Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama ni kweli mkuu, maana Kuna watu wamehahidiwa mabikira 72 , mungu mwenyewe anapenda waja wake wazagamuane sana.Kotombaner😊
Daily unapitia good & bad experiencies ktk maisha kinyume na mapenz yako, je unadhani kungekua hakuna nguvu iliyo juu ya uwezo wetu, ungekubali kupitia hali hizo kinyume na mapenzi yako?Inathibitishaje uwepo wa huyo Mungu?
Hakuna uhusiano wowote ule wa Energy na Mungu.
Unachofanya wewe ni Logical non sequitur.
Unaunganisha vitu viwili tofauti visivyo na uhusiano wowote ule kuunda hitimisho potofu.
Good and Bad experiences hutokea naturally wala hakuna nguvu inayo sababisha zitokee.Daily unapitia good & bad experiencies ktk maisha kinyume na mapenz yako, je unadhani kungekua hakuna nguvu iliyo juu ya uwezo wetu, ungekubali kupitia hali hizo kinyume na mapenzi yako?
Majibu yako yanadhihirisha unakubali uwepo wa Mungu(nguvu iliyo juu ya uwezo wetu) ktk mtizamo tofauti na wangu.Good and Bad experiences hutokea naturally wala hakuna nguvu inayo sababisha zitokee.
Hakuna nguvu iliyo juu ya uwezo wetu ni vile tu hatuna maarifa ya kutatua baadhi ya mambo kwa wakati fulani.Majibu yako yanadhihirisha unakubali uwepo wa Mungu(nguvu iliyo juu ya uwezo wetu) ktk mtizamo tofauti na wangu.
Walipewa maharifa hadi yakuwapa majina wanyama na mimeaMungu wa Biblia alikuwa wa hovyo sana, Yani alitaka watu wabaki wajinga bila maarifa.
Labda huyu Mungu anapendelea Ujinga, Kuliko maarifa.
MUNGU na NATURE ni kitu kimoja ktk mitizamo tofauti, hapo juu ulisema bad & good experiencies hutokea naturally coz unaamin ktk nature.Hakuna nguvu iliyo juu ya uwezo wetu ni vile tu hatuna maarifa ya kutatua baadhi ya mambo kwa wakati fulani.
Ila kadiri tunavyozidi kuchunguza, kutafiti, na kudadisi mambo mengi, tunafanikiwa kupunguza mambo tusiyo yajua.
Hatuwezi kujua tusivyo vijua ila tunaendelea kupunguza tusivyo vijua kwa utafiti, uchunguzi, udadisi na majaribio zaidi.
Nature is observable.MUNGU na NATURE ni kitu kimoja ktk mitizamo tofauti, hapo juu ulisema bad & good experiencies hutokea naturally coz unaamin ktk nature.
Nature na Mungu ni kitu kimoja, kinachovitenganisha ni mitizamo tu.Nature is observable.
Ila huyo Mungu ni illusion tu, Dhana ya kufikirika.
Nakwambia hivi, Mungu ni illusion tu.Nature na Mungu ni kitu kimoja, kinachovitenganisha ni mitizamo tu.
kua atheist ni hatua ktk kujifunza, nami nimepitia.
Hata nature unayoiamini nadhani huijui vizuri mkuu.Nature ni nature.
Nature haipo juu ya uwezo wetu.Hata nature unayoiamini nadhani huijui vizuri mkuu.
Unaposema vitu vinatokea naturally maana yake nguvu ya nature ndo imehusika hapo.
Kwa maana nyingine Nature ni nguvu iliyo juu ya uwezo wetu ambayo inaweza kufanya mambo kinyume na mapenzi yetu.
Narudia tena Nature na Mungu ni kitu kinachotenganishwa na mitizamo tofauti.
Nature haipo juu ya uwezo wetu?...........hilo umbo ulilokua nalo uliamua kwa uwezo wako mwenyewe au umejikuta tu upo hivyo?Nature haipo juu ya uwezo wetu.
Kama Nature ingalikuwa juu ya uwezo wetu tusingeweza kwenda against na nature kwa baadhi ya mambo.
Mfano, urushaji wa roketi na ndege angani, tumeweza kuishinda nature na sasa inawezekana kuruka angani.
Jambo ambalo hapo zamani, ilionekana ni impossible kwa binadamu kuweza kuruka angani au kutuma vyombo angani vyenye kuelea angani kwa muda mrefu.
Za azam au za mo?Mungu yupo, hata wanasayans wanamuelezea vzr kupitia energy.
Nature ipo juu ya uwezo wetu, ndo maana tukienda kinyume na kanuni zake tunasuffer.Nature haipo juu ya uwezo wetu.
Kama Nature ingalikuwa juu ya uwezo wetu tusingeweza kwenda against na nature kwa baadhi ya mambo.
Mfano, urushaji wa roketi na ndege angani, tumeweza kuishinda nature na sasa inawezekana kuruka angani.
Jambo ambalo hapo zamani, ilionekana ni impossible kwa binadamu kuweza kuruka angani au kutuma vyombo angani vyenye kuelea angani kwa muda mrefu.
😁🤣😂Tuwasubiri wagalatia wenzako, sisi wengine tuusome tu huu mjadala wenu.