Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Hizo si alisema zimejengwa kwa fedha za ndani?Hizo pesa Trilioni 71 alipeleka kwenya akaunti zake binafsi za uswisi? very poor argument.Barabara zilizojengwa huzioni? umeme kila kijiji huuoni? Elimu bure huioni? Ndege huzioni? Vituo vya afya nchi nzima huvioni? nk wewe kipofu?
Hayati alijisifu kutekeleza miradi mikubwa kwa pesa zitokanazo na makusanyo ya kodi.Na kila Marekani anadaiwa takribani milioni 143 za kiTanzania,,Hizi siasa za kutoa sound bites zinazotisha ,zinatusaidiaje?hivi developing country unataka usidaiwe,kama tunataka hivyo ,let's become a high tax state kama Britain
Hiyo 60+ ni sensa ya mwaka gani ndugu, na tokea kipindi hicho bado watu watakuwa ni 60+?!Mbona haitoshi au mimi sijui hesabu! Tuko watz million 60+ Sasa m moja moja mbona ndogo au tunaipeleka kidorari..??
Kwa kuongea madeniTusifukue makaburi ya mwendazake maana alikuwa anabana matumizi
Usihofu. deni ndo kipimo cha ukomavu wa akili.Mbunge wa viti maalumu asiyefungamana na upande wowote Halima Mdee amesema kwa mujibu wa ripoti ya BoT ya February 2021 deni la taifa limefikia tsh 71 trillion.
Hi maana yake ni kama kila mtanzania anadaiwa tsh 1 milion na points.
Mdee alikuwa akichangia hotuba ya mpango wa maendeleo.
Ngoja niitafute hiyo ripoti nijiridhishe.
Ramadhan Kareem!
Unaijua vieite wewe? Halafu wasikope watayanunua na kuyameintaini vipiBasi wazuie kwanza wasiwakopeshe tena CCM si watu wazuri
Mwanzo tulisema wapinzani wanaturudisha nyuma kimaendeleo, tukakubali na watanzania wakawanyima kura, sasa tunasema wasomi ndio wanaturudisha nyuma ! Huku huu ndio ukiwa uchambizi wetu wa mambo ya uchumi. Tumuache jemedari wetu mama samia, mzalendo wa kweli, atengeneze Tanzania tuitakayo, tuache kujibabatiza uchambuzi uchwara kwenye mambo hata usiyoelewa.Tatizo la wasomi kama mdee ni ujinga .Baadhi ya Vyuo vyetu vinazalisha watu wenye IQ ndogo mno.Wansona deni utafikiri wakopeshaji badala ya kuona vitu vilivyofanywa na hiyo Trilioni 71 imefanya kazi hukua hiyo hela ambayo iko kwenye miradi kamilika au endelea halafu gawia Kila mtanzania kwa hiyo miradi yote ya barabara na majengo nk halaf ujue kila mmoja anamiliki mali ya kiasi gani kwenye ndege zote zilizonunuliwa na barabara zote zilizojengwa ikiwemo miradi ya umeme na hospitali nk
Kuangalia nchi inadaiwa kiasi gani hiyo hasa ni kazi ya mkopeshaji wewe mkopaji unatakiwa kuangalia kilichofanyika ukigawa wananchi wako kila mmoja ana Asset kiasi gani kwa makert value ya sasa
Tatizo la wasomi wetu ni kumeza tu notisi vyuoni logic wengi wako zero akiwemo.Mdee nk huko bungeni ndio maana hadi bungeni akina msukuma na kibajaji ambao ni darasa la saba wanawaporomoshea matusi wasomi mchana kweupe
Dah....Uzuri deni la JPM asilimia kubwa "halikuliwa na wajanja"....miundo mbinu inaonekana...mabarabara...majengo ya hospitali..masoko...nk nk.... JK alitumiaje hiyo mikopo?[emoji2960][emoji87][emoji87]Mh. Kikwete wakati anatoka madarakani deni la Taifa la ndani na nje lilikuwa trilioni 41.. Hayati Magufuli mpaka anafariki deni la taifa Tsh. 71 trilioni.. ukichukua 71 ukatoa 41 unapata 30.. Miaka mitano ya Hayati Magufuli amekopa trilioni 30..
