Halikua lengo la Mungu binadamu tujisitiri tupu zetu. Pongezi kwa shetani

Halikua lengo la Mungu binadamu tujisitiri tupu zetu. Pongezi kwa shetani

We unafikiri ni kwanini? walikuwa hawaoni dosari kuwa tupu, ila baada tu ya kula tunda wakajiona wako uchi na wakaaza kuona aibu.

Kwanini!!!?
Walikua na akili sawa na ng'ombe asieona aibu kutembea uku anajisaidia😊
 
Kotombaner😊
Sidhani kama ni kweli mkuu, maana Kuna watu wamehahidiwa mabikira 72 , mungu mwenyewe anapenda waja wake wazagamuane sana.
Ss hiyo👆 hoja yako inakosa mashiko
 
Tatzo lako we mbish sana nlkupa ushaur huu ,Ukimaliza kula bangi ,kunywa glass tatu za maji afu pumzika,ukiamka kunywa maziwa fresh Lita moja .we ukabisha ona sasa unacho chapisha
 
Inathibitishaje uwepo wa huyo Mungu?

Hakuna uhusiano wowote ule wa Energy na Mungu.

Unachofanya wewe ni Logical non sequitur.

Unaunganisha vitu viwili tofauti visivyo na uhusiano wowote ule kuunda hitimisho potofu.
Daily unapitia good & bad experiencies ktk maisha kinyume na mapenz yako, je unadhani kungekua hakuna nguvu iliyo juu ya uwezo wetu, ungekubali kupitia hali hizo kinyume na mapenzi yako?
 
Daily unapitia good & bad experiencies ktk maisha kinyume na mapenz yako, je unadhani kungekua hakuna nguvu iliyo juu ya uwezo wetu, ungekubali kupitia hali hizo kinyume na mapenzi yako?
Good and Bad experiences hutokea naturally wala hakuna nguvu inayo sababisha zitokee.
 
Good and Bad experiences hutokea naturally wala hakuna nguvu inayo sababisha zitokee.
Majibu yako yanadhihirisha unakubali uwepo wa Mungu(nguvu iliyo juu ya uwezo wetu) ktk mtizamo tofauti na wangu.

Nguvu iliyo juu ya uwezo wetu theist huiita MUNGU na atheist huiita nature, wote wapo sawa licha ya utofauti wa mitizamo.
 
Majibu yako yanadhihirisha unakubali uwepo wa Mungu(nguvu iliyo juu ya uwezo wetu) ktk mtizamo tofauti na wangu.
Hakuna nguvu iliyo juu ya uwezo wetu ni vile tu hatuna maarifa ya kutatua baadhi ya mambo kwa wakati fulani.

Ila kadiri tunavyozidi kuchunguza, kutafiti, na kudadisi mambo mengi, tunafanikiwa kupunguza mambo tusiyo yajua.

Hatuwezi kujua tusivyo vijua ila tunaendelea kupunguza tusivyo vijua kwa utafiti, uchunguzi, udadisi na majaribio zaidi.
 
Hapo kosa la Adam na Hawa baada yakuuonja utamu wa Tunda muda wote wakawa wanalila tuu hadi kuyasahau majukumu husika ya kuitunza bustan, matokeo yake wakapeana mimba. Sasa basi ilibidi wabuni namna yakuzuia kutamanishana tena.. ndo vazi kugunduliwa.
 
Mungu wa Biblia alikuwa wa hovyo sana, Yani alitaka watu wabaki wajinga bila maarifa.

Labda huyu Mungu anapendelea Ujinga, Kuliko maarifa.
Walipewa maharifa hadi yakuwapa majina wanyama na mimea
 
Hakuna nguvu iliyo juu ya uwezo wetu ni vile tu hatuna maarifa ya kutatua baadhi ya mambo kwa wakati fulani.

Ila kadiri tunavyozidi kuchunguza, kutafiti, na kudadisi mambo mengi, tunafanikiwa kupunguza mambo tusiyo yajua.

