Hali ya Uhalifu mtaani kwa sasa inatisha. Waziri Mambo ya Ndani na Sirro mmeamua kushirikiana na majambazi?

Jamaa leo anaona chadema ya maana.
 
Mh. Rais Samia inatakiwa amfukuze kazi mara moja Waziri wa Mambo ya ndani, na amfukuze kazi IGP haraka, sbb majambazi yamerudi kwa speed tena mchana mchana na silaha.. Jana mwana JF mmoja kaibiwa gari na vitu vingi vya ndani mchana na majambazi yenye silaha huko Bahari beach, Dar.. Haya mambo enzi za JPM hayakuwepo kabisa.
 
Jana kuna uzi mmoja wa yule jamaa aliyeibiwa gari Bahari Beach tulisema hapa hizi ni impact za kutokuwepo JPM zinaanza kuonekana
Watu walitukana matusi balaa.....
but naamini wanaelewa ukweli ila wanajikausha
 
S System ili iwe na ufanisi ina hitaji wa kuisimamia, hamna System inayo jiendesha yeyewe.Hata hizo Computer automation System kuna mtu anaye isimamia na kuimonitor kila siku.
 
S
System ili iwe na ufanisi ina hitaji wa kuisimamia, hamna System inayo jiendesha yeyewe.Hata hizo Computer automation System kuna mtu anaye isimamia na kuimonitor kila siku.
Sasa IGP si ndo msimamizi..na hili sio swala geni,lipo kwenye majukumu yao ya kila siku..hawahitaji raisi awaambie kila siku kuwa kupunguza uhalifu ndo jukumu lao..Meanwhile kuna hadi Waziri wa Mambo ya ndani..

Huu ni upumbavu.

Na Raisi ni nani anamsimamia?.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
unahitajika ukatili na unyama kumalizana na hao watu...hakuna demokrasia kwa mpumbavu...
Umeongea kutoka ndani ya moyo wako. Hakika unamaanisha![emoji122][emoji122][emoji122]
 
Kwa hiyo hata IGP na Waziri wakikosea tuwaache waendelee?
 
Kwa John Pombe Magufuli kila ulimi utakiri kuwa yule alikuwa mwamba wa vitu vingi


Kwa John Pombe Magufuli kila ulimi utakiri kuwa yule alikuwa mwamba wa vitu vingi
Yeye ndio alikuwa anabeba mabunduki? Kama sio nini sasa kimebadilika maana hao mapolisi waliokuwa wakiuwa hao majambazi ni walewale na hawajakatazwa kutimiza wajibu wao,acheni kumpa sifa za kijinga yule mungu wenu.
 
Yeye ndio alikuwa anabeba mabunduki? Kama sio nini sasa kimebadilika maana hao mapolisi waliokuwa wakiuwa hao majambazi ni walewale na hawajakatazwa kutimiza wajibu wao,acheni kumpa sifa za kijinga yule mungu wenu.
Hapewi sifa bali BEFORE and AFTER ndizo zinazo mpa sifa.
 
Wahalifu wamerudi mno
1. Vibaka hasahasa wakata nondo/wapuliza dawa za usingizi
2. Majambazi wa kutumia bunduki
3. Wezi wa magari
4. Wezi wa vifaa vya magari
5. Wezi wa pikipiki


Hao wamerudi kwa kasi mno
Tatizo la vibaka humalizwa na raia wenyewe,polisi hawana uwezo wa kupambana na vibaka
 
ulinzi wa mitaani unaanza na sisi wenyewe tunao ishi ktk mtaa husika.
tuwafichue wahalifu, tutoe taarifa.
mazalia ya uhalifu ni vijiwe vya wavuta bangi.
tuliomba Jeshi letu la Polisi kuongeza doria na kutokomeza vijiwe vya wavuta bangi.
Bangi inahusiana vipi hapo ndugu, kila kiotacho kila msimu inakuwaje wewe unakihukumu?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…