Uchaguzi 2020 Halima Mdee, fedha za mfuko wa jimbo umepeleka wapi?

Wewe mtu wa uswekeni, tuachie Kawe yetu.
Mbunge wa Kawe ni Halima.
Huyu mchawi Gwajima aende akawange makaburini huko.
 
Huna lako Kawe hatukutaki halima

TUNAENDA NA KAWE YENYE MAENDELEO NA GWAJIMA
 
Anasema amejenga barabara wakati barabara zote ni vumbi nimeenda makongo juu nimerudi nakohoa kwa sababu ya vumbi halafu haoni hata aibu kuomba tena kura wakati tulimpa miaka 10 hakuna alichokifanya.
Halima nakushauri tafuta mashamba ya kwenda kulima au uolewe sasa Kawe tunaenda na Gwajima.
 
Nimemfuatilia sana huyu Halima Mdee nimeona siasa imemshinda badala ya kuleta hoja za maendeleo analeta matusi. Kura yangu Kawe kwa Gwajima .
 

Attachments

  • askofu_ngwajima_amtukana_askofu_mkuu_pengo_h264_43616.mp4
    13.9 MB
Kweli nimeamini wengi wao wanao kwenda jela hawana hatia wenye hatia wapo huku uraiani wanapewa hela na serikali wafanye maendeleo kwenye majimbo yao wanafanya za kwao.
Afande kamata Halima huyo sweka ndani.

Why halima and not mkurugenzi anaepewa ela?
 
naona gwaji boy kajaza ufufo na uzima humu..ila kusema kweli hata kama kweli mdee kafanya ila gwajiboy hauziki na hafai kabisa
 
Halimaaaa rudi ulikotoka kawe niya gwajima sasa
Huku usirudi hujasahau kitu aisee
 

Bwana Mtutu, uliambiwa ukifikisha nyuzi ngapi ndio unalipwa? Hahaha
 
Kura nampa Magufuli, CCM daiimaaa...
Kura yangu nampa Gwajima, CCM mbele kwa mbele[emoji818][emoji106]
 
Halima tumechoka na propaganda zako mwizi ww miradi haijakamilika na pesa hazionekani sijui umeenda kuanzisha mradi wako wa ufugaji wa nguruwe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…