Halima Mdee apoteza Jimbo la Kawe, Gwajima aibuka kidedea

Halima Mdee apoteza Jimbo la Kawe, Gwajima aibuka kidedea

Wana u hero gani sasa hao wapinga maendeleo.
Maendeleo yapi? Tanzania kuna maendeleo? Miradi yote ina 10% na ufisadi mkubwa na wanufaika ni CCM hao hao, Nchi ina miaka 59 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, pesa za viwanda za walipa kodi zinatumika kudidimiza demokrasia kuwabambikia kesi uonevu unyanyasaji na sasa zimetumika kuubaka kuulawiti uchaguzi ni matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi.
 
Nawewe unaamini kabisa kwamba idadi ya kura hizo 150k ni halisi. Inakuingiaje akilini yani? Kwanini kila kituo mpishano wa ccm na chadema uwe 3x au zaidi?
Siku zote mwizi huiba mno hutengeneza mazingira ya kuaminika kwa kuiba vingi.
 
Mkuu anayeapishwa Ni mmoja tu ambae ni rais hao wengine wakishakabidhiwa tu fomu za ushindi ndo inakuwa imeisha hivyoo Wanasubiri vikao vianze tu waingie mjengoni.

Na kwa upande wa rais hakuna atakae mzuia rais Magufuli kuapishwa.
Hivyo Basi itoshe tu kusema kuwa nchi nzima ndo ishakuwa ya kijani hivyoo.
Hawana ridhaa baraka za wapiga kura hao ni wateule wa wakurugenziccm NECCCM Tumeccm na Polisiccm laana ya wapiga kura zitawaandama sana.
 
Maendeleo yapi? Tanzania kuna maendeleo? Miradi yote ina 10% na ufisadi mkubwa na wanufaika ni CCM hao hao, Nchi ina miaka 59 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, pesa za viwanda za walipa kodi zinatumika kudidimiza demokrasia kuwabambikia kesi uonevu unyanyasaji na sasa zimetumika kuubaka kuulawiti uchaguzi ni matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi.
Hivyo vyote ulivyo vitaja havipo kwa watanzania,lisu tangu atue nchini amekuwa ana hubiri huo utopolo ulioandika hapo juu vingekuwa vina tija kwa wananchi lissu alikuwa anaapishwa mapema hivi karibuni.
 
Hakuna uchaguzi Tanzania kilichofanyika ni vioja maigizo kuihadaa Dunia.
 
Hivyo vyote ulivyo vitaja havipo kwa watanzania,lisu tangu atue nchini amekuwa ana hubiri huo utopolo ulioandika hapo juu vingekuwa vina tija kwa wananchi lissu alikuwa anaapishwa mapema hivi karibuni.
Wewe mwenyewe ni mbumbumbu juha zuzu kilaza ni mmojawapo wa wanufaika wa ufisadi unawezaje kujua chochote zaidi ya kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za polepole na mtukufu kaburu Mkoloni mweusi, huna unachojua zaidi ya kuendekeza njaa zako, watanzania wa wapi unawasemea? au ni watanzania wa hapo unaposhinda ukivuta Bangi?
 
UN na taasisi zote za haki za binadamu wanakaa kujadili vitendo haramu vya CCM Duniani kote kisha waje na majibu ingawa kuna wajanja Huko CCM tayari wamepeleka Bajeti kubwa pesa wanatumia fursa kupiga pesa toka kwa mtukufu kwa kisingizio cha kuzitumia kuwaroga kuwadhoofisha chadema na kuiroga Dunia nzima waacha kumulika uovu wa CCM, le mutuz cyprian Musiba na boss wao polepole tayari wanajiandaa kuichukua hiyo pesa mda wowote kuanzia sasa kwa mujibu wa Le mutuz mzee wa fursa huko CCM.
 
