Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Halima ni Mkuu wa mkoa mithili ya ngedere ni zezeta hafai kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mmoja anaitwa fatuma duh!Leo hii kumekuwa na mgomo mkubwa wa wafanyabiashara wa maduka Iringa. Sababu iliyopelekea kuwa na mgomo mkubwa, ni maamuzi ya kijinga sana ya Mkuu wetu wa Mkoa kutaka kila duka livunjwe vibaraza, yani cap za maduka ziondolewe.
Migambo wametumwa usiku kuvunja hivyo vibaraza. Mkuu huyu wa mkoa amesababisha kero hii kubwa kwa wananchi kukosa mahitaji na serikali kushindwa kukusanya kodi stahiki siku hii ya leo.
Ramani ya jengo lenye hiyo duka la mfanyabiashara, ambayo ipo kwenye Ofisi za mipango miji inaonyesha Kuna kibaraza?Leo hii kumekuwa na mgomo mkubwa wa wafanyabiashara wa maduka Iringa. Sababu iliyopelekea kuwa na mgomo mkubwa, ni maamuzi ya kijinga sana ya Mkuu wetu wa Mkoa kutaka kila duka livunjwe vibaraza, yani cap za maduka ziondolewe.
Migambo wametumwa usiku kuvunja hivyo vibaraza. Mkuu huyu wa mkoa amesababisha kero hii kubwa kwa wananchi kukosa mahitaji na serikali kushindwa kukusanya kodi stahiki siku hii ya leo.
Amewekwa hapo sababu kuu anatokea TangaLeo hii kumekuwa na mgomo mkubwa wa wafanyabiashara wa maduka Iringa. Sababu iliyopelekea kuwa na mgomo mkubwa, ni maamuzi ya kijinga sana ya Mkuu wetu wa Mkoa kutaka kila duka livunjwe vibaraza, yani cap za maduka ziondolewe.
Migambo wametumwa usiku kuvunja hivyo vibaraza. Mkuu huyu wa mkoa amesababisha kero hii kubwa kwa wananchi kukosa mahitaji na serikali kushindwa kukusanya kodi stahiki siku hii ya leo.
Udini unambebaHii yote ni athari ya kutunukiana vyeo kama zawadi na hongo badala ya kuangalia ufanisi na uwezo wa mtu katika utendaji.
Mbona wako wengi. Kuna mama mmoja mrangi anaitwa Zainab Muruke aliteuliwa ujaji wakati ni kihiyo simply because ni muislam na mwanamke.Udini unambeba
Hii ni awamu ya udini, Tanga kuna mawaziri 5 wote waislamu + Pwani 4 wote waislamu, lakini Dar na Arusha hakuna hata Naibu WaziriMbona wako wengi. Kuna mama mmoja mrangi anaitwa Zainab Muruke aliteuliwa ujaji wakati ni kihiyo simply because ni muislam na mwanamke.
Shida ni connection za kijingayanayoongelewa na wadau wengi hapa ndio shida kuu ya hii nchi.
Uswaiba kwenye kupeana vyeo, watu kuwapa vyeo mahawara zao nk.. hii ndio shida kuu inayosababisha incompence kwenye utendaji.
Tanga Kuna waziri mmoja tu Awesome.Hii ni awamu ya udini, Tanga kuna mawaziri 5 wote waislamu + Pwani 4 wote waislamu, lakini Dar na Arusha hakuna hata Naibu Waziri
Jinga wewe, Makamba, Ummy, FA na Ulega?Tanga Kuna waziri mmoja tu Awesome.
Mheshimiwa. Nilimaanisha mwenye tija.Jinga wewe, Makamba, Ummy, FA na Ulega
Pole mkuuMheshimiwa. Nilimaanisha mwenye tija.
Samahani Kama nilikukwaza.
Idiot.
ummy mwalimu ni mama yako, na mwa fa ni mjomba akoTanga Kuna waziri mmoja tu Awesome.