yamemfika shingoni na ni HATARI KUBWA. Wana JF tupieni macho huko tuweze kuona jinsi ya kusaidia Watanzania wenzetu. na watu wanateseka, chakula, malazi lakini inaonekana ni kawaida tu.
View attachment 1403256
Kwenye title, umekuaje mkuu kuwa vyombo vinaogopa?Msikilize Mbunge Mohamed Mchengerwa wa Rufiji kwenye hiyo video. Haya yanawakuta Watanzania wenzetu huko Rufiji. Huyu ni mbunge wa CCM anasema hivyo. Ina maana yamemfika shingoni na ni HATARI KUBWA. Wana JF tupieni macho huko tuweze kuona jinsi ya kusaidia Watanzania wenzetu. na watu wanateseka, chakula, malazi lakini inaonekana ni kawaida tu.
View attachment 1403256
Tuwatake mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, wabunge, mahakimu, majenerali wa majeshi yote waende misa ya pamoja wafanye sala ya toba ili nuksi ziishe.Korosho hawajalipwa na msaada serikali haitoi kwa hili janga.... ila pesa za kujenga airport chato zikiisha wanaidhinisha fasta tuuu.....
Serikali ya kishetani
Shetani hana rafikiMsikilize Mbunge Mohamed Mchengerwa wa Rufiji kwenye hiyo video. Haya yanawakuta Watanzania wenzetu huko Rufiji. Huyu ni mbunge wa CCM anasema hivyo. Ina maana yamemfika shingoni na ni HATARI KUBWA. Wana JF tupieni macho huko tuweze kuona jinsi ya kusaidia Watanzania wenzetu. na watu wanateseka, chakula, malazi lakini inaonekana ni kawaida tu.View attachment 1403256
Msikilize Mbunge Mohamed Mchengerwa wa Rufiji kwenye hiyo video. Haya yanawakuta Watanzania wenzetu huko Rufiji. Huyu ni mbunge wa CCM anasema hivyo. Ina maana yamemfika shingoni na ni HATARI KUBWA. Wana JF tupieni macho huko tuweze kuona jinsi ya kusaidia Watanzania wenzetu. na watu wanateseka, chakula, malazi lakini inaonekana ni kawaida tu.View attachment 1403256
Kwa mujibu wa mkuu wa MKOA wa ARUSHA huu uhujumu uchumi!Msikilize Mbunge Mohamed Mchengerwa wa Rufiji kwenye hiyo video. Haya yanawakuta Watanzania wenzetu huko Rufiji. Huyu ni mbunge wa CCM anasema hivyo. Ina maana yamemfika shingoni na ni HATARI KUBWA. Wana JF tupieni macho huko tuweze kuona jinsi ya kusaidia Watanzania wenzetu. na watu wanateseka, chakula, malazi lakini inaonekana ni kawaida tu.View attachment 1403256