Halikua lengo la Mungu binadamu tujisitiri tupu zetu. Pongezi kwa shetani

Halikua lengo la Mungu binadamu tujisitiri tupu zetu. Pongezi kwa shetani

Wakuu,
Kutokana na maandiko(Quran na Biblia)
Turejee kilichotokea pale Eden Kwa binadamu WA kwanza ADAM na HAWA.

Baada ya ushawishi wa SHETANI, Adam na HAWA wanaamua kula tunda la mti wa kati waliokatazwa na Mwenyezi Mungu.

Na baada ya hapo, wanastuka kujikuta uchi na kutafta namna ya haraka ya kuzisitiri tupu zao.

Hii inatupa tafsiri kwamba halikua lengo la Mungu sisi binadamu tuzisitiri tupu zetu, Tulitakiwa kuishi uchi daima Kama viumbe wengine.

Tukumbuke pia, sio ng'ombe, sio mbuzi, sio kondoo Wala kiumbe yyt mwingine Duniani aliekula tunda lile pale Eden isipokua binadamu pekee Ambae ndie Hadi sasa anaezisitiri tupu zake.

Najaribu kuwaza, Ni aibu Sana. Binadamu mwenye akili zako timamu kumkemea na kumlaani SHETANI na KILA kinachomhusu shetani uku ukijisahau kwamba Hata hizo nguo zako ulizovaa kujisitiri hizo tupu zako Ni Kwa hisani yake yeye SHETANI.

My take:
Binadamu tuache na ule unafiki wa
"BANIANI MBAYA,KIATU CHAKE DAWA"

Namaanisha,
Kama kweli binadamu tumedhamilia kumkataa shetani na Kila kitu CHAKE. Basi tuanze rasmi kuishi na kutembea uchi (Nudism) Kama viumbe wengine duniani maana Tangu mwanzo halikua lengo la Mwenyezi Mungu sisi binadamu tuzisitiri nyeti zetu.

Nawasilisha tujadili Kwa hoja🙏
baada ya kujijua kuwa wako uchi walivaa majani, ila Mungu alitumia ngozi ya mnyama kuwavika. kwa hiyo "kuvaa nguo" ni mpango wa Mungu, hata kama ulikuja baadaye.

kuna mambo mengi yalifuata baada ya anguko la mwanadamu pale bustanini ambayo pia ni mipango ya Mungu
 
baada ya kujijua kuwa wako uchi walivaa majani, ila Mungu alitumia ngozi ya mnyama kuwavika. kwa hiyo "kuvaa nguo" ni mpango wa Mungu, hata kama ulikuja baadaye.

kuna mambo mengi yalifuata baada ya anguko la mwanadamu pale bustanini ambayo pia ni mipango ya Mungu
“Bwana Mungu akawafanyia Adamu na mkewe mavazi ya ngozi, akawavika."

— Mwanzo 3:21 (Biblia Takatifu)
 
Hata knowledge ilikuja baada ya kula tunda
yeah, Mungu alitaka tuishi rohoni, sio nafsini. "kujua jema na baya" ni kazi ya nafsi (maana akili hukaa kwenye nafsi). Mungu alitaka tumtegemee Yeye 100%, tusijitegemee.

YESU NDIYE MWOKOZI NA BWANA
 
Nature ipo juu ya uwezo wetu, ndo maana tukienda kinyume na kanuni zake tunasuffer.

Tunarusha ndege coz tunafuata kanuni za nature na sio kwa sababu tumeishinda nature.
Kuishinda nature ni nini?
 
Umesema tumeishinda nature, sasa tunarusha ndege angani, mi nikajibu haturushi ndege sababu tumeishinda nature, bali ni kwa kufuata kanuni zake.

Ulichouliza ulipaswa ukijibu wewe.
Kama ingekuwa hatuwezi kuishinda Nature, Basi hata baada ya kufuata hizo kanuni za nature, Bado tungekwama.

Wajapan walifanya kitu inaitwa Land reclamation, Yani unaisogeza bahari ili upate ardhi ya kufanya makazi, Na walifanikiwa.

Sasa hapo hawakuishinda nature ambayo ni bahari?
 
Wakuu,
Kutokana na maandiko(Quran na Biblia)
Turejee kilichotokea pale Eden Kwa binadamu WA kwanza ADAM na HAWA.

Baada ya ushawishi wa SHETANI, Adam na HAWA wanaamua kula tunda la mti wa kati waliokatazwa na Mwenyezi Mungu.

Na baada ya hapo, wanastuka kujikuta uchi na kutafta namna ya haraka ya kuzisitiri tupu zao.

