Hali ya mjini hapa Dar es Salaam ni tofauti na nilivyofikiria

Mungu atupiganie aisee inafika stage mpaka kuwa na manz unaona jau sababu ukishamuingiza tu kwenye maisha yako lazima akuvurugie mipango
Mkuu wee acha. Hata hawa wafanya biashara ni wa kuwaheshimu sana.
Mkuu wanapitia mambo magumu sana mjini hapa..
Hii cycle nilikua siijui ila sasa nimeingia hapa ngoja nikomaeee hv hvo
 
= nilivyofikiria.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…