mapema
JF-Expert Member
- Jul 21, 2014
- 640
- 1,881
Na wote tulio soma comment yakoooNawadanganya wewe na nani 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wote tulio soma comment yakoooNawadanganya wewe na nani 🤣🤣
Mkuu Rufiji......naona mnakuja kututembelea na matamko ya kisiasa tuuu!!!Wakuu,
Hali ya mvua ndio kama tunavyoona, imekubali kwelikweli? Hali ikoje eneo lipo? Tupeane updates ya eneo uliko na kama unahitajika msaada wa haraka toa taarifa maepma kuepusha maafa zaidi.
🤣🤣🤣Hivi unadhani mkiwa married ikinyesha tu mvua unapelekewa moto?😔 mvua inanyeshaje weekend jamani
Mpaka nimetamani ningekua Married at🙃
🤔au basi wacha inyeshe
Poleni Sana,Kuna mtu kaniambia mto wa mbu watu wamehama baadhi ya nyumba,Hali Ni mbaya.Hali ya ndani, ndo tunayatoa. Leo mara ya pili. Mto wa Mbu.
Kwani hata inanyeshaga mto wa mbu basi? Hiyo ni Karatu mjomba, Yani ikinyesha Mbulumbulu vizuri mbona tutaijua fureshi aisee. Bado tupo kwenye danger zonePoleni Sana,Kuna mtu kaniambia mto wa mbu watu wamehama baadhi ya nyumba,Hali Ni mbaya.
Vipi kwa Leo inanyesha au la?
😂😂😂😂nisanuee🤣🤣🤣Hivi unadhani mkiwa married ikinyesha tu mvua unapelekewa moto?
asee mto wa mbu kumejaa maji barabarani nimepita ikabidi nisikitike kwenye vazi lako buti si kitu ya kuacha sasa hiyo karatu sio mchezoKwani hata inanyeshaga mto wa mbu basi? Hiyo ni Karatu mjomba, Yani ikinyesha Mbulumbulu vizuri mbona tutaijua fureshi aisee. Bado tupo kwenye danger zone
Yani wingu likianza hapo juu tayari unawaza vipi nitalala?asee mto wa mbu kumejaa maji barabarani nimepita ikabidi nisikitike kwenye vazi lako buti si kitu ya kuacha sasa hiyo karatu sio mchezo