Halima Dendego ni moja ya Wakuu wa Mikoa mizigo

Halima Dendego ni moja ya Wakuu wa Mikoa mizigo

Haya Hayati Abbas Kandoro aliposafisha vibanda umiza katikati ya Mji 2006 akiwa RC Dsm wengi hatukumuelewa

sasa hivi tunajivunia mandhari ya Jiji akiwa tayari mavumbini

hata Mzee Mkapa wakati anaanzisha NHIF pia hakueleweka sasa hivi tunaona faida yake akiwa kaburini
Wewe nazani umehama mada nyingine kabisa mkuu wa mkoa kaagiza migambo vibaraza yani cap za maduka ziondolewe je huu utaratibu unafanyika kwa mikoa mingine
 
Wewe nazani umehama mada nyingine kabisa mkuu wa mkoa kaagiza migambo vibaraza yani cap za maduka ziondolewe je huu utaratibu unafanyika kwa mikoa mingine
Ulishafanyika zamani... Hizo caps ndo zinaziba mitaa na chochoro..

Mbona huelewi..we kilaza au!?
 
wakati katibu mkuu alivokuja iringa alimpa maagizo si chini na sisi tunamvojua tulijua chongolo anajisumbua tuu! hajafabyia kazi hata moja! wewe mama ni kibokoooo, wanairinga tuna ona kama tunamkosi kupewa mtu kama wewww

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
PIcha ya Halima Dendego tafadhali, wasifu wa nje tutajua ana akili au
 
Wewe nazani umehama mada nyingine kabisa mkuu wa mkoa kaagiza migambo vibaraza yani cap za maduka ziondolewe je huu utaratibu unafanyika kwa mikoa mingine
wakati Kandoro anavunja Vibanda umiza mikoa mingine walikuwa wanavunja ?

Jambo jema linaweza kuanzishwa Iringa na wengine wakaiga …au Wahehe akili zao ni kwa ajili ya ku copy tu?

zipo sababu ndio maana hata Kamati ya Ulinzi na usalama wakabariki …eleza sababu iliyotolewa ili tufanyie tathmini badala ya kuja na maelekezo ya upande mmoja tu
 
Unajua huyu mkuu wa mkoa anajenga chuki sana kati ya wananchi na serikali hata lile zoezi lakuwatoa machinga mjini wakuu wote wa mikoa walishaagizwa na mheshimiwa Rais machinga watafutiwe maeneo wapangwe huyu mkuu wetu wa mkoa alichofanya yeye nikuwafukuza machinga mjini bila kuwatafutia maeneo vurugu zikatokea hakukuwa na sababu za kutumia nguvu kuwaondoa machinga wakati wenyewe machinga walisharidhia kwa kauli ya Mh rais kuondoka maeneo ya mjini watu wamechafukwa sana na hii serikali kwa maamuzi ya kijinga kama haya

Mgomo wa leo ni sababu za kipuuzi kabisa kwanini utume wanamgambo tena usiku kuwanyanyasa wafanyabiashara wanaofuata utaratibu wa kulipa kodi eti kisa kuondoa vibaraza ni utaratibu wawapi huu mkoa gani wanafanya haya
Tulieni mji upangwe, siyo mnajifanyia tu mtakavyo na kuziba hifadhi ya barabara na njia za waenda kwa miguu
 
Tulieni mji upangwe, siyo mnajifanyia tu mtakavyo na kuziba hifadhi ya barabara na njia za waenda kwa miguu
Inawezekana haukai Iringa au ulipita Iringa muda mrefu au wewe ndiye yule Afisa Habari na Mahusiano pale Mkoani so unamtetea Bi. Mdashi. Mbona baada ya wamachinga kupelekwa kule eneo lao jipya mji umekuwa msafi, barabara zimekuwa wazi na biashara zinaendelea tu. Hii kadhia ya jana haikuwa sahihi kwa kweli.
 
Halima Dendego hajatunukiwa cheo. Amekitumikia kitandani. Huu unaitwa umalayat wa kisiasa. Mbona wapo wengi waliopata vyeo kutokana na huduma chafu.
Kama kuna degree za chupi basi hata vyeo vya chupi vipo. Product za mdau wa Saigon Club
 
Hahaaa, umejuaje? Sasa kaula na Born town kahakikisha mtoto wake ni DC pale Chamwino. Naye binti watu wanaipiga K yake tu tena hovyo hovyo na kisela japo ni DC. Like Mother, like daughter.

Naitafuta picha na jina la huyo wa Chamwino. Tuwekee hapa mkuu.
 
Inawezekana haukai Iringa au ulipita Iringa muda mrefu au wewe ndiye yule Afisa Habari na Mahusiano pale Mkoani so unamtetea Bi. Mdashi. Mbona baada ya wamachinga kupelekwa kule eneo lao jipya mji umekuwa msafi, barabara zimekuwa wazi na biashara zinaendelea tu. Hii kadhia ya jana haikuwa sahihi kwa kweli.
Siongelei wamachinga mimi, nawaongelea jao wenye maduka. Hivyo vibaraza wslivyoviongeza wameviongeza nje ya mipaka ya maeneo yao, ili ujenge kubaraza unakua unaingilia eneo la wae hifadhi
 
Back
Top Bottom