Uchaguzi 2020 Halima Mdee aache kumnenea mabaya Askofu Josephat Gwajima, akikaidi atapata laana!

Uchaguzi 2020 Halima Mdee aache kumnenea mabaya Askofu Josephat Gwajima, akikaidi atapata laana!

Namshauri tu Mbunge wa Kawe aliyemaliza muda wake Halima Mdee kwamba aache kumnenea mabaya Mbunge mtarajiwa wa Kawe Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima nchini Tanzania Dkt. Gwajima.

Kadhalika awakanye vijana wake wa kampeni waache kumdhihaki askofu mkuu Gwajima mara moja vinginevyo hasira ya Mungu itawashukia na wanaweza kulaanika.

Maendeleo hayana vyama!
Upuuzi mtupu,Gwajima ana utakatifu gani?
Wajerumani waliuwa wayahudi ambao ni Taifa teule la Mungu,lakini leo Ujerumani ni nchi tajiri duniani mara 1000 ya bongo,
Watu wwmeua wayahudi sembuse kumtukana huyu mpuuzi Gwajima?!!nenda kasome acha kuriri,Kwanza katafute kitabu Cha Ben Carson isome,uone watu waliowacha Mungu,harafu wamesoma(Ben Carson ni dakitari wa Kwanza na bingwa wa kufanya operation ya kutenganisha watoto walioungana vichwa) walivyo na uelewa mpana.
Sio walokole nyie,Elimu kidato Cha nne,utaielewa dunia kweli?
Gwajima hata akitaka aoe mkeo na mwanao,lazima utapata vifungu vya kuharalisha tu.
 
Namshauri tu Mbunge wa Kawe aliyemaliza muda wake Halima Mdee kwamba aache kumnenea mabaya Mbunge mtarajiwa wa Kawe Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima nchini Tanzania Dkt. Gwajima.

Kadhalika awakanye vijana wake wa kampeni waache kumdhihaki askofu mkuu Gwajima mara moja vinginevyo hasira ya Mungu itawashukia na wanaweza kulaanika.

Maendeleo hayana vyama!

Ila askofu aendelee kumuita Mdee Bi kidude,sivyo?
 
Namshauri tu Mbunge wa Kawe aliyemaliza muda wake Halima Mdee kwamba aache kumnenea mabaya Mbunge mtarajiwa wa Kawe Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima nchini Tanzania Dkt. Gwajima.

Kadhalika awakanye vijana wake wa kampeni waache kumdhihaki askofu mkuu Gwajima mara moja vinginevyo hasira ya Mungu itawashukia na wanaweza kulaanika.

Maendeleo hayana vyama!

Ujumbe wa kipumbavu, kishenzi na umekosa akili. Ni kipimo cha fikra dhaifu, Mungu sio wa hivyo pole sana.
 
Namshauri tu Mbunge wa Kawe aliyemaliza muda wake Halima Mdee kwamba aache kumnenea mabaya Mbunge mtarajiwa wa Kawe Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima nchini Tanzania Dkt. Gwajima.

Kadhalika awakanye vijana wake wa kampeni waache kumdhihaki askofu mkuu Gwajima mara moja vinginevyo hasira ya Mungu itawashukia na wanaweza kulaanika.

Maendeleo hayana vyama!



Kwani unajuaje kama Gwajima mwenyewe Hana laana tayari?

Mungu Si wa kuchezea..
 
Upupu tuu huu. Kwani Gwajima anamnenea mema Halima? Ushabiki maandazi wa kinafiq.
 
Namshauri tu Mbunge wa Kawe aliyemaliza muda wake Halima Mdee kwamba aache kumnenea mabaya Mbunge mtarajiwa wa Kawe Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima nchini Tanzania Dkt. Gwajima.

Kadhalika awakanye vijana wake wa kampeni waache kumdhihaki askofu mkuu Gwajima mara moja vinginevyo hasira ya Mungu itawashukia na wanaweza kulaanika.

Maendeleo hayana vyama!
Leo nimeona clip mbuzi a.k.a mabeberu yakila na kubandua picha ya gwaji boy a.k.a mzee Wa mauno, sijui wale mbuzi walifikiria nn aisee
 
Namshauri tu Mbunge wa Kawe aliyemaliza muda wake Halima Mdee kwamba aache kumnenea mabaya Mbunge mtarajiwa wa Kawe Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima nchini Tanzania Dkt. Gwajima.

Kadhalika awakanye vijana wake wa kampeni waache kumdhihaki askofu mkuu Gwajima mara moja vinginevyo hasira ya Mungu itawashukia na wanaweza kulaanika.

Maendeleo hayana vyama!
Naunga mkono hoja.
Mimi ni mwana Kawe, Wana Kawe katika umoja wetu, tumeisha amua, tunakwenda na nani, hivyo kwa kuongezea ushauri hapo ni kwa Halima kusema ameifanyia nini Kawe katika miaka 10 yake?

Uchaguzi 2020 - Je, Halima Mdee amefanya nini Kawe kwa miaka 10 ya ubunge wake kustahili kuendelea? Sikia ya Askofu Gwajima, 28 Oktoba fanya uamuzi sahihi

P
 
Namshauri tu Mbunge wa Kawe aliyemaliza muda wake Halima Mdee kwamba aache kumnenea mabaya Mbunge mtarajiwa wa Kawe Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima nchini Tanzania Dkt. Gwajima.

Kadhalika awakanye vijana wake wa kampeni waache kumdhihaki askofu mkuu Gwajima mara moja vinginevyo hasira ya Mungu itawashukia na wanaweza kulaanika.

Maendeleo hayana vyama!
Aanze kuwalaani wale mbuzi wawili waliomdhihaki
 
Kati ya shauri za kipumbavu kuanza kutumwa humu,huu ndiyo wa kipumbavu zaidi haijawahi kutokea
 
Tukuweke picha?
Hapo patakuwa pagumu na utaonekana unataka kuchafua hali ya hewa!!
Kwani hao wanaotaka ushahidi hawamjui mgombea wao tabia zake? (Mkuu ndege wa aina moja huruka pamoja - huwezi kuta bundi anaruka na njiwa!)
 
Hakuna laana unayoweza kuipata kwa pornstar

Jamaa Hana tofauti na King Nasir,Rico strong na Nat Turner[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom