Leo.ndio mnaikumbuka chadema, yani waTz tuna ufala sana yani, mkipatwa na matatizo mnataka wanaharakati na wapinzani wawasemee na kutetea, wao wakihitaji support yenu mnawaona kama hawana akili na kuwataka wao waanze kujisaidia kwanza[emoji35] wakikaa kimya ndio mnaanza kulaumu kama unavofanya, efi kila kitu siasa! yes kila kitu ni siasa in this world, hata masaa yako ni siasa imekupangia, sheria unazofuata ni siasa imekuletea, thamani ya pesa yako ni siasa imekuletea, elimu ulonayo ni siasa ilokuletea, hata hao majambazo na machinga kuondolewa sjui upuuzi gani wote huo ni siasa imeleta, sasa mkiambiwa nchague viongozi wazuri mnashupaza shingo, mkiambiwa andamaneni.mdai haki yenu mnajifanya mnapenda ugali mnaogopa na kuwaona wanaowaambia hawana akili, sasa si mjitetee wenyewe mbwa nyie, mnakera sana watu mnaohoji huo.upuuzi kama wewe[emoji35] take action yourself MTF!
Sent from my vivo X6D using
JamiiForums mobile app