Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes ndio inavyotakiwa,wasijue unafanya nini,una kiwango gani cha mafanikio,wanatakiwa waje kujua baadae sana wakati ushakuwa bilionea hapo utakuwa umejipanga hawana cha kukufanya tenaKuna mda inabidi uwe na roho ngumu mjini hapa aiseee.
Kama nilipo sasa nimejitenga hata hawajui nilipo.
Wananiona ona tu ila hawajui exactly my location
Maaan nilichogundua hata marafiki ni watu ambao wanachangia kushuka kwako.Yes ndio inavyotakiwa,wasijue unafanya nini,una kiwango gani cha mafanikio,wanatakiwa waje kujua baadae sana wakati ushakuwa bilionea hapo utakuwa umejipanga hawana cha kukufanya tena
Na saizi umekuwa bondia 😀😀Inategemeana na Bahati ya mtu, mfano mimi nilianzisha biashara ya kuuza madafu, baada ya mwezi nikapata tenda ya kuuza madafu ikulu. Ikulu dafu moja wananunua laki 3 .
Mandonga mtu kazi auNa saizi umekuwa bondia 😀😀
Kila mtu ana siri yake mwingine unaweza ukamuona hivi ana muonekano wa kiheshima kama mshua na anaendesha ndinga lakini kazi yake ni tapeli,mwingine anaishi kwa uchawa,mwingine unakuta ana biashara zake mkoani huko ulikopakimbia wewe labda analimisha mashamba au ana boti zake ziwani watu wanamsimamia na kumtumia mihamala ila yupo mjini kubadilisha hali ya hewa tu.Sasa pesa anapataje hapa mkuu
Muuza madafu wa ikulu,ni bondia saizi 😀😀Mandonga mtu kazi au
yeah ili ufanikiwe unatakiwa kila wakati uwe unapata marafiki wapya wa kukufundisha mbinu mbalimbali za kufanikiwa na sio marafiki wa zamaniMaaan nilichogundua hata marafiki ni watu ambao wanachangia kushuka kwako.
Mtu anaweza kukushusha kwa maneno ya kukuvunja moyo tu.
Ndio mana mambo yangu bora nije nimalizie huku maana nitapata ushauri positive sana sio kama huku mtaani mkuu.
Hapa nasubiri mambo yawe sawa ndo hapo taanza kuwa available ila kwa sasa ni mwendo wa kimya kimya
Kweli mkuu wala sio uwongo....Kila mtu ana siri yake mwingine unaweza ukamuona hivi ana muonekano wa kiheshima kama mshua na anaendesha ndinga lakini kazi yake ni tapeli,mwingine anaishi kwa uchawa,mwingine unakuta ana biashara zake mkoani huko ulikopakimbia wewe labda analimisha mashamba au ana boti zake ziwani watu wanamsimamia na kumtumia mihamala ila yupo mjini kubadilisha hali ya hewa tu.
Cha msingi usiwe na pupa kaa upasome kwanza na uwe unatafuta marafiki wa kukupa connection hata mtaani unapokaa angalia vijana hata wa bodaboda nenda kazoeane nao watakuwa wanakuongoza jinsi ya kupata deiwaka mbalimbali mimi siamini kama watu wa dar wana roho mbaya au ubaguzi sio kweli.
Ongea na watu vizuri bloodMkuu, nimepambana sana. Sioni mnaendeleo aisee. Natoa hela ya mshahara nafeed shop.
Anatumia na chain kabisa..Muuza madafu wa ikulu,ni bondia saizi 😀😀
na hali nayopitia dasalam hapa bado unataka niajiri mtu..Pitisha hiyo ajira acha kusita
Mkuu wewe una kitu aiseeyeah ili ufanikiwe unatakiwa kila wakati uwe unapata marafiki wapya wa kukufundisha mbinu mbalimbali za kufanikiwa na sio marafiki wa zamani
Nini hii mdogo angu
Blood huyo ndo usimguse kabisa aiseee..Ongea na watu vizuri blood
Kwani unapitia hali gani hebu funguka nielewe. Nia yako uninyime ajira weweDemi
na hali nayopitia dasalam hapa bado unataka niajiri mtu..
Ahahah mbona kama unanitukana wazi wazi mkuu