Deni liko pale pale hizo tunanunulia vieteMkuu unalipa bila kujua unalipa deni. Hebu fikiria sukari ilikuwa inauzwa buku kg 1 wakati wa jk baada ya kuingia mawimbi yalee tunauziwa 2,600/kg. Sasa hivi ukinunua sukari unalipa deni au haulipi? Huo ni mfano tu wa bidhaa moja kuna nyingine nyingi tukizinunua tunajikuta tunalipia deni bila kujua
😹😹 Kwahiyo wewe ndiyo msomi mwenye IQ kubwa? Ukifanya follow-up Rahisi tu kwenye hotuba za Rais wa awamu ya tano utagundua kuwa asilimia kubwa ya miradi mingi ya maendeleo ilikuwa inatekelezwa kwa gharama kutoka vyanzo vyetu vya ndani vya mapato. Ikiwemo ujenzi wa Barabara na hata ujenzi wa bwawa la kufua umeme la Mwl.Nyerere. sasa embu tueleze ni miradi ipi inayosema wewe, serikali ilitangaza kwamba inatekelezwa kwa fedha za mkopo either mkopo wa ndani au wa nje!!Tatizo la wasomi kama mdee ni ujinga .Baadhi ya Vyuo vyetu vinazalisha watu wenye IQ ndogo mno.Wansona deni utafikiri wakopeshaji badala ya kuona vitu vilivyofanywa na hiyo Trilioni 71 imefanya kazi hukua hiyo hela ambayo iko kwenye miradi kamilika au endelea halafu gawia Kila mtanzania kwa hiyo miradi yote ya barabara na majengo nk halaf ujue kila mmoja anamiliki mali ya kiasi gani kwenye ndege zote zilizonunuliwa na barabara zote zilizojengwa ikiwemo miradi ya umeme na hospitali nk
Kuangalia nchi inadaiwa kiasi gani hiyo hasa ni kazi ya mkopeshaji wewe mkopaji unatakiwa kuangalia kilichofanyika ukigawa wananchi wako kila mmoja ana Asset kiasi gani kwa makert value ya sasa
Tatizo la wasomi wetu ni kumeza tu notisi vyuoni logic wengi wako zero akiwemo.Mdee nk huko bungeni ndio maana hadi bungeni akina msukuma na kibajaji ambao ni darasa la saba wanawaporomoshea matusi wasomi mchana kweupe
Kweli tumeenda kujenga uwanja wa kimkakati Chato na mbuga ya nini sijui, tumenunua ndege zinazoingiza hasara toka zinunuliwe nk.Tatizo la wasomi kama mdee ni ujinga .Baadhi ya Vyuo vyetu vinazalisha watu wenye IQ ndogo mno.Wansona deni utafikiri wakopeshaji badala ya kuona vitu vilivyofanywa na hiyo Trilioni 71 imefanya kazi hukua hiyo hela ambayo iko kwenye miradi kamilika au endelea halafu gawia Kila mtanzania kwa hiyo miradi yote ya barabara na majengo nk halaf ujue kila mmoja anamiliki mali ya kiasi gani kwenye ndege zote zilizonunuliwa na barabara zote zilizojengwa ikiwemo miradi ya umeme na hospitali nk
Kuangalia nchi inadaiwa kiasi gani hiyo hasa ni kazi ya mkopeshaji wewe mkopaji unatakiwa kuangalia kilichofanyika ukigawa wananchi wako kila mmoja ana Asset kiasi gani kwa makert value ya sasa
Tatizo la wasomi wetu ni kumeza tu notisi vyuoni logic wengi wako zero akiwemo.Mdee nk huko bungeni ndio maana hadi bungeni akina msukuma na kibajaji ambao ni darasa la saba wanawaporomoshea matusi wasomi mchana kweupe
Umeme wa REA unaofadhiliwa na mabeberu au umeme gani? Acha kupanic tuna kiwanja pale Chato, na ndege pamoja na vieteHizo pesa Trilioni 71 alipeleka kwenya akaunti zake binafsi za uswisi? very poor argument.Barabara zilizojengwa huzioni? umeme kila kijiji huuoni? Elimu bure huioni? Ndege huzioni? Vituo vya afya nchi nzima huvioni? nk wewe kipofu?
Ila we wa wapi? Si tulitangaziwa na mwendazake kuwa anafanya kwa pesa za ndani, halafu thamani ya pesa kwa miradi inaendana? Assad alitolewa kinyume na sheria baada ya kusema trillion 1.5 hazijulikani matumizi yake, na ikulu ya Meko haikaguliwi baba. Acha ujinga tumepigwa wewe umekaa unatetea fisadi marehemuWalijenga za kubeba malighafi kupeleka kwao sio kutufaidisha watanzania.Na zilijengwa bure kwa kutulazimisha kujenga bila mshahara au kwa ujira mdogo
Reli ya mwanza kigoma ilifuata pamba na tumbaku na madini yaliyoko mwanza na shinyanga na kongo na Kahawa ya Kagera
Reli na barabara kwenda moshi na Arusha ilikuwa kufuata chai na kahawa na katani
Barabara nyanda za juu ilikuwa kufuata chai na kahawa na tumbaku na katani morogoro
Kwenye shule hakukuwa na shule za bure zilikuwepo za Wamissionari tu mkoloni hakujenga hata moja .Zilikuwa private schools za kulipia. .Watu kama wewe mbowe na Lisu msingesoma.Sababu wazazi wenu walikuwa malofa ndio maana wote mlisoma shule za serikali
Humjui mkoloni wewe
Tatizo.ls kukariri notisi shuleni hilo bafala ya kuelewa
Lakurithi kivip kwamba lakikwete?deni la kurith mkuu, hata ukiondoka duniani kizazi chako kitalilipa tu - kweli hii si HAKI kabisa.
Mwendazake alikuta deni la bei gani? na kalifikisha kuwa gani? Maana alituaminisha kwamba kila Project ni HELA ZA NDANI tena cash.
Trillion 35Hivi JK katika miaka 10 alituacha na deni la Tsh ngapi?