Hatuwezi kujua tusivyo vijua ila tunaendelea kupunguza tusivyo vijua kwa utafiti, uchunguzi, udadisi na majaribio zaidi.
MUNGU na NATURE ni kitu kimoja ktk mitizamo tofauti, hapo juu ulisema bad & good experiencies hutokea naturally coz unaamin ktk nature.
 
MUNGU na NATURE ni kitu kimoja ktk mitizamo tofauti, hapo juu ulisema bad & good experiencies hutokea naturally coz unaamin ktk nature.
Nature is observable.

Ila huyo Mungu ni illusion tu, Dhana ya kufikirika.
 
Nature na Mungu ni kitu kimoja, kinachovitenganisha ni mitizamo tu.

kua atheist ni hatua ktk kujifunza, nami nimepitia.
Nakwambia hivi, Mungu ni illusion tu.

Ndio maana huwezi kuthibitisha uwepo wake.

Nature ni nature.

Hayo majina mengine sijui Mungu, Allah, Yahweh, Jehovah, Jah ni majina uchwara tu ya watu kujitungia.
 
Nature ni nature.
Hata nature unayoiamini nadhani huijui vizuri mkuu.

Unaposema vitu vinatokea naturally maana yake nguvu ya nature ndo imehusika hapo.

Kwa maana nyingine Nature ni nguvu iliyo juu ya uwezo wetu ambayo inaweza kufanya mambo kinyume na mapenzi yetu.

Narudia tena Nature na Mungu ni kitu kinachotenganishwa na mitizamo tofauti.
 
Hata nature unayoiamini nadhani huijui vizuri mkuu.

Unaposema vitu vinatokea naturally maana yake nguvu ya nature ndo imehusika hapo.

Kwa maana nyingine Nature ni nguvu iliyo juu ya uwezo wetu ambayo inaweza kufanya mambo kinyume na mapenzi yetu.

Narudia tena Nature na Mungu ni kitu kinachotenganishwa na mitizamo tofauti.
Nature haipo juu ya uwezo wetu.

Kama Nature ingalikuwa juu ya uwezo wetu tusingeweza kwenda against na nature kwa baadhi ya mambo.

Mfano, urushaji wa roketi na ndege angani, tumeweza kuishinda nature na sasa inawezekana kuruka angani.

Jambo ambalo hapo zamani, ilionekana ni impossible kwa binadamu kuweza kuruka angani au kutuma vyombo angani vyenye kuelea angani kwa muda mrefu.
 
Nature haipo juu ya uwezo wetu.

Kama Nature ingalikuwa juu ya uwezo wetu tusingeweza kwenda against na nature kwa baadhi ya mambo.

Mfano, urushaji wa roketi na ndege angani, tumeweza kuishinda nature na sasa inawezekana kuruka angani.

Jambo ambalo hapo zamani, ilionekana ni impossible kwa binadamu kuweza kuruka angani au kutuma vyombo angani vyenye kuelea angani kwa muda mrefu.
Nature haipo juu ya uwezo wetu?...........hilo umbo ulilokua nalo uliamua kwa uwezo wako mwenyewe au umejikuta tu upo hivyo?

Nature ina nguvu kuliko wewe na ndiyo maana hujui ulipotoka wala hujui unapokwenda,..
 
Kwa maana hiyo wale wadada wanaovaa uchi au nusu uchi ni vibaraka wa mungu. Maana wanajitahidi kumfurahisha yeye aliyekuwa anapenda tukae uchi😃
 
Nature haipo juu ya uwezo wetu.

Kama Nature ingalikuwa juu ya uwezo wetu tusingeweza kwenda against na nature kwa baadhi ya mambo.

Mfano, urushaji wa roketi na ndege angani, tumeweza kuishinda nature na sasa inawezekana kuruka angani.

Jambo ambalo hapo zamani, ilionekana ni impossible kwa binadamu kuweza kuruka angani au kutuma vyombo angani vyenye kuelea angani kwa muda mrefu.
Nature ipo juu ya uwezo wetu, ndo maana tukienda kinyume na kanuni zake tunasuffer.

Tunarusha ndege coz tunafuata kanuni za nature na sio kwa sababu tumeishinda nature.
 
Back
Top Bottom