Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Bongo ukiwa smart hutoboi,ila uwe kama kina Mwijaku,Baba Levo 😀😀Anatumia na chain kabisa..
Bongo hapa ni akili tu..
Sijui na mimi nijilipue tuu niwe famous nipite hvi mkuu...
Au Vishu Mtata unaonaje hii
Hii biashara ya movies naonaga tu ila mna changamoto nyingi sana mkumbuke kuna mwanangu kimasihara kaifunga na kachoma laki 9Hapana ni duka la.kuuza na kukodisha muvi yaani library
Ahahahah hata pale kariakoo niliona kabisa ukitumia akili yako timamu uwenda upati chochote kitu aiseeeBongo ukiwa smart hutoboi,ila uwe kama kina Mwijaku,Baba Levo 😀😀
Duuh ilikuaje mkuu..Hii biashara ya movies naonaga tu ila mna changamoto nyingi sana mkumbuke kuna mwanangu kimasihara kaifunga na kachoma laki 9
Sijajua hata ila majukumu yalikuwa mengi na pango analipa elfu 40 kwa mweziDuuh ilikuaje mkuu..
Ili nisije fikia huko aiseee
Hata ukipitia hali ngumu kiasi gani hakikisha hupotezi hamu ya mwanamkeKuna time unapitia hata hamu za wanawake unakuwa huna kabisa kutokana na ugumu wa life hapa Dasalamu.
Pole mkuu, mimi mwenyewe nilirudi Mbeya . ila nikajipanda upya!Wasalam Ndugu jamaa na marafiki.
Hali ya mjini hapa Dar es Salaam ni tofauti na nilivyofikiria nimeamini mjini pazito 🙌🙌🙌🙌.
Mjini pazito aiseee, yaani nilijua nikishapata biashara ndio nishamaliza kumbe bado kuna kusugua sana.
Mjini pazito nyie watu hawana huruma kabisa. Bora ningebaki mkoani huko.
Ila ngoja nikaze hivi hivi mpaka kieleweke kikubwa tunapata cha halali.
Kuna time unapitia hata hamu za wanawake unakuwa huna kabisa kutokana na ugumu wa life hapa Dasalamu.
Mjini pazito 🙌 🙌 🙌 🙌
Daaaah aiseee mi bado sina majukumu mengi mkuu nipo mimi kama mimi hapa.... Ila ngoja nikomae hapa mpaka mwishoSijajua hata ila majukumu yalikuwa mengi na pango analipa elfu 40 kwa mwezi
mkuu hamu unapata lakini sasa utampa nini huyo kiumbeHata ukipitia hali ngumu kiasi gani hakikisha hupotezi hamu ya mwanamke
Mkuu hakuna kurudi uyole hapa..Pole mkuu, mimi mwenyewe nilirudi Mbeya . ila nikajipanda upya!
Sasa nakula kimkakati!
Mkuu usikubali unyonge utakua mtumwa. Usicomplicate kwa kutaka kumpa vikubwamkuu hamu unapata lakini sasa utampa nini huyo kiumbe
SureAhahahah hata pale kariakoo niliona kabisa ukitumia akili yako timamu uwenda upati chochote kitu aiseee
Inasemekana wasanii wengi mnalika... Umenusurika?Inategemeana na Bahati ya mtu, mfano mimi nilianzisha biashara ya kuuza madafu, baada ya mwezi nikapata tenda ya kuuza madafu ikulu. Ikulu dafu moja wananunua laki 3 .
Safi sana..Mkuu usikubali unyonge utakua mtumwa. Usicomplicate kwa kutaka kumpa vikubwa
Sawa sawaPambana. Kulialia hakukusaidii
Ahahah huyu anajua kutumia dodoki tuInasemekana wasanii wengi mnalika... Umenusurika?
Huo ndio uhalisia mkuu. Wapo wanawake wenye roho nzuri anapokea kidogo ulichonacho muhimu upendo. Akizingua ni yeye hicho ndio ulichojaliwa achana naye asikupe magonjwa ya moyo.Safi sana..
Oyaa weee wewe ndo mwana wa faida aise..
Oyaaaa wewe umetosha kaka
Sikai kinyonge hapa
Mkuu ngoja nikadake katoto ka mama mwenye hii fremu hapa maana kapo hot sanaHuo ndio uhalisia mkuu. Wapo wanawake wenye roho nzuri anapokea kidogo ulichonacho muhimu upendo. Akizingua ni yeye hicho ndio ulichojaliwa achana naye asikupe magonjwa ya moyo.
[emoji14][emoji14][emoji14]Mkuu ngoja nikadake katoto ka mama mwenye hii fremu hapa maana kapo hot sana