Halima Dendego ni moja ya Wakuu wa Mikoa mizigo

Halima Dendego ni moja ya Wakuu wa Mikoa mizigo

Halima ni Mkuu wa mkoa mithili ya ngedere ni zezeta hafai kabisa
 
Leo hii kumekuwa na mgomo mkubwa wa wafanyabiashara wa maduka Iringa. Sababu iliyopelekea kuwa na mgomo mkubwa, ni maamuzi ya kijinga sana ya Mkuu wetu wa Mkoa kutaka kila duka livunjwe vibaraza, yani cap za maduka ziondolewe.

Migambo wametumwa usiku kuvunja hivyo vibaraza. Mkuu huyu wa mkoa amesababisha kero hii kubwa kwa wananchi kukosa mahitaji na serikali kushindwa kukusanya kodi stahiki siku hii ya leo.
Kuna mmoja anaitwa fatuma duh!
 
Leo hii kumekuwa na mgomo mkubwa wa wafanyabiashara wa maduka Iringa. Sababu iliyopelekea kuwa na mgomo mkubwa, ni maamuzi ya kijinga sana ya Mkuu wetu wa Mkoa kutaka kila duka livunjwe vibaraza, yani cap za maduka ziondolewe.

Migambo wametumwa usiku kuvunja hivyo vibaraza. Mkuu huyu wa mkoa amesababisha kero hii kubwa kwa wananchi kukosa mahitaji na serikali kushindwa kukusanya kodi stahiki siku hii ya leo.
Ramani ya jengo lenye hiyo duka la mfanyabiashara, ambayo ipo kwenye Ofisi za mipango miji inaonyesha Kuna kibaraza?
 
Leo hii kumekuwa na mgomo mkubwa wa wafanyabiashara wa maduka Iringa. Sababu iliyopelekea kuwa na mgomo mkubwa, ni maamuzi ya kijinga sana ya Mkuu wetu wa Mkoa kutaka kila duka livunjwe vibaraza, yani cap za maduka ziondolewe.

Migambo wametumwa usiku kuvunja hivyo vibaraza. Mkuu huyu wa mkoa amesababisha kero hii kubwa kwa wananchi kukosa mahitaji na serikali kushindwa kukusanya kodi stahiki siku hii ya leo.
Amewekwa hapo sababu kuu anatokea Tanga
 
Kama ni kweli mmejenga barabarani basi hakuna namna vunjeni hivyo vibaraza, uhuru uso na mipaka ni utumwa.
 
yanayoongelewa na wadau wengi hapa ndio shida kuu ya hii nchi.

Uswaiba kwenye kupeana vyeo, watu kuwapa vyeo mahawara zao nk.. hii ndio shida kuu inayosababisha incompence kwenye utendaji.
 
Mbona wako wengi. Kuna mama mmoja mrangi anaitwa Zainab Muruke aliteuliwa ujaji wakati ni kihiyo simply because ni muislam na mwanamke.
Hii ni awamu ya udini, Tanga kuna mawaziri 5 wote waislamu + Pwani 4 wote waislamu, lakini Dar na Arusha hakuna hata Naibu Waziri
 
Ndio yule alikuwaga mhudumu sehemu watu wanamwagilia Moyo au sio huyu.
 
IRINGA HUYO MKUU WA MKOA MMEPIGWAAA, DANIEL CHONGOLO KIPINDI KATIBU MKUU, BAADA YA KUSIKILIZA KELO ZA WANANCHI MKOA WOTE, KUNA MAAGIZO ALIMPA DENDEGO VERY POTTETIAL LAKIN HATA MOJA HAKUFANYIA KAZIII, HUYO SIO MZIGO TUU NI GUNIA LILILOJIFICHA KWENYE VAZI LA UONGOZII
 
Mtakuwa mmezidi uchafu...acha RC asafishe
 
Back
Top Bottom