Wewe mwenyewe ni mbumbumbu juha zuzu kilaza ni mmojawapo wa wanufaika wa ufisadi unawezaje kujua chochote zaidi ya kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za polepole na mtukufu kaburu Mkoloni mweusi, huna unachojua zaidi ya kuendekeza njaa zako, watanzania wa wapi unawasemea? au ni watanzania wa hapo unaposhinda ukivuta Bangi?
Na wewe ni watanzania wa wapi unaowasemea pumbavu wewe, kwani wao watanzania hawaoni kinachofanyika? Tuliwaambia hamuwezi pata 20% na maneno yametimia.

Viongozi ni vioo vya jamii, lakini leo jamii inapoona serikali yetu imefanya kitu fulani then viongozi wa upinzani wanatoka mbele kupinga wananchi wanakuwa na mashaka na aina ya upinzani tulio nao.sugueni benchi kwanza watanzania wapate maendeleo ya kweli na sio porojo na mbwebwe za upinzani. Povu ruksa.
 
Hiyo tofauti ni kubwa sana kwa kutolea visingizio vya kuibiwa kura au kuwepo kwa kura za feki.
Mimi nashangaa hawa watu “wanaibaje kura” kwa magap haya?

Maana lazima namba itally na idadi ya wapiga kura ambayo haiwezi kuzidi idadi ya wote walioandikishwa kupiga kura kwenye jimbo husika.

CCM wana PhD ya wizi wa kura. Hawa wanaongoza kwa mbinu Afrika mashariki kusini na kati

199B7BA9-9270-4A97-96D8-5EE8DDEF8992.jpeg
 
Na wewe ni watanzania wa wapi unaowasemea pumbavu wewe, kwani wao watanzania hawaoni kinachofanyika? Tuliwaambia hamuwezi pata 20% na maneno yametimia. Viongozi ni vioo vya jamii, lakini leo jamii inapoona serikali yetu imefanya kitu fulani then viongozi wa upinzani wanatoka mbele kupinga wananchi wanakuwa na mashaka na aina ya upinzani tulio nao.sugueni benchi kwanza watanzania wapate maendeleo ya kweli na sio porojo na mbwebwe za upinzani.povu ruksa.
Wewe ndiyo pumbavu ulisema hakuna 20% kwa sababu uliiba kura mapema kwa kutengeneza mkaziweka ndani, hakuna maendeleo Tanzania vilivyopo ni vimiradi vya kifisadi ambavyo wewe ni mnufaika mkubwa ndiyo maana unatetea upumbavu wako na wenu, hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu anaweza kuipa kura yake CCM, kilichofanyika ni NECCCM Tumeccm wakurugenziccm na Polisiccm kushirikiana na CCM kupora majimbo na Nchi kwa njia haramu za kishetani, hakuna uchaguzi Tanzania kuna maigizo na vioja vya CCM kuihadaa Dunia.
 
Wewe ndiyo pumbavu ulisema hakuna 20% kwa sababu uliiba kura mapema kwa kutengeneza mkaziweka ndani, hakuna maendeleo Tanzania vilivyopo ni vimiradi vya kifisadi ambavyo wewe ni mnufaika mkubwa ndiyo maana unatetea upumbavu wako na wenu, hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu anaweza kuipa kura yake CCM, kilichofanyika ni NECCCM Tumeccm wakurugenziccm na Polisiccm kushirikiana na CCM kupora majimbo na Nchi kwa njia haramu za kishetani, hakuna uchaguzi Tanzania kuna maigizo na vioja vya CCM kuihadaa Dunia
Siwezi kulazimisha mku*-/*%du kula muwa
 
Na wewe ni watanzania wa wapi unaowasemea pumbavu wewe, kwani wao watanzania hawaoni kinachofanyika? Tuliwaambia hamuwezi pata 20% na maneno yametimia. Viongozi ni vioo vya jamii, lakini leo jamii inapoona serikali yetu imefanya kitu fulani then viongozi wa upinzani wanatoka mbele kupinga wananchi wanakuwa na mashaka na aina ya upinzani tulio nao.sugueni benchi kwanza watanzania wapate maendeleo ya kweli na sio porojo na mbwebwe za upinzani.povu ruksa.
Hakuna uchaguzi Tanzania bali CCM imeulawiti na kuubaka uchaguzi kwa njia haramu za kishetani.
 
Back
Top Bottom