Hali ya Mafuriko Rufiji ni tete, Vyombo vya Habari Maalum vinaogopa kutoa taarifa

Hali ya Mafuriko Rufiji ni tete, Vyombo vya Habari Maalum vinaogopa kutoa taarifa

Mradi wa Nyerere Gorge Hydropower Plant umeanza kwa kukurupuka bila Environmental Impact Assessment na hata Feasibility Studies was not comprehensively done and these are the low lying fruits za ukaidi wa Rais Magufuli alisema studies zinachalewesha!
Asante JF Internet doesn't lie. Nilisema hii kitu hapa kuwa hakuna EIA ambayo ni comprehensive, Magufuli alifanya kidikteta tu.

Hali mwaka huu ni mbaya kuliko. Basically hao wakazi wa Rufiji walipaswa wawe relocated na resettled kama Wamasai wa Ngorongoro wanaopelekwa Msomela Handeni kwa gharama za Serikali.
 
Asante JF Internet doesn't lie. Nilisema hii kitu hapa kuwa hakuna EIA ambayo ni comprehensive, Magufuli alifanya kidikteta tu.

Hali mwaka huu ni mbaya kuliko. Basically hao wakazi wa Rufiji walipaswa wawe relocated na resettled kama Wamasai wa Ngorongoro wanaopelekwa Msomela Handeni kwa gharama za Serikali.
Kutoka 2020 ,sahvi 2024

Hatari

Ova
 
Asante JF Internet doesn't lie. Nilisema hii kitu hapa kuwa hakuna EIA ambayo ni comprehensive, Magufuli alifanya kidikteta tu.

Hali mwaka huu ni mbaya kuliko. Basically hao wakazi wa Rufiji walipaswa wawe relocated na resettled kama Wamasai wa Ngorongoro wanaopelekwa Msomela Handeni kwa gharama za Serikali.
.
 
Sijaelewa. Mafuriko ya kabla ya mradi na ya sasa yana tofauti gani? Kiukubwa,kimadhara.


Au ni KWA vile tuliambiwa mradi utatatua tatizo?
 
Sijaelewa. Mafuriko ya kabla ya mradi na ya sasa yana tofauti gani? Kiukubwa,kimadhara.


Au ni KWA vile tuliambiwa mradi utatatua tatizo?
Sasa hapo ndiyo tunahitaji investigative journalists ambao watachuguza hali ya kabla na kulinganisha na hali baada ya mradi kumalizika
 
Back
Top Bottom