Hii inatupa tafsiri kwamba halikua lengo la Mungu sisi binadamu tuzisitiri tupu zetu, Tulitakiwa kuishi uchi daima Kama viumbe wengine.

Tukumbuke pia, sio ng'ombe, sio mbuzi, sio kondoo Wala kiumbe yyt mwingine Duniani aliekula tunda lile pale Eden isipokua binadamu pekee Ambae ndie Hadi sasa anaezisitiri tupu zake.

Najaribu kuwaza, Ni aibu Sana. Binadamu mwenye akili zako timamu kumkemea na kumlaani SHETANI na KILA kinachomhusu shetani uku ukijisahau kwamba Hata hizo nguo zako ulizovaa kujisitiri hizo tupu zako Ni Kwa hisani yake yeye SHETANI.

My take:
Binadamu tuache na ule unafiki wa
"BANIANI MBAYA,KIATU CHAKE DAWA"

Namaanisha,
Kama kweli binadamu tumedhamilia kumkataa shetani na Kila kitu CHAKE. Basi tuanze rasmi kuishi na kutembea uchi (Nudism) Kama viumbe wengine duniani maana Tangu mwanzo halikua lengo la Mwenyezi Mungu sisi binadamu tuzisitiri nyeti zetu.

Nawasilisha tujadili Kwa hoja🙏
Mkuu umeongea points sana. Kwenye mavazi hapa ni ama mungu alikuja kujifunza kwa shetani. Maana hata Yesu alippzaliwa akavishwa nguo na hajawahi kukaa uchi.

Shetani aliona mbali sana tuvae nguo 😂😂
 
Kama ingekuwa hatuwezi kuishinda Nature, Basi hata baada ya kufuata hizo kanuni za nature, Bado tungekwama.

Wajapan walifanya kitu inaitwa Land reclamation, Yani unaisogeza bahari ili upate ardhi ya kufanya makazi, Na walifanikiwa.

Sasa hapo hawakuishinda nature ambayo ni bahari?
Kamwe huwezi ishinda nature, bali unaweza kwenda kinyume na kanuni zake ambapo matokeo yake hua ni kusuffer.

Wajapan walifanikiwa kuisogeza bahari bt nature imewaadhibu mara kadhaa kwa tsunami.
 
Mungu gani anamruhusu shetani amvurugie mipango yake?
Alimuweka adam na Hawa pale EDEN sasa ilikuwaje akaliweka li kiviruge shetan?
Alafu likafanya mambo yake akaja amepanic akaanza kuturushia ma laana utafikili tulimtuma atuwekee li shetan pale Bustani ya Eden
 
Ila bila nguo wale wanaojiita bonge la bwana wangetia aibu
fat.jpg
 
Najaribu kuwaźa binadamu tungekuwa tunatembea watupu ingekuwaje, kwani sasa hivi tu kuna watu pamoja na kuvaa nguo bado wanatisha kwa maumbile yao
 
AMA KWELI KWENYE KILA WATZ 4, MMOJA NI MGONJWA WA AKILI.
 
Sahihi kabisa ukijiona john au muhamad sanaaa tembea uchi umkatae shetani na hila zake.
 
Hata knowledge ilikuja baada ya kula tunda
Na ni huyo huyo Mungu alisema mshike sana Elimu usimwache aende zake, sa bila shetani leo tungeshika elimu gani?
 
yeah, Mungu alitaka tuishi rohoni, sio nafsini. "kujua jema na baya" ni kazi ya nafsi (maana akili hukaa kwenye nafsi). Mungu alitaka tumtegemee Yeye 100%, tusijitegemee.

YESU NDIYE MWOKOZI NA BWANA
Una maanisha viumbe wa kiroho hawana nafsi? Pia hawana akili sababu akili hukaa nafsini?
 
Una maanisha viumbe wa kiroho hawana nafsi? Pia hawana akili sababu akili hukaa nafsini?
mtu ana hizi elements 3. mwili, nafsi na roho. roho Iko ndani kabisa. hapa ndiko anakokaa Mungu.

kwenye nafsi kuna
1. akili
2. utashi
3. hisia
 
mtu ana hizi elements 3. mwili, nafsi na roho. roho Iko ndani kabisa. hapa ndiko anakokaa Mungu.

kwenye nafsi kuna
1. akili
2. utashi
3. hisia
Umejibu ambacho sijauliza.

Nimeuliza viumbe wa kiroho hawana nafsi? Pia hawana akili coz zinakaa nafsini?
 
Back
Top Bottom