Hali ya Mafuriko Rufiji ni tete, Vyombo vya Habari Maalum vinaogopa kutoa taarifa

Hali ya Mafuriko Rufiji ni tete, Vyombo vya Habari Maalum vinaogopa kutoa taarifa

Kuna wale waliokuwa wanaripoti migogoro ya wakulima na wafugaji wakapigwa marufuku, sasa watu wa media wanaogopa kuripoti habari za maafa kama hizo kisa jamaa hazipendi, yeye anapenda chini ya utawala wake pasiwe na janga lolote, sijui anadhani yeye mungu!

Hata hii Corona ingekuwa ni ya Tanzania pekee angepiga marufuku media zisiripoti, sijui ni mtu wa aina gani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu wa Tanzania hapendi kusikia habari hizo. Anapenda kusikia tumekuwa dona kantre
 
Kuna wale waliokuwa wanaripoti migogoro ya wakulima na wafugaji wakapigwa marufuku, sasa watu wa media wanaogopa kuripoti habari za maafa kama hizo kisa jamaa hazipendi, yeye anapenda chini ya utawala wake pasiwe na janga lolote, sijui anadhani yeye mungu!

Hata hii Corona ingekuwa ni ya Tanzania pekee angepiga marufuku media zisiripoti, sijui ni mtu wa aina gani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu wa Tanzania hapendi kusikia habari hizo. Anapenda kusikia tumekuwa dona kantre
 
Ni kweli Hali ni mbaya lakini vyombo vya habari vipo kimya

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimya wa vyombo vya habari ninauelewa. Wanaogopa panga la MsemajiMkuuWaSerikali Dr Hassan. Last week tumeshudia Mwananchi Newspapers wakiwafuta kazi Neville Meena na Khalfani Said kwa vile walitoa maoni yasiyoipendeza Serikali kwenye kurasa zao binafsi za www.twitter.com.

Nadhani vyombo vikubwa vimetishiwa sana kwa hili. Vinaogopa
 
Kwenye title, umekuaje mkuu kuwa vyombo vinaogopa?
Hizi habari huwezi kuzikuta kwenye main stream media kama ITV, CLOUDS Media wala Mwananchi Newspapers. Ziko kwenye Online TVs na social media.
 
...Tatizo la sisi wa Tz walalahoi ni NONGWA...jua likiwa kali NONGWA...mvua ikiwa nyingi NONGWA...nadhani mmoja character ya mtanzania ni kuwa na NONGWA...Pole kwa walio athirika na mafuriko
 
Kuna mtu Leo alikua ananihadithia kwamba mafuriko yamefanya mamba wawe hata kwenye mikondo ya maji iliyomitaani. Ni hatari sana kwa maeneo maeneo hayo maana hata makazi ya watu yamezingilwa maji
 
Kuna mtu Leo alikua ananihadithia kwamba mafuriko yamefanya mamba wawe hata kwenye mikondo ya maji iliyomitaani. Ni hatari sana kwa maeneo maeneo hayo maana hata makazi ya watu yamezingilwa maji
Hao wananchi washauriwe wahamie Dodoma. Dodoma kuna makazi bei chee na ardhi nzuri ya kilimo. Waache kung'ang'ania huko kwenye mamba na vyura
 
Serikali haijaleta mafuriko.

Huenda ujenzi ndio sababu ya mafuriko, ujenzi ukiisha mafuriko hamtayaona, jikazeni.
Serikali ione namna ya kufikisha vifaa vya ujenzi kwa kutumia helkopta.
 
Msikilize Mbunge Mohamed Mchengerwa wa Rufiji kwenye hiyo video. Haya yanawakuta Watanzania wenzetu huko Rufiji. Huyu ni mbunge wa CCM anasema hivyo. Ina maana yamemfika shingoni na ni HATARI KUBWA. Wana JF tupieni macho huko tuweze kuona jinsi ya kusaidia Watanzania wenzetu. na watu wanateseka, chakula, malazi lakini inaonekana ni kawaida tu.View attachment 1403256
Walipokuwa wanaficha magaidi walifikiri nini?
 
Hata Millard Ayo hajapost kwenye page zake. Ila utakuta ameweka picha na video clips za Polisi wa Kenya wakipiga raia. Vyombo vyetu vya habari vimetishiwa sana, kwa sasa gazeti la Mwananchi hakuna tofauti na gazeti la Uhuru.
 
Back
Top